Ujinga uliowagharimu wengi kwenye maisha

Ujinga uliowagharimu wengi kwenye maisha

UJINGA ULIOWAGHARIMU WENGI KWENYE MAISHA!

Anaandika, Robert Heriel.

Kila binadamu anakiwango chake cha ujinga, hata Yule unayemuona anaakili Sana ujue anakaujinga kake.
Sasa unaweza ukawa mjinga lakini kamwe Epuka kuwa MPUUZI, mpuuziaji ambaye baadaye itakufanywa uitwe mjuaji wakati hukuwa unajua. Mjinga ajifanyaye anajua huingia katika kundi la wapumbavu, hivyo ndivyo ilivyo ni Sawa na mwerevu mwenye upuuziaji nayr huingia kwenye kundi la wapumbavu.

Na hii sasa ndio orodha ya ujinga ambao ulisababishwa na upuuziaji uliowagharimu watu wengi Duniani;

1. "Kusoma sio kufanikiwa maisha" wakati Vijana wengi walipoambiwa wasome baadhi Yao walikuwa wakisema maneno hayo au Kuambiwa maneno hayo na watu walioshindwa shule. Wapo waliokuwa wakisema kimoyo moyo.

Usiposoma lazima utumie nguvu kuyamudu maisha hasa ukiwa umetoka familia Masikini. Tena utatumia nguvu na bado utalipwa Kama kibarua. Hii ni Kwa sababu huna tofauti na mnyama Kama punda au ng'ombe ambao nao hutumia nguvu tuu.
Lakini ukitumia akili maslahi yake huwa ya juu.

Vijana Kama huna elimu ni Bora ujiajiri Kwa kweli. Maana wewe ni kibarua na wala haupo kundi la Wafanyakazi. Mshahara wako utakuwa kidunchu wa kula tuu.
Ni Bora ukatembeze karanga, ukauze henge, mkaa, ukawa bodaboda au konda na kazi zingine zisizohitaji elimu kuliko uajiriwe maana utalipwa posho tuu.


2. "Uliona wapi pipi ikaliwa na maganda yake?"
Wengi Kwa ujinga walitumia Kauli hiyo wakaishia kupata UKIMWI, kupata mimba wasizokuwa wamezitarajia. Tena walioolewa au kuoa wakauleta UKIMWI nyumbani na kuiangamiza familia.

3. " Siwezi kujenga na kuishi kijijini Mimi" "Hivyo viwanja vipo mbali na mji"
Wengi wamejikuta wakizeeka pasipo kuwa na Nyumba za kuwastiri wao na watoto wao Kwa akili za kijinga jinga.
Hawakujua kuwa hata hapo wanapopaita Mjini palikuwa kijijini zamani, tena hapakuwa na Nyumba hata moja.
Hujikuta wakiishi maisha Yao Kwa taabu hasa umri ukiwa umeenda, mwishowe huwatesa watoto.

4. " Ngoja nikupe/niolewe naye nitambadilisha au atabadilika"
Wengi wamejikuta wakiyaharibu maisha Yao Kwa ujinga na upuuzi. Unakuta limwanamke ni kahaba, halina sehemu za siri, karibu wanaume wote WA mtaani wanamjua sehemu zake nyeti. Ati unamuoa alafu unahama mtaa, wewe si CHIZI tuu! Malaya hata umpeleke mbinguni ataleta umalaya wake Kwa Malaika. Hujiulizi Kwa nini Huko mbinguni hawataki Malaya, hujiulizi! Sehemu haimbadilishi mtu.
Mtu Kama anatabia mbaya achana naye, tafuta wenye tabia nzuri mbona wapo.

Au unakuta limwanaume haliheshimu wanawake, linazalisha hovyo, linapiga wanawake, linatukana tukana hovyo matusi ya aibu, alafu Kwa ujinga wako unaolewa nalo Kwa matarajio ya kumbadilisha, unaumwa wewe! Mtu kujibadilisha mwenyewe ni shughuli pevu sembuse wewe umbadilishe.
Ndio yake baadaye linatukana wazazi wako, ndugu zako, wengine wanafikia hatua ya kutoka na Dada yako au Mama yako.
Alafu unamlaumu, unalaumu nini wakati wewe ndio ulikuwa mjinga!

Acha Shetani waoane na mashetani.
Malaika waoane na Malaika!
Majini Kwa Majini
Walevi Kwa walevi
Malaya Kwa Malaya n.k.

