UJIJI: Wazee wa UJIJI -KIGOMA wasema hawajawahi kuona Kiongozi aliyeujaza Uwanjani wa Lake Tanganyika kama Rais Samia

UJIJI: Wazee wa UJIJI -KIGOMA wasema hawajawahi kuona Kiongozi aliyeujaza Uwanjani wa Lake Tanganyika kama Rais Samia

Watoto wengi wa Shule wanaonekana kila mahali, mgewapa nafasi wakahudhuria masomo .
 
So what?

Yaani watu wanaacha shughuli za uzalishaji mali, wanakusanyika kusikiliza hotuba!

Halafu mbona wananchi wenyewe ni kama hawana furaha? Wanafaidi migebuka kweli huko? Au inasafirishwa zaidi nje baada ya mipaka kufunguliwa?

Na hii yote ni kumridhisha kiongozi kwa mlengo wa kisiasa. Ila kiuchumi hakuna tija yoyote!
Roho mbaya imekushika ndio maana umeandika hivyo
 
So what?

Yaani watu wanaacha shughuli za uzalishaji mali, wanakusanyika kusikiliza hotuba!

Halafu mbona wananchi wenyewe ni kama hawana furaha? Wanafaidi migebuka kweli huko? Au inasafirishwa zaidi nje baada ya mipaka kufunguliwa?

Na hii yote ni kumridhisha kiongozi kwa mlengo wa kisiasa. Ila kiuchumi hakuna tija yoyote!
Kunywa vidonge kupunguza mawazo tu maana Rais Samia Ndio habari ya mjini kwa Sasa, kila anakokwenda Ni mapokezi ya kishindooo tu
 
Rais Samia anazidi kuchanja mbuga kwa kishindooo, watanzania wanamkubali na kumpenda Sana Rais Samia, watanzania Wana Imani na matumaini makubwa Sana na Rais Samia, kagusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti, kaleta nuru kwenye mioyo ya watanzania.sasa watanzania Wana matumaini makubwa na kesho yao kuwa Bora zaidi ya leo
 
Wataftaji wanaziona fursa ndani ya Samia Ni wale bongo lala tu ndo vilio Kila kukicha
KIGOMA WAMPA MAPOKEZI YA KIHISTORIA RAIS SAMIA SULUHU, ANATAJWA KUWA NDIO KIONGOZI ALIYEVUTA WATU WENGI ZAIDI LAKE TANGANYIKA

View attachment 2391342

Wananchi wa mkoa wa Kigoma wampa mapokezi makubwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan uwanja wa CCM Lake Tangayika.

View attachment 2391335

Mapenzi haya makubwa kwa Rais Samia yanahusishwa na jitihada zake kupitia serikali anayoiongoza ya kuifanya mkoa wa Kigoma kuwa kitovu cha biashara ukanda wa Magharibi.

View attachment 2391340

Serikali ya awamu ya sita anayoiongoza Rais Samia inakamilisha ujenzi wa barabara za lami zinazouunganisha mkoa wa Kigoma na mikoa ya Tabora, Kagera na Katavi.

Inatekeleza pia miradi ya ujenzi wa meli kubwa mbili kwa ajili ya abiria na mizigo, inakamilisha ujenzi wa bandari ya Ujiji na Kibirizi, inakamilisha ukarabati wa meli ya kubeba mafuta ya MT Sangara, imeuunganisha mkoa huo na umeme wa Gridi ya Taifa pamoja na uimarishaji mkubwa wa hospitali ya rufaa ya mkoa huo Maweni.

Naye Mzee Ali Msaze wa Buzebazeba anasema tangu awe na akili za kujitambua hujawahi kuona watu wengi Kama hawa," Huyu mama ni mpango wa Mungu "

View attachment 2391341

Hakika wanakigoma #Tunaridhika #HakunaKilichosimama #KaziIendelee
 
Watoto wengi wa Shule wanaonekana kila mahali, mgewapa nafasi wakahudhuria masomo .
Utakufa na Roho mbaya yako hiyo maana mafuriko ya watanzania kumpokea Rais Samia yatakupandisha presha na kukupa vidonda vya tumbo
 
Kuna watu watapinga na kusema watu wamekuja kuona wasanii 😁😁

Mbinu za kujaza mikutano ya chama dola inafahamika duniani. Hapo wamejazwa wanafunzi kwa shuruti, wengine wamesombwa na malori toka mashambani kwenda kuona mji. Hapo unategemea wasijae.
 
