Ujerumani yasema kuilinda Israel si suala linalohitaji mjadala. Wafalme wa mashariki ya kati bado wamelala

Hivi Huwa mnaaminishwa vipi mpaka myahudi mmoja awe Sawa na wajerumanj 1000....hii inferiority complex mbona imepitiliza. Ikiwa wako bora hivyo yanini kukingiwa kifua.. Wakristo sometimes tunakuwa wajinga sana.
 
Una akili za wapi we jamaa ..yaani Jew mmoja ni sawa na German 1000
Ebu punguzeni mahaba na Jew maana mnaongea vitu vya kitoto afu watu wazima
Kiazi huyo. Yaani mpka inatia kinyaa udhaifu ulio kichwani mwake.
 
Waliokudanganya kuwa kuna bikra 72 na wewe ukaamini walikuweza sana.
Dunia haiko salama chini ya wasaka bikra.
Ukiangalia kwa undani mgogoro wa middle east mizizi yake imejengeka kwenye dini yako.
Kuwasaka na kuwaua mayahudi popote walipo.
Israel ingekuwa nchi ya kiislamu wala kusingekuwa na vurugu.
 
Muanzishe uzi wenu wa yesu ni mungu au si mungu.Hapa tunaongelea kichapo cha ayatollah
Sawa kaka acha tufurahie wavaa kobaz wanavyo chezea kichapo maana wamegeuka panya buku wanashinda kwenye mahandaki🤣🤣🤣
 
Elimisha kwanza wenzio wanaoshinda madrasa kujifunza (karate)
 
Elimu ndio inayokusumbua rudini tu shule , kama hadi leo mtu mzima hujui vita ya kiuchumi duniani halafu unabwabwaja pumba humu jf bora ukalime tu,maana huna upeo wa kujadili mambo ya kimataifa
 
Ila nao iran kama ni kisasi wasingeongea bali wangewatafuta waisrael wanaoona wana umuhimu kwao na kuwa eliminate kimya kimya hata kama wapo nchi gani

Badala ya vita
Hapa umenena. Vita itakuwa mbaya kwao maana magharibi yote itampiga
 
Elimisha kwanza wenzio wanaoshinda madrasa kujifunza (karate)
Wana elimu ya kutosha sana ndio maana hata wao ndio wameshikilia uchumi wa nchi yako na vile vile karate ni mazoeziau kuna ubaya wanafunzi kufanya mazoezi
 
Ironically vita inataka kurindima middle east ulaya wanataka kujustify mass deportation ya Waislamu wa middle east.Hizi ni calculated moves si bure.
Ndio mwisho wa ukoloni wa mzungu.
Walitupambia kwamba maisha mazuri na demokrasia ziko kwao.Tukawafuata na sasa wanataka tuamini tofauti.
 
Maamuzi hayo yangekuwa ya kijinga sana wakati ardhi zote ni zao na kwa inavyojulikana Israel haiwezi kuridhika na hilo wangeendelea kuwaibia kila kitu,
Hayo mengine wala hawakusubiri ushauri wako.
Najiuliza pia je mayahudi wangekuwa waislamu?
 
Hivi Huwa mnaaminishwa vipi mpaka myahudi mmoja awe Sawa na wajerumanj 1000....hii inferiority complex mbona imepitiliza. Ikiwa wako bora hivyo yanini kukingiwa kifua.. Wakristo sometimes tunakuwa wajinga sana.
ukisoma ufunuo,utaona waiziraeli wameitwa wapotoshaji.na ndio maana unaona wakristo wanavyopotoshwa kua iziraeli inalindwa na mungu wakati hao ndio wauwaji wakubwa tangu kuumbwa ulimwengu huu.lakini ukimfuata mkristo atakwambia wametumwa na mungu kufanya hivyo.mungu gani anaruhusu kabila fulani liwe na haki ya kuua watu wengine.hapa ndio utajua hawa wayahudi ndio waliotengeneza hivi vitabu wanavyoviita vya mungu wa wakristo na kuaminishwa hivyo.

adoff hitila alilijua hilo kua hawa watu ni waongo na wanatupotosha,alianza kudili nao kwenye himaya zake zote. ukiangalia poland pekeake aliwapunguza zaidi ya elf27. .kipindi kile kila nchi yenye utawala wa ujerumani basi muyahudi alikiona chamoto.

lakini pamoja na kufa kwa idadi kubwa miaka ile Albat Ernest muyahudi mmoja aliekimbia kutoka ujerumani na kukimbilia marekani ndio alietengeneza nyukilia za kwanza zilizosimamisha vita ile ya dunia.
wakristo wao bado hawataki kuamini kama aganojipya limeletwa na wayahudi ili kuwavuruga na kuwapotosha kabisa.
ndiomaana nadiliki kusema hivyo. kwa ujinga wa mkristo anaona muyahudi anahaki ya kuua watu wengine na kuna wanaothubutu kufanya maombi ili wayahudi waendelee kuua.
hebu sasa niambia.unafikili wana akili gani ya kuweza kuikontrol dunia nzima?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…