5. " Acha Nile ujana, nitaolewa tuu"
Asilimia 90 ya wanawake ambao wanaumri wa miaka 30+ waliringa kuolewa na wanaume Fulani Kwa sababu kadha wa kadha!
Wengine walijiona bado wadogo, wakati mwanamke mwenye miaka 20 tuu tayari ni mtu mzima anaukaribia uzee. Akishafikisha 30 tayari keshaondoka kwenye soko.

Ujinga wa baadhi ya wanawake kufikiri Kama wanaume ndio inawagharimu leo hii. Huwezi kuhangaika kutafuta mchumba ukiwa umezeeka, labda utafuta mshirika wa kusogeza siku ziende.

Raha ya Mke umfaidi akiwa mbichi, mtoto bado ngozi inateleza bila hata Mafuta.
Sasa sijui Nani aliwadanganya dada zetu kutafuta kuolewa wakati Sura zao zikiwa zinadondoka chini, na ngozi zikiwa tepetepe!
Anyway!

6. "Pesa hainunui furaha"
Wanaume wenye mtazamo huu huishia kuumia na kugharamika maradufu. Huchukulia mambo rahisi. Hivyo hawawekezi nguvu zao kwenye utafutaji. Mwishowe huishia maisha ya kulalamika.
Mwanaume asipokuwa na pesa hawezi kuwa na nguvu ndani ya Nyumba, na hapa sisemi uwe na pesa nyingi Sana hapana, nazungumzia pesa inayokutosha wewe, Mkeo, na watoto.
Ukikosa hiyo basi Mkeo atakusumbua, asipokusumbua yeye basi Vijana wa mtaani watamsumbua, wasipomsumbua yeye basi watasumbua vibinti vyako vikiwa hata havijafika sekondari wataanza Kula embe na chumvi.
Uchunguzi wangu unaonyesha umasikini WA wasichana wengi husababisha kujiingiza katika mapenzi wakiwa wadogo Sana. Kwani hudanganywa na vijana wa mtaani Kama bodaboda, wauza magenge ya chipsi n.k.

Watoto wengu huiga maisha ya wazazi wao. Hupenda kuona kile unachowashauri wewe mwenyewe ulikifuata. Lakini ni watoto wachache Sana wanaofuata maneno ya wazazi pasipo kuangalia uhalisia wa wazazi.

Mtoto anakuwa inspired na Mzazi Kwa uhalisia sio maneno. Na ndio maana ukiwa hujasoma na Masikini ni rahisi Sana mtoto kuwa Masikini na asiwe na Elimu.
Halikadhalika ukiwa umesoma ni rahisi Sana mtoto kuwa kama Mzazi wake hata usipomwambia mtoto anataka kuwa kama Mzazi wake.

Ndio maana inashauriwa mtoto umwonyeshee matendo zaidi kuliko maneno.
Kama hujasoma na ni Masikini Taikon atakushauri ufanye utakavyoweza uoe msomi na mtu mwenye kipato cha kueleweka Kwa faida ya watoto. Vinginevyo utakuwa unapoteza muda. Ingawaje wapo Exceptional ambao ni wachache Mno, tena wachache Sana.

7. " Dini sio tatizo, kila mtu atakuwa na dini yake, ilimradi tunapendana"
Ukiona uliwahi fikiiria kitu Kama hiki ujue wewe ni mjinga wa kiwango cha juu kabisa. Wengi imewagharimu walipoamua kufuata mtazamo huu. Dini humfanya mtu kuwa na Imani Fulani, Imani huleta falsafa, falsafa huleta Mtazamo wa mtu juu ya Maisha. Kama watu mnatofautiana mtazamo mtawezaje kuishi pamoja, Kama sio kujidanganya.

8. " Kuoa single mother sio tatizo, Inategemea na Mwanamke mwenyewe"
Wengi imewagharimu, tena Sana. Wengi Hufanya hivyo Kwa hisia tuu, tena hisia za kitoto ambazo mtu mwenye akili iliyotulia hawezi kufanya hivyo.

Kuoa tuu mwanamke kama Mwanamke ambaye Hana mtoto na hata hajawahi kumjua mwanaume inatakiwa mwanaume ujishike, uwe umekomaa sembuse mwanamke ambaye ni single mother.

