Matadi, Boma na Banana Ile ni mialo tu... Hakuna biashara wala sophisticated machine za kufanya kuweza kuhimili biashara ndani ya Congo. Hiyo Matadi ambayo ndio kubwa kabisa anategemea transhipment from Angola.Matadi.
Mualo na unachukua ocean going ships!?Matadi, Boma na Banana Ile ni mialo tu... Hakuna biashara wala sophisticated machine za kufanya kuweza kuhimili biashara ndani ya Congo. Hiyo Matadi ambayo ndio kubwa kabisa anategemea transhipment from Angola.
Unaeleza mini kwani watanzania south Sudan na kongo tumezubaa? Huelewi unachoongea.Uko sifuriHao hao War lords wanahitaji investors. Wao wanasupply ulinzi. War Lords kibao wa DRC wamejirasimisha, wana makampuni, na wengine ni wabunge kabisa. Ukiogopa shahuri yako na uoga wako wa Ktz. Wakenya wamejaa kupiga biashara South Sudan watz wanakalia kusingizia vita.
Sasa unavyosema kuna wababe wa kivita tu? Ukweli ni kuwa kiburi cha Tz kama Darling wa EAC kimefika mwisho. Nategemea kuona sasa EAC inapiga hatua.Unaeleza mini kwani watanzania south Sudan na kongo tumezubaa? Huelewi unachoongea.Uko sifuri
Tanzania tumekamata kongo kuliko member yeyote wa EAC EAC kibiashara sababu ya position yetu
Anyway nisimwage mtama kwenye kuku wengi sababu na mimi nina biashara kongo
Wafanyabiashara wanaofanya biasharaa kongo wananielewa vizuri wawe wanafanya biashara ndogo au kubwa wananielewa barabara
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
Naomba ufute hiyo kauli kusema watanzania tumezubaa kupiga pesa kongo au Sudan kusini
Hujiulizi kwa nini Tanzania tulipeleka majeshi south Sudan na kongo
Niishie hapo
Njaa tu imewashinda kuidhibiti huko kwenu Kenya, sasa mtaweza kupambana na hao waasi wa Congo?.Sasa unavyosema kuna wababe wa kivita tu? Ukweli ni kuwa kiburi cha Tz kama Darling wa EAC kimefika mwisho. Nategemea kuona sasa EAC inapiga hatua.
Kwani watanzania sio wababe kivita popote ?Sasa unavyosema kuna wababe wa kivita tu? Ukweli ni kuwa kiburi cha Tz kama Darling wa EAC kimefika mwisho. Nategemea kuona sasa EAC inapiga hatua.
Unachanganya sana hoja mkuu. Hueleweki.Kwani watanzania sio wababe kivita popote ?
Unadhani huwa tunaenda kuuza sura kwani kule kuna mashindano ya urembo
Congo kuna waasi gani wa maana? Wale ni bandits tu wanaotafuta ugali.Njaa tu imewashinda kuidhibiti huko kwenu Kenya, sasa mtaweza kupambana na hao waasi wa Congo?.
Pia Alshaab wanawapapasa wajisikiavyo, sasa hiyo nguvu ya kuwekeza Congo huku mkipambana na waasi inatoka wapi?.
Tanzania ndio nchi pekee inayoamua EAC iwepo au isiwepo maana ina kura ya Veto. Hivyo bado wote mnaitegemea Tz kwa kila kitu ili kudumisha uwepo wa EAC. Mengine ni maneno tu
We nyang'au nenda kanunue Sasa ardhi kongo uone hata kama utailika bado Tanzania atabaki ni baba tuBinafsi nimependa sana hili jambo. Kwa muda mrefu Tz amekuwa mkwamishaji mkubwa wa mipango ya EAC akijivunia wingi wa watu na ukubwa wa ardhi.
Siku zote akidai memba wengine wanataka kunyakua ardhi yake. Amekuja DRC ambaye ana ardhi nzuri kuliko TZ na kubwa kuliko memba wengine wote wakiwekwa pamoja. Wana idadi kubwa ya watu na rasilimali nyingi sana. Tanzania siyo darling tena wa EAC.
Wewe unaonaje ujio wa DRC kwenye EAC?
