Ujumbe makini kwa mabinti toka kwa baba wa kiroho - "Mabinti msijilazimishe kwa wanaume"!

Ujumbe makini kwa mabinti toka kwa baba wa kiroho - "Mabinti msijilazimishe kwa wanaume"!

kitakwimu ipo hivi:

1.ke pisi qali walio ndoani ni 25% ya ke wote wazuri bt ke wakawaida na ke wenye muonekano mbaya waliopo ndoani ni 75% na kuendelea.
2. ke pisi qali singo maza ni 75% na kuendelea bt ke wakawaida/wabaya singo maza ni 25%.
3. ke pisi qali wadangaji ni 75% bt ke wakawaida/wabaya wadangaji ni 25% kushuka chini.
4.ke pisi qali wanaovunja ndoa ni 75% kupanda bt ke wakawaida/wabaya wanaovunja ndoa ni 25% kushuka
5. ke pisi qali wanaodumisha ndoa ni 25% pekee bt ke wakawaida wanaodumisha ndoa ni 75% na kuendelea.

nb: ni ngumu sana kumkuta HB hana ndoa bt kwa wanawake hili ni janga la kitaifa.
Utafiti kiwango cha SGR! hatari nanusu aisee!
 
Wanaume kwenye kuoa wako makini jamaniiiii yaani hata wale wanaume wabovu kabisa unakuta anachagua mwanamke makini ajabu.. na baada ya hapo ndio waolewaji ndio wanakuja kushtuka na kuishia kulia na kusaga meno😂😂😂
Katika moja mafundisho yake ambayo yapo YouTube marehemu mchungaji Mitimingi anasema mwanaume na mwanamke wanapoingia kwenye ndoa, ni mwanaume ndio mwenye nafasi kubwa ya kufanikiwa au ya kuharibikiwa kwenye maