Uchaguzi 2020 Ujio wa Tundu Lissu utatufanya tukapige kura

Ni kweli kabisa lissu ndio tumaini lililobaki hakuna mwingine tutamwamini akisimama kugombea kiti cha urais 2020 mimi pamoja na familia yangu wote tutapiga kura
 
Kabisa aisee, kwa maana vijana wengi ajira hatuna,
 
Misukule ya Lumumba mimi naipitaga kama upepo.
Pumbavu.

Unao ushahidi?

Tena nasikitika sana kukujibu hapa, kwa sababu hustahili kujibiwa. Huna hadhi na heshima ya kujibiwa hata kwa dharau.

Usihangaike kuni'quote' tena.
 
Hata wazindue jengo la kuhifadhi kura tutampigia lissu
 
Ahahahah, mtoa uzi mi nilitaka kujua tu upo Ujerumani au Tanzania, nisaidie ilo tu.
 
Usijali,Mussa yuko katika maandalizi ya kuja kuokoa wana wa Israeli siku si nyingi.
Lissu aje ili Watanzani wapate mkombozi!!
Nchi watu wanagawana wanarithishana na watoto watakuja wajukuu!!
Masikini wanazidi kudidimia, S Africa Jor' Bug flyover na 8Lains highways si za kuuliza, umeme wa nukria wa uhakika lakini watu walidai uhuru!!
Maendeleo bila uhuru wa kidemokrasia na katiba nzuri ya wananchi huo ni utumwa!!
Mtu pekee wa kutengeza taifa huru lenye katiba bora ni;
MWANA SHERIA NGULI TUNDU ANTIPASI LISSU. KARIBU NYUMBANI TUNAKUNGOJEA KWA HAMU KUBWA!!
MTETEZI WA WANYONGE KUANZIA KAHAMA, GEITA BUZWAGI HADI NYOMONGO ETC!!
 
LOOooh, "Ni kweli kabisa, kuwa'ni rahisi kwa Tanzania kuitawala Marekani kuliko Magufuli kuanguka 2020'"?

Mkuu 'Tindo' ni wewe?
Koudou Laurent Gbagbo na Yahya Abdul-Aziz Jemus Junkung Jammeh wote walikuwa makatili huyu Meko cha mtoto wako wapi sasa hivi
 
Pumbavu.

Unao ushahidi?

Tena nasikitika sana kukujibu hapa, kwa sababu hustahili kujibiwa. Huna hadhi na heshima ya kujibiwa hata kwa dharau.

Usihangaike kuni'quote' tena.
Msaliti - Lissu is a Sellout and sellouts have to be necklaced. Yaani wamvishe tairi la gari na uwashwe moto - Sellout
 
M
Koudou Laurent Gbagbo na Yahya Abdul-Aziz Jemus Junkung Jammeh wote walikuwa makatili huyu Meko cha mtoto wako wapi sasa hivi
[/QUOTE
Ni mtu/watu au viongozi gani walikuwa wazuri ambao wanaishi milele mpaka leo? Duaa la kuku hilo!
 
Ni kweli kabisa lissu ndio tumaini lililobaki hakuna mwingine tutamwamini akisimama kugombea kiti cha urais 2020 mimi pamoja na familia yangu wote tutapiga kura
Unaachaje kupiga kura kwa Lissu kwa mfano!
 
Mpenda haki na utawala bora. Mbona Tz itakuwa kama Finland. We will enjoy the fruits. Watanzania tuungane kupata Taifa bora.
 
Usije kimbia uzi huu baada ya uchaguzi. Lissu ni bogus Wala Hana impact yoyote October 28

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Msaliti - Lissu is a Sellout and sellouts have to be necklaced. Yaani wamvishe tairi la gari na uwashwe moto - Sellout
Hayo usemayo ni laana kwa mtu asiye na hatia, mwenyewe unajua!!
Hakutoka baa wala mahali popote, akapigwa risasi mchana kweupe Eneo Area D. Dodomay
makazi ya viongozi tena wabunge!!
Hayo unayo bwabwaja unasababisha laana kwako na familia yako!!
Mungu alituumba tujenge familia nzuri sio tutumike na shetani kutengeneza familia za majambazi!!
Labda wewe ni mhusika unaogopa kujulikana!!
 
Hakika ni shetani pekee anayeweza kumnyima Tundu Lissu kura. Shetani peke yake ndiye anayefurahia maovu.
Lissu mwenyewe shetani wewe ata hujiulizi mtu kushambuliwa kote kule anaponaje kama sio shetani .
 
Hawezi kuacha kuhofia! Keshagunduwa wapambe wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa ya konyagi!🤣
Kiboko ya M/kiti wako lazima uiheshimu... louder basi Konya...
 
Si anatafutwa huyo na mahakama huyo? Lakini eti ni kweli mpaka sasa hivi hakuna aliyekamatwa kwa kosa la kujaribu kumuua Tundu Lissu? Hata mshukiwa? nina muda mrefu sijafuatilia hii issue labda kuna habari mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…