Huwa nawashauri Vijana wadogo ambao ndio Kwanza wanaingia kwenye ndoa, wasiingie ndoani na single mother bali Watafute wanawake WA level zao ambao nao hawajawahi kuolewa.
Single mother wawaachie single father, au Wazee waliofiwa na wake zao, au wastaafu au wanaume wanaotaka kuongeza mke WA pili au watatu kuendelea.

Kanuni ni Ileile!
Mchanga Kwa mchanga
Komavu Kwa komavu
Zee Kwa zee au kuukuu Kwa kuukuu!
Sio mwanaume mchanga achukue mwanamke mkuukuu hiyo ni kutafuta matatizo tuu!

9. " Ninatetea na kusaidia Masikini na wanaoonewa, Mungu atamlipa"
Wengi imewagharimu, hakuna malipo ya hivyo ndugu zangu. Maisha ya mwanadamu ni Kama maisha ya wanyama Porini. Wapo swala wanaoonewa na kila mnyama na kila mahali watakapoenda wataonewa tuu. Ndivyo ilivyo Kwa maisha yetu. Kuna watu wapo Kwa ajili ya kuonea wengine, na wapo waliopo Kwa ajili ya kuonea.
Ukijifanya mtetezi unakuwa kundi la watakaoumizwa.
Aliyeumba hii dunia aliweka hivyo, na ndiye mwenye uwezo wa kuondoa na sio wewe.

Niliwahi kusema; Kama tunataka tusioneana Kama Watanzania basi itatupasa tuvamia mataifa mengine ili tuyapekekea uonevu wetu huko. Yaani tupunguze uonevu ndani ya nchi yetu.
Lakini huwezi kuuondoa uonevu pasipo kujua mahali pa kuupeleka.
Huwezi kuondoa Giza hapa ukadhani limeondoka hapana ulichofanya ni kulihamisha Giza kutoka kwako na kukupeleka sehemu nyingine.

Hata Mungu aliuondoa Uovu na Shetani mbinguni na kuutupa/ kumtupa Duniani.
Huwezi kuondoa takataka alafu usijue pakuzitupa utaishia kuchafua zaidi.

Kama hujanielewa basi.

Taikon nipumzike sasa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
What a Man! Mungu akuweke sana sababu unaandika uhalsia utadhani Robert Greene wa 48 laws. Tukipata waandishi kama nyie 10 nchi hii itapona.
 
UJINGA ULIOWAGHARIMU WENGI KWENYE MAISHA!

Anaandika, Robert Heriel.

Kila binadamu anakiwango chake cha ujinga, hata Yule unayemuona anaakili Sana ujue anakaujinga kake.
Sasa unaweza ukawa mjinga lakini kamwe Epuka kuwa MPUUZI, mpuuziaji ambaye baadaye itakufanywa uitwe mjuaji wakati hukuwa unajua. Mjinga ajifanyaye anajua huingia katika kundi la wapumbavu, hivyo ndivyo ilivyo ni Sawa na mwerevu mwenye upuuziaji nayr huingia kwenye kundi la wapumbavu.

Na hii sasa ndio orodha ya ujinga ambao ulisababishwa na upuuziaji uliowagharimu watu wengi Duniani;

1. "Kusoma sio kufanikiwa maisha" wakati Vijana wengi walipoambiwa wasome baadhi Yao walikuwa wakisema maneno hayo au Kuambiwa maneno hayo na watu walioshindwa shule. Wapo waliokuwa wakisema kimoyo moyo.

Usiposoma lazima utumie nguvu kuyamudu maisha hasa ukiwa umetoka familia Masikini. Tena utatumia nguvu na bado utalipwa Kama kibarua. Hii ni Kwa sababu huna tofauti na mnyama Kama punda au ng'ombe ambao nao hutumia nguvu tuu.
Lakini ukitumia akili maslahi yake huwa ya juu.

Vijana Kama huna elimu ni Bora ujiajiri Kwa kweli. Maana wewe ni kibarua na wala haupo kundi la Wafanyakazi. Mshahara wako utakuwa kidunchu wa kula tuu.
Ni Bora ukatembeze karanga, ukauze henge, mkaa, ukawa bodaboda au konda na kazi zingine zisizohitaji elimu kuliko uajiriwe maana utalipwa posho tuu.


