Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakujibu japo hiyo coment si ya kwangu umechanganya madesa.Hakuna Mungu wawili Mungu ni mmoja Yahweh.wayahudi wako matajiri lakini si wote
Tulia ujibu Nani Mungu Yesu au Yahweh?
Kwa hivyo Yesu si Mungu?Nitakujibu japo hiyo coment si ya kwangu umechanganya madesa.Hakuna Mungu wawili Mungu ni mmoja Yahweh.
God Bless Israel
Kuna atayebaki?Ayatollah soon atapotezwa na hawa viranja wa dunia
OkayPoa mkuu my point ni kwamba kuna baadhi ya wakristo wa tanzania wanajifanya wao ni watakatifu na wengine wote ni wakosefu that was my objective sipo hapa kumdhihaki mwamposa au mtu yoyote
Poa mkuu my point ni kwamba kuna baadhi ya wakristo wa tanzania wanajifanya wao ni watakatifu na wengine wote ni wakosefu that was my objective sipo hapa kumdhihaki mwamposa au mtu yoyote
Dah! unyumbu wa kiwango gani huu??? hivi hawa watu wamerogwa???
Wapi Yesu ni Mungu na wapi imeandikwa kuna Mungu wawili mm nimesoma biblia vyema sana siko kimhemuko.Kwa hivyo Yesu si Mungu?
Wapi Yesu ni Mungu na wapi imeandikwa kuna Mungu wawili mm nimesoma biblia vyema sana siko kimhemuko.
Ww unae kubali yesu ni Mungu nipe andiko ni wapi yesu alisema yy ni MunguWewe unakubali Yesu si Mungu ?
Ww unae kubali yesu ni Mungu nipe andiko ni wapi yesu alisema yy ni Mungu
Yesu si Mungukwanza unijibu wewe unakubali Yesu si Mungu , Yes or No, Please
Yesu si Mungu
Ni mtume ambaye alitumwa na Mungu kuja dunianiGood , mimi nakubaliana nawe kabisa kwani hakuna mahali alisema yeye ni Mungu
kwa hivyo wewe unamwelewa Bwana yesu ni nani ?
Ni mtume ambaye alitumwa na Mungu kuja duniani
Hivi wafalme wa mashariki ya kati waliwahi kuamka ndugu zao katika Imani walipokuwa wanauliwa huko Somalia, Sudan,Mali na kwingineko Afrika?Waziri wa ulinzi wa Ujerumani,Boris Pistorius, amesema kulitumia jeshi la nchi yake kuilinda Israel iwapo itashambuliwa na Iran si jambo linalohitaji kujadiliwa.
Kauli hiyo ya Ujerumani inafuatiwa na uamuzi wa Marekani kupeleka meli na askari kuizunguka Israel ili kuipa ulinzi nchi hiyo ambayo kwa sasa imejiongezea maadui kufuatia vita vya miezi 10 na Hamas.
Hayo yakitokea wafalme wa nchi za mashariki ya kati walilala muda wote wa miezi 10 ya vita na bado wanaendelea kulala huku ndugu zao wa Palestina wakimalizwa kwa kuuliwa kwa njia ya silaha nzito na njaa.
Ironically vita inataka kurindima middle east ulaya wanataka kujustify mass deportation ya Waislamu wa middle east.Hizi ni calculated moves si bure.Israel wapo vizuri kwenye calculation zake kama ameweza kuwashawishi mataifa makubwa ulimwenguni yawe upande wake licha ya yote anayoyafanya....imefika mahali mataifa makubwa yanaona usalama wa Israel sio suala la kujadiliana bali ni kutekeleza
Muanzishe uzi wenu wa yesu ni mungu au si mungu.Hapa tunaongelea kichapo cha ayatollahWapi Yesu ni Mungu na wapi imeandikwa kuna Mungu wawili mm nimesoma biblia vyema sana siko kimhemuko.