Uchaguzi 2020 Ujio wa Tundu Lissu utatufanya tukapige kura

Ahahahah, mtoa uzi mi nilitaka kujua tu upo Ujerumani au Tanzania, nisaidie ilo tu.
Nipo DSM natoa huduma kwa wenye shida, hasa wagonjwa kwahiyo nipo sana hapa
 
Usijali,Mussa yuko katika maandalizi ya kuja kuokoa wana wa Israeli siku si nyingi.
Musa alifia njiani, hakufika nchi ya ahadi🙄
Kura za Facebook atapata, Ila kura za watu wanaojitambua hawezi kupata
 
Mm nahisi mapokezi ya lisu hayatazuiliwa kwa kuwa siasa imeisharuhusiwa
 
Nawaambia kuna watu wanatetemeka wasomapo ujumbe huu.
 
Humu Kuna ndoto zinaotwa za matumain zilizo katkat ya kina Cha bahari af znatkiwa hizo ndoto zivuke ngambo!!!!!
 
Nipo DSM natoa huduma kwa wenye shida, hasa wagonjwa kwahiyo nipo sana hapa
Sawa mkuu, maana niliona kuna sehemu umeandika "hata huku Ujerumani Adolf Hittler....." nikajua upo Ujerumani
 
Hakika ni shetani pekee anayeweza kumnyima Tundu Lissu kura. Shetani peke yake ndiye anayefurahia maovu.
Kupata uraisi hakutokani na kupigiwa kura nyingi! Katiba inasema kuwa atakayetangazwa na Tume ya uchaguzi ndiye atakekuwa raisi hivyo tume yaweza kumtangaza aliyepata kura chache kuwa mshindi, na tangazo hilo haliwezi kuhojiwa mahakamani. Nani ana ubavu wa kumtangaza mpinzani kuwa kashida uraisi? Mtu anayedhani hilo linawezekana huwa ana roho ngumu sana. Tafakari zaidi!
 
wkati wanaendelea kumsubiri Musa wao, ni mda mwafaka sasa wa kuendeleza ile mada ya kumuongezea awamu sita zingine JPM!
 


kwan unadhan watu wanamtukuza, kazi nzuri inajiongelesha yenyewe mbna hata nje ya nchi watu wanamkubali na ameshinda president of the year mara kibao, tatizo lenu mnajirundika kwenye post moja cdm nzima mkipeana moyo na akitokea mtu anaongelea tafauti anarushiwa tusi, sasa nyie endeleeni ivo ivo october uyo musa wenu akipata ata 10% njoo niprove wrong, Infact we fanya tu research yako kitaa watu ata hawana ham na uchaguzi tena, mada iliopo mezani ni kubadilisha katiba magufuli aendelee awamu za kutosha nyie endeleni kumsubiri musa wenu mtamuapisha kama raila
 
mbona nyie Magufuli munamwita mtukufu unaona wivu na wengine wakiwa na wao mbona mumewafukuza watu uwanachama waliotaka kugombea uraisi kama akina Membe

mbna cdm hamjamchukua na alikua kwenye market mda mrefu, just be prepared soon ACT wanatoa KUB nyie mnabaki na musa wenu
 
Ndugu hebu soma vizuri bandiko langu, sikumzungumzia Magufuli, ila nina mzungumzia Lissu.
 
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

Paskali
 
Baada ya kupigw kibao na wajumbe sasa naona akili inakukaa sawa

BAK, muone P leo naona anamkaribisha Lissu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…