2. "Uliona wapi pipi ikaliwa na maganda yake?"
Wengi Kwa ujinga walitumia Kauli hiyo wakaishia kupata UKIMWI, kupata mimba wasizokuwa wamezitarajia. Tena walioolewa au kuoa wakauleta UKIMWI nyumbani na kuiangamiza familia.

3. " Siwezi kujenga na kuishi kijijini Mimi" "Hivyo viwanja vipo mbali na mji"
Wengi wamejikuta wakizeeka pasipo kuwa na Nyumba za kuwastiri wao na watoto wao Kwa akili za kijinga jinga.
Hawakujua kuwa hata hapo wanapopaita Mjini palikuwa kijijini zamani, tena hapakuwa na Nyumba hata moja.
Hujikuta wakiishi maisha Yao Kwa taabu hasa umri ukiwa umeenda, mwishowe huwatesa watoto.

4. " Ngoja nikupe/niolewe naye nitambadilisha au atabadilika"
Wengi wamejikuta wakiyaharibu maisha Yao Kwa ujinga na upuuzi. Unakuta limwanamke ni kahaba, halina sehemu za siri, karibu wanaume wote WA mtaani wanamjua sehemu zake nyeti. Ati unamuoa alafu unahama mtaa, wewe si CHIZI tuu! Malaya hata umpeleke mbinguni ataleta umalaya wake Kwa Malaika. Hujiulizi Kwa nini Huko mbinguni hawataki Malaya, hujiulizi! Sehemu haimbadilishi mtu.
Mtu Kama anatabia mbaya achana naye, tafuta wenye tabia nzuri mbona wapo.

Au unakuta limwanaume haliheshimu wanawake, linazalisha hovyo, linapiga wanawake, linatukana tukana hovyo matusi ya aibu, alafu Kwa ujinga wako unaolewa nalo Kwa matarajio ya kumbadilisha, unaumwa wewe! Mtu kujibadilisha mwenyewe ni shughuli pevu sembuse wewe umbadilishe.
Ndio yake baadaye linatukana wazazi wako, ndugu zako, wengine wanafikia hatua ya kutoka na Dada yako au Mama yako.
Alafu unamlaumu, unalaumu nini wakati wewe ndio ulikuwa mjinga!

Acha Shetani waoane na mashetani.
Malaika waoane na Malaika!
Majini Kwa Majini
Walevi Kwa walevi
Malaya Kwa Malaya n.k.

5. " Acha Nile ujana, nitaolewa tuu"
Asilimia 90 ya wanawake ambao wanaumri wa miaka 30+ waliringa kuolewa na wanaume Fulani Kwa sababu kadha wa kadha!
Wengine walijiona bado wadogo, wakati mwanamke mwenye miaka 20 tuu tayari ni mtu mzima anaukaribia uzee. Akishafikisha 30 tayari keshaondoka kwenye soko.

Ujinga wa baadhi ya wanawake kufikiri Kama wanaume ndio inawagharimu leo hii. Huwezi kuhangaika kutafuta mchumba ukiwa umezeeka, labda utafuta mshirika wa kusogeza siku ziende.

Raha ya Mke umfaidi akiwa mbichi, mtoto bado ngozi inateleza bila hata Mafuta.
Sasa sijui Nani aliwadanganya dada zetu kutafuta kuolewa wakati Sura zao zikiwa zinadondoka chini, na ngozi zikiwa tepetepe!
Anyway!

6. "Pesa hainunui furaha"
Wanaume wenye mtazamo huu huishia kuumia na kugharamika maradufu. Huchukulia mambo rahisi. Hivyo hawawekezi nguvu zao kwenye utafutaji. Mwishowe huishia maisha ya kulalamika.
Mwanaume asipokuwa na pesa hawezi kuwa na nguvu ndani ya Nyumba, na hapa sisemi uwe na pesa nyingi Sana hapana, nazungumzia pesa inayokutosha wewe, Mkeo, na watoto.
Ukikosa hiyo basi Mkeo atakusumbua, asipokusumbua yeye basi Vijana wa mtaani watamsumbua, wasipomsumbua yeye basi watasumbua vibinti vyako vikiwa hata havijafika sekondari wataanza Kula embe na chumvi.
Uchunguzi wangu unaonyesha umasikini WA wasichana wengi husababisha kujiingiza katika mapenzi wakiwa wadogo Sana. Kwani hudanganywa na vijana wa mtaani Kama bodaboda, wauza magenge ya chipsi n.k.