Utakufa na Roho mbaya yako hiyo maana mafuriko ya watanzania kumpokea Rais Samia yatakupandisha presha na kukupa vidonda vya tumbo

Mafuriko kisha ikifika wakati wa uchaguzi wizi ndio inakuwa nguzo kuu ya chama?!
 
Mafuriko kisha ikifika wakati wa uchaguzi wizi ndio inakuwa nguzo kuu ya chama?!
CCM inapita kwa kura za watanzania, nyie endeleeni kutafuna tu fedha za join the chain mpaka meno yenu yalizike maana ndio furaha yenu
 
Kigoma hata wewe ukivaa suti na upo kwenye gari hata IST... Wwtu kibao watakuzunguka na kushangaa
 
CCM inapita kwa kura za watanzania, nyie endeleeni kutafuna tu fedha za join the chain mpaka meno yenu yalizike maana ndio furaha yenu
Kura za watanzania zinabebwa na polisi kuingizwa kwenye vyumba vya kura? Ingekuwa inapita kwa kura za wananchi leo hii matokeo ya uchaguzi wa 2020 yangekuwa kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama sheria inavyotaka.
 
Kura za watanzania zinabebwa na polisi kuingizwa kwenye vyumba vya kura? Ingekuwa inapita kwa kura za wananchi leo hii matokeo ya uchaguzi wa 2020 yangekuwa kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama sheria inavyotaka.
Kwa hiyo wewe shida yako ni kuweka matokeo kwenye tovuti ya tume ? Hata hivyo haya Mambo siyo saizi yenu maana nyie mnadili na hela tu mifukoni mwenu kupitia michango mitaani,
 
Kwa hiyo wewe shida yako ni kuweka matokeo kwenye tovuti ya tume ? Hata hivyo haya Mambo siyo saizi yenu maana nyie mnadili na hela tu mifukoni mwenu kupitia michango mitaani,

Sio Shida yangu, hilo ni takwa la kisheria.
 
KIGOMA WAMPA MAPOKEZI YA KIHISTORIA RAIS SAMIA SULUHU, ANATAJWA KUWA NDIO KIONGOZI ALIYEVUTA WATU WENGI ZAIDI LAKE TANGANYIKA

View attachment 2391342

Wananchi wa mkoa wa Kigoma wampa mapokezi makubwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan uwanja wa CCM Lake Tangayika.

View attachment 2391335

Mapenzi haya makubwa kwa Rais Samia yanahusishwa na jitihada zake kupitia serikali anayoiongoza ya kuifanya mkoa wa Kigoma kuwa kitovu cha biashara ukanda wa Magharibi.

View attachment 2391340

Serikali ya awamu ya sita anayoiongoza Rais Samia inakamilisha ujenzi wa barabara za lami zinazouunganisha mkoa wa Kigoma na mikoa ya Tabora, Kagera na Katavi.

Inatekeleza pia miradi ya ujenzi wa meli kubwa mbili kwa ajili ya abiria na mizigo, inakamilisha ujenzi wa bandari ya Ujiji na Kibirizi, inakamilisha ukarabati wa meli ya kubeba mafuta ya MT Sangara, imeuunganisha mkoa huo na umeme wa Gridi ya Taifa pamoja na uimarishaji mkubwa wa hospitali ya rufaa ya mkoa huo Maweni.

Naye Mzee Ali Msaze wa Buzebazeba anasema tangu awe na akili za kujitambua hujawahi kuona watu wengi Kama hawa," Huyu mama ni mpango wa Mungu "

View attachment 2391341

Hakika wanakigoma #Tunaridhika #HakunaKilichosimama #KaziIendelee
Kazi Nzuri Sana, Mungu ibariki Tanzania
 
Haiondoi ukweli CCM bila mbeleko ya polisi na tume ya Chai jaba si kitu.
 
Back
Top Bottom