Tanzania ndio nchi pekee imepakana na nchi zote wanachama wa hiyo jumuiya,hicho ni kigezo tosha cha kujivunia.Tanzania siyo darling tena wa EAC.
Wewe unaonaje ujio wa DRC kwenye EAC?
Ipo kama DRC tu. DRC haijapakana na Kenya. Na Tz haijapakana na South Sudan.Tanzania ndio nchi pekee imepakana na nchi zote wanachama wa hiyo jumuiya,hicho ni kigezo tosha cha kujivunia.
Kama kikitumika vizuri kina tija nzuri sana kiuchumi.
Jipe moyo, enzi za TZ kubembelezwa zimeisha. Hata makao makuu ya EAC yanaweza hamishwaWe nyang'au nenda kanunue Sasa ardhi kongo uone hata kama utailika bado Tanzania atabaki ni baba tu
Ok kujadiliana na wewe siendelei tenaUnachanganya sana hoja mkuu. Hueleweki.
Sisi ni kama Russia ni vitendo tuUnaeleza mini kwani watanzania south Sudan na kongo tumezubaa? Huelewi unachoongea.Uko sifuri
Tanzania tumekamata kongo kuliko member yeyote wa EAC EAC kibiashara sababu ya position yetu
Anyway nisimwage mtama kwenye kuku wengi sababu na mimi nina biashara kongo
Wafanyabiashara wanaofanya biasharaa kongo wananielewa vizuri wawe wanafanya biashara ndogo au kubwa wananielewa barabara
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza
Naomba ufute hiyo kauli kusema watanzania tumezubaa kupiga pesa kongo au Sudan kusini
Hujiulizi kwa nini Tanzania tulipeleka majeshi south Sudan na kongo
Niishie hapo
Hali ya kisiasa na kiusalama ni mwiba kwa Drc, huku Tz inajivunia hali nzuri kwenye hayo maeneo mawili.Ipo kama DRC tu. DRC haijapakana na Kenya. Na Tz haijapakana na South Sudan.
na wewe kwa kweli, yaani dr congo amtishe tanzania!!??!! hata karwanda tu hakababaisi. ndio ni likubwa lakini halina mipango iliyonyooka. hamna kitu hiloBinafsi nimependa sana hili jambo. Kwa muda mrefu Tz amekuwa mkwamishaji mkubwa wa mipango ya EAC akijivunia wingi wa watu na ukubwa wa ardhi.
Siku zote akidai memba wengine wanataka kunyakua ardhi yake. Amekuja DRC ambaye ana ardhi nzuri kuliko TZ na kubwa kuliko memba wengine wote wakiwekwa pamoja. Wana idadi kubwa ya watu na rasilimali nyingi sana. Tanzania siyo darling tena wa EAC.
Wewe unaonaje ujio wa DRC kwenye EAC?
Ishu ya usalama wa DRC kwa sasa ni wanyang'anyi tu. Hakuna kitisho cha maana cha usalama. Ni wanyang'anyi wanaotafuta ugali. Na pia DRc ni kubwa sana. Kuna sehemu nyingi hakuna hao bandits.Hali ya kisiasa na kiusalama ni mwiba kwa Drc, huku Tz inajivunia hali nzuri kwenye hayo maeneo mawili.
Lakini inapotential kubwa. Itakuwa na say kubwa sana jinsi mambo ya EAC yanavyoenda. Ina ardhi kubwa, watu wengi na rasilimali nyingi. Ikisema ikikataa kitu impact yake ni kubwa, kama ambavyo Tanzania ilikuwa. Akikubali ushirika wa ardhi kwa members wa EAC, hata Tz akikataa hakutakuwa na madhara, zaidizaidi ni Tz ndiye atapata hasara.na wewe kwa kweli, yaani dr congo amtishe tanzania!!??!! hata karwanda tu hakababaisi. ndio ni likubwa lakini halina mipango iliyonyooka. hamna kitu hilo
Hao unaowaita wewe wanyang'anyi ndio wameifanya kuwa na idadi kubwa ya wakimbizi kwenye eneo la maziwa makuu.Ishu ya usalama wa DRC kwa sasa ni wanyang'anyi tu. Hakuna kitisho cha maana cha usalama. Ni wanyang'anyi wanaotafuta ugali. Na pia DRc ni kubwa sana. Kuna sehemu nyingi hakuna hao bandits.