Watoto wengu huiga maisha ya wazazi wao. Hupenda kuona kile unachowashauri wewe mwenyewe ulikifuata. Lakini ni watoto wachache Sana wanaofuata maneno ya wazazi pasipo kuangalia uhalisia wa wazazi.

Mtoto anakuwa inspired na Mzazi Kwa uhalisia sio maneno. Na ndio maana ukiwa hujasoma na Masikini ni rahisi Sana mtoto kuwa Masikini na asiwe na Elimu.
Halikadhalika ukiwa umesoma ni rahisi Sana mtoto kuwa kama Mzazi wake hata usipomwambia mtoto anataka kuwa kama Mzazi wake.

Ndio maana inashauriwa mtoto umwonyeshee matendo zaidi kuliko maneno.
Kama hujasoma na ni Masikini Taikon atakushauri ufanye utakavyoweza uoe msomi na mtu mwenye kipato cha kueleweka Kwa faida ya watoto. Vinginevyo utakuwa unapoteza muda. Ingawaje wapo Exceptional ambao ni wachache Mno, tena wachache Sana.

7. " Dini sio tatizo, kila mtu atakuwa na dini yake, ilimradi tunapendana"
Ukiona uliwahi fikiiria kitu Kama hiki ujue wewe ni mjinga wa kiwango cha juu kabisa. Wengi imewagharimu walipoamua kufuata mtazamo huu. Dini humfanya mtu kuwa na Imani Fulani, Imani huleta falsafa, falsafa huleta Mtazamo wa mtu juu ya Maisha. Kama watu mnatofautiana mtazamo mtawezaje kuishi pamoja, Kama sio kujidanganya.

8. " Kuoa single mother sio tatizo, Inategemea na Mwanamke mwenyewe"
Wengi imewagharimu, tena Sana. Wengi Hufanya hivyo Kwa hisia tuu, tena hisia za kitoto ambazo mtu mwenye akili iliyotulia hawezi kufanya hivyo.

Kuoa tuu mwanamke kama Mwanamke ambaye Hana mtoto na hata hajawahi kumjua mwanaume inatakiwa mwanaume ujishike, uwe umekomaa sembuse mwanamke ambaye ni single mother.

Huwa nawashauri Vijana wadogo ambao ndio Kwanza wanaingia kwenye ndoa, wasiingie ndoani na single mother bali Watafute wanawake WA level zao ambao nao hawajawahi kuolewa.
Single mother wawaachie single father, au Wazee waliofiwa na wake zao, au wastaafu au wanaume wanaotaka kuongeza mke WA pili au watatu kuendelea.

Kanuni ni Ileile!
Mchanga Kwa mchanga
Komavu Kwa komavu
Zee Kwa zee au kuukuu Kwa kuukuu!
Sio mwanaume mchanga achukue mwanamke mkuukuu hiyo ni kutafuta matatizo tuu!

9. " Ninatetea na kusaidia Masikini na wanaoonewa, Mungu atamlipa"
Wengi imewagharimu, hakuna malipo ya hivyo ndugu zangu. Maisha ya mwanadamu ni Kama maisha ya wanyama Porini. Wapo swala wanaoonewa na kila mnyama na kila mahali watakapoenda wataonewa tuu. Ndivyo ilivyo Kwa maisha yetu. Kuna watu wapo Kwa ajili ya kuonea wengine, na wapo waliopo Kwa ajili ya kuonea.
Ukijifanya mtetezi unakuwa kundi la watakaoumizwa.
Aliyeumba hii dunia aliweka hivyo, na ndiye mwenye uwezo wa kuondoa na sio wewe.

Niliwahi kusema; Kama tunataka tusioneana Kama Watanzania basi itatupasa tuvamia mataifa mengine ili tuyapekekea uonevu wetu huko. Yaani tupunguze uonevu ndani ya nchi yetu.
Lakini huwezi kuuondoa uonevu pasipo kujua mahali pa kuupeleka.
Huwezi kuondoa Giza hapa ukadhani limeondoka hapana ulichofanya ni kulihamisha Giza kutoka kwako na kukupeleka sehemu nyingine.

Hata Mungu aliuondoa Uovu na Shetani mbinguni na kuutupa/ kumtupa Duniani.
Huwezi kuondoa takataka alafu usijue pakuzitupa utaishia kuchafua zaidi.

