Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

tangu vita ile,ujeruman inaogopa au haipendi kujihusisha na vita zisizokua na tija au za lazima. hawataki kuvuluga uchumi wao.
mimi naamini akili za muyahudi mmoja sawa na akili za wajerumani 1000.
ukumbuke muyahudi mmoja aliyetoloka vita wakati wa vita ile ndio aliehamia marekan na ndie alietengeneza nyukilia iliyoteketeza wajapani na kuisimamisha vita ile ya dunia.
hatakama kunaukweli wa wajeruman kuwepo huko ila naamin wayahudi ndio wanaiongoza ujerumani ya leo.kisayansi na tamaduni.
Hivi Huwa mnaaminishwa vipi mpaka myahudi mmoja awe Sawa na wajerumanj 1000....hii inferiority complex mbona imepitiliza. Ikiwa wako bora hivyo yanini kukingiwa kifua.. Wakristo sometimes tunakuwa wajinga sana.
 
Una akili za wapi we jamaa ..yaani Jew mmoja ni sawa na German 1000
Ebu punguzeni mahaba na Jew maana mnaongea vitu vya kitoto afu watu wazima
Kiazi huyo. Yaani mpka inatia kinyaa udhaifu ulio kichwani mwake.
 
huku katika uislamu tunaamini kitabu tu hatutukuzani na kwamba eti hili taifa la mungu uchizi huo upo huko huko kwenu
Maana haijulikani sasa huyo mungu wenu ni yahweh au yesu maana wenyewe pia hamjui
Na hao waliokudanganya ndio waliomuua mungu wako yesu sasa tafakari
Waliokudanganya kuwa kuna bikra 72 na wewe ukaamini walikuweza sana.
Dunia haiko salama chini ya wasaka bikra.
Ukiangalia kwa undani mgogoro wa middle east mizizi yake imejengeka kwenye dini yako.
Kuwasaka na kuwaua mayahudi popote walipo.
Israel ingekuwa nchi ya kiislamu wala kusingekuwa na vurugu.
 
Germany, france, uk na marekani kwenye vita siku zote wana makubaliano ya kusimama pamoja kwahiyo hilo sio geni.

Walishiriki kutunga uongo wakaisambaratisha iraq, libya etc nothing new iran akianzisha vita na israel wataungana kuondoa regime iliyopo ili waitawale iran kwa kuweka mtu wanayemtaka wao kwa maslahi yao, after that yale mafuta na resources zote ni za kwao dunia ndio ipo hivyo, ila kuna muumini wa nwamposa akishashiba kande anakwambia wanauliwa kwakuwa magaidi , watanzania tuna tatizo kubwa especially misingi yetu ya elimu ni poor, ukifuatilia mijadala humu utaona wengi ni zero brain wanaongea ujinga ujinga tu they cant reason at all
Elimisha kwanza wenzio wanaoshinda madrasa kujifunza (karate)
 
Waliokudanganya kuwa kuna bikra 72 na wewe ukaamini walikuweza sana.
Dunia haiko salama chini ya wasaka bikra.
Ukiangalia kwa undani mgogoro wa middle east mizizi yake imejengeka kwenye dini yako.
Kuwasaka na kuwaua mayahudi popote walipo.
Israel ingekuwa nchi ya kiislamu wala kusingekuwa na vurugu.
Elimu ndio inayokusumbua rudini tu shule , kama hadi leo mtu mzima hujui vita ya kiuchumi duniani halafu unabwabwaja pumba humu jf bora ukalime tu,maana huna upeo wa kujadili mambo ya kimataifa
 
Ila nao iran kama ni kisasi wasingeongea bali wangewatafuta waisrael wanaoona wana umuhimu kwao na kuwa eliminate kimya kimya hata kama wapo nchi gani

Badala ya vita
Hapa umenena. Vita itakuwa mbaya kwao maana magharibi yote itampiga
 
Elimisha kwanza wenzio wanaoshinda madrasa kujifunza (karate)
Wana elimu ya kutosha sana ndio maana hata wao ndio wameshikilia uchumi wa nchi yako na vile vile karate ni mazoeziau kuna ubaya wanafunzi kufanya mazoezi
 
Ironically vita inataka kurindima middle east ulaya wanataka kujustify mass deportation ya Waislamu wa middle east.Hizi ni calculated moves si bure.
Ndio mwisho wa ukoloni wa mzungu.
Walitupambia kwamba maisha mazuri na demokrasia ziko kwao.Tukawafuata na sasa wanataka tuamini tofauti.
 
Maamuzi hayo yangekuwa ya kijinga sana wakati ardhi zote ni zao na kwa inavyojulikana Israel haiwezi kuridhika na hilo wangeendelea kuwaibia kila kitu,
Hayo mengine wala hawakusubiri ushauri wako.
Najiuliza pia je mayahudi wangekuwa waislamu?
 
Hivi Huwa mnaaminishwa vipi mpaka myahudi mmoja awe Sawa na wajerumanj 1000....hii inferiority complex mbona imepitiliza. Ikiwa wako bora hivyo yanini kukingiwa kifua.. Wakristo sometimes tunakuwa wajinga sana.
ukisoma ufunuo,utaona waiziraeli wameitwa wapotoshaji.na ndio maana unaona wakristo wanavyopotoshwa kua iziraeli inalindwa na mungu wakati hao ndio wauwaji wakubwa tangu kuumbwa ulimwengu huu.lakini ukimfuata mkristo atakwambia wametumwa na mungu kufanya hivyo.mungu gani anaruhusu kabila fulani liwe na haki ya kuua watu wengine.hapa ndio utajua hawa wayahudi ndio waliotengeneza hivi vitabu wanavyoviita vya mungu wa wakristo na kuaminishwa hivyo.

adoff hitila alilijua hilo kua hawa watu ni waongo na wanatupotosha,alianza kudili nao kwenye himaya zake zote. ukiangalia poland pekeake aliwapunguza zaidi ya elf27. .kipindi kile kila nchi yenye utawala wa ujerumani basi muyahudi alikiona chamoto.

lakini pamoja na kufa kwa idadi kubwa miaka ile Albat Ernest muyahudi mmoja aliekimbia kutoka ujerumani na kukimbilia marekani ndio alietengeneza nyukilia za kwanza zilizosimamisha vita ile ya dunia.
wakristo wao bado hawataki kuamini kama aganojipya limeletwa na wayahudi ili kuwavuruga na kuwapotosha kabisa.
ndiomaana nadiliki kusema hivyo. kwa ujinga wa mkristo anaona muyahudi anahaki ya kuua watu wengine na kuna wanaothubutu kufanya maombi ili wayahudi waendelee kuua.
hebu sasa niambia.unafikili wana akili gani ya kuweza kuikontrol dunia nzima?
 
Back
Top Bottom