Huu uzi watachangia wanaume tu ila KE wenzako wanausoma wakiwa na attitude hii👇👇👇😂😂😂😂
View attachment 1805700
Natabili kuna mmoja atasema tusipangiane maisha😂Brigadier Isaac weweeeee😎😎😎
Natabili kuna mmoja atasema tusipangiane maisha😂
leo nimepata jibu why ke wenye muonekano wa kawaida/mbaya ndo wanaongoza kuolewa
Ukweli mchungu,inaonekana hili somo la tabia nzuri na akili ni gumu sana kujifunza,ina maana wanashindwa hata ku pretend...?
Waseme tuu ila wasisahau asili na imani zetu kwamba wenye kutoa maamuzi ya kuoa ni wanaume, wenye kwenda kulipa mahari ni wanaume.... na hakuna mwanaume anayetaka kuingia gharama yenye kumpa hasara
hii kitu unaelewa wewe na KE wachache ila wengi wanakimbilia kwa sangoma ili waolewe na kwa vile ndoa ni tasisi ya Mungu pia Mungu akubali ushirikina ndio huishia kuachikaWaseme tuu ila wasisahau asili na imani zetu kwamba wenye kutoa maamuzi ya kuoa ni wanaume, wenye kwenda kulipa mahari ni wanaume.... na hakuna mwanaume anayetaka kuingia gharama yenye kumpa hasara
hii kitu unaelewa wewe na KE wachache ila wengi wanakimbilia kwa sangoma ili waolewe na kwa vile ndoa ni tasisi ya Mungu pia Mungu akubali ushirikina ndio huishia kuachika
Sio mmoja tu, mabinti wengi wanaohisi kuolewa ni muonekano.....Natabili kuna mmoja atasema tusipangiane maisha😂
Kwani muoaji anaangalia muonekano wa juu ama muonekano wa ndani? Tabia pamoja na akili ya mwanamkeleo nimepata jibu why ke wenye muonekano wa kawaida/mbaya ndo wanaongoza kuolewa
Kupretend ni ngumu lazima tu asili yako itaonekanaUkweli mchungu,inaonekana hili somo la tabia nzuri na akili ni gumu sana kujifunza,ina maana wanashindwa hata ku pretend...?