Kama hujanielewa basi.

Taikon nipumzike sasa!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
kuna vitu umeandika hapa vipo sawa logically ila tukiingia kwenye uhalisia vinakinzana. But mimi binafsi nikupongeze kwa ufahamu wako mzuri kuhusu maisha na hili ni moja kati ya andiko zuri watu kujifunza ila sio kuyaishi na kuamini hivyo kwa asilimia 100%.. Maisha ya mtu ni too complicate scene ambayo majibu yake hayapatikani kwa kiumbe chochote hapa duniani zaidi ya yeye MUNGU aliyetuumba. Mungu akubariki, karibu sana Ontario CA.
 
mimi napinga hyo ishue sijui mzazi kama hajasoma basi na watoto hawatasoma au kuwa maskini...

wazazi wangu hawakusoma kbsa na tumezaliwa watoto wa 5 ..nataka nkuambie mpka sasa wote tuna degree kasoro mmoja ana diploma.

siioni point kweny hicho kipengele lbda ungesema kuwa inategemea na akili ya mtu.

***********

KUOA SINGLE MOTHER

aisee nina jamaa yangu ameoa binti ambaye ana mtoto .

hivi navyozungumza wana miaka 7 kweny ndoa na hata siku moja sijawahi kuoa wametofautiana kiasi ch kujuta kuwa pamoja.

siamini kwny baadhi ya vipengele ulivyoainisha.

UMESEMA KILA MTU ANA KAUJINGA KAKE NO MATTER HOW PERFECT MTU ANA JI-POTRAY KWA JAMII...

NAAMINI WW KAUJINGA KAKO NI HAKA KUANDIKA VITU UKIWA VERY SURE AS IF U HAVE STUDIED THE HUMAN PHYCHOLOGY TO THE EXTENT OF EXPERTISE.



this is bull shit!!!
Trigger level 100%
 
kuna vitu umeandika hapa vipo sawa logically ila tukiingia kwenye uhalisia vinakinzana. But mimi binafsi nikupongeze kwa ufahamu wako mzuri kuhusu maisha na hili ni moja kati ya andiko zuri watu kujifunza ila sio kuyaishi na kuamini hivyo kwa asilimia 100%.. Maisha ya mtu ni too complicate scene ambayo majibu yake hayapatikani kwa kiumbe chochote hapa duniani zaidi ya yeye MUNGU aliyetuumba. Mungu akubariki, karibu sana Ontario CA.

🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

Nashukuru Sana Mkuu.
Barikiwa sana
 
mimi napinga hyo ishue sijui mzazi kama hajasoma basi na watoto hawatasoma au kuwa maskini...

wazazi wangu hawakusoma kbsa na tumezaliwa watoto wa 5 ..nataka nkuambie mpka sasa wote tuna degree kasoro mmoja ana diploma.

siioni point kweny hicho kipengele lbda ungesema kuwa inategemea na akili ya mtu.

***********

KUOA SINGLE MOTHER

aisee nina jamaa yangu ameoa binti ambaye ana mtoto .

hivi navyozungumza wana miaka 7 kweny ndoa na hata siku moja sijawahi kuoa wametofautiana kiasi ch kujuta kuwa pamoja.

siamini kwny baadhi ya vipengele ulivyoainisha.

UMESEMA KILA MTU ANA KAUJINGA KAKE NO MATTER HOW PERFECT MTU ANA JI-POTRAY KWA JAMII...

NAAMINI WW KAUJINGA KAKO NI HAKA KUANDIKA VITU UKIWA VERY SURE AS IF U HAVE STUDIED THE HUMAN PHYCHOLOGY TO THE EXTENT OF EXPERTISE.



this is bull shit!!!
Mie nakupinga kwa asilimia zotee! Mzazi km hajasoma watoto hawatasoma pia! ni kweli kabisaa wewe kusoma kutoka kwa mzazi kilaza kuna mambo matatu Moja ni kwa kuwa

huyo mzazi alijua/tambua umuhimu na maana ya Elimu! hii tu ni kisomo pia!

Pili aliishi Mazingira ya wasomi km Misssion, hata kufanya kazi za ndani kwa msomi, Mikocheni, oyster bay uzunguni Ikulu nk! ni kusoma pia!

Tatu aliona na kuitambua faida ya wasomi, hili tu ni kusoma pia!
ile tu kutembea kuona, kudadisi na kujua kuna fungua macho ya fursa mnooo! wazazi wako km walifanya kazi kwa wahindi/waarabu lazima wafunguke tu!...japo hawana elimu ya darasani!

pamoja na weye kuwa kusema graduate sina hakika na hili...... ni makosa kuamini kuwa Elimu hupatikana Drsani tuu!!kule field uliko kwenda ulikutana na watu ambao hawakusoma kabisaaaa lkn walikuwa msaada kwako!

mfano hai! DR mafunzoni akienda field ni lazima akutane na TBA wasiopungua saba, awajue na wa mu asses! finally watie dole gumba lao ili hatimaye DR apitishwe.

nasema haya ili ujue kuwa hata ambaye hakusoma una la kujifunza ktoka kwake km weye ulivo pata muongozo kutoka kwa wazazi vilaza !kwa mujibu wa respond yako!

nikiwa na maana kuwa wazazio hawakwenda shule unayo dhania weye! ni sawa! lkn kuna mahala usipopajua wao km wao walijifunza kitu umuhim wa Ilimu!! hiyo nayo ni shule kubwa isiyo rasmi!

Mfano house girl wa kikwete/kairuki/ Professor shivji! aliye kaa nae vizuri na miaka mingi una dhani watoto wa house/boy/girl watakuwa vilaza? mifano ni mingi!
 
Mluu mimi naomba nijenge hoja katika hii kanuni ya "kilw mtu atapata wa kufanana nae"

Neno kufanana ni neno pana ambalo hatutakiwi kulitafsiri kwa kulifinya hhata kidogo.

Kwa sababu neno kufanana upsna wake inaweza kuwa kufanana kiumri,
Inaweza kuwa kufanana kwa rangi
Inaweza kuwa kufanana kwa tabia
Inaweza kuwa kufanana kwa dini
Inaweza kuwa kufanana kwa idadi ya watoto mliokuwa nao
Inaweza kuwa kufanana kwa urefu.
Inaweza kuwa kufanana kwa unene.
Inaweza kuwa kufanana kwa hali za kipato.
Inaweza kuwa kufanana kwa makabila.
Inaweza kuwa kufanana kwa level za elimu
kufanana kwa idadi ya ndoa mlizowahi kufunga nakadhaalika.

Mkuu hizo zote hapo juu ni tafsiri zinazoingia kwenye neno kufanana.

So ni dhaahir kwamba utakapooa mtu ambaye mumefanana kwa jambo fulani maana yake kuna mambo mengi kinyume na hayo mtatofautina tu.

Mfano kijana ambae hajaoa anaoa mke ambaye hajawahi kuolewa kwa kudai tu anaoa mtu aliyefanana nae,

hapo huyu mtu katafuta mke anayefanana nae kwa mujibu wa idadi ya ndoa alizozipitia huko nyuma na akaona kwamba huyu hajawahia kuolewa kama yeye.

Lakini mbali ya kufanana hhuko hao watu kwa idadi ya ndoa za nyuma bila shaka watatofautiana kwa mambo mengine mengi

Mfano wa mambo ambayo wanaweza kutofautina ni hadhi ya familia,kipato,elimu,rangi,kimo,aina ya kazi,tabia n.k

Sasa kama hii fomula ingekuea inamata basi leo watu wasingeishi pamoja ama ingekuwa dunia yote ni taabu tupu kwa sababu hatufanani kwa yote na wala hatutofautiani kwa yote.

Nikirudi kwenye point yangu ni kwamba kuoa single mother sio tatizo kwa sababu huwenda mkatofautiana kwenye ishu ya idadi ya watoto
lakini mkafanana kwenye ishu ya tabia,kabila,levo ya elimu,hadhi ya familia na hayo mliyofanana yakawafanya muiishi vizuri kwenye ndoa kuliko hayo mliyotofautina.
Uko smart mkuu,kwahyo unatushauri kabla yakuoa tuangalie level of similarities between us sio Mkuu,nimevuna kitu hapa bwashee!
 
Hoja Imeungwa Mkono!!
Sasa Nitawahoji......
 
Mengi uliyosema apo mtu asipoyafikiria na kuingia kichwa kichwa ni kama Mandonga mtu kazi anavosema "Mtu atapigwa kama ngoma"
 
Back
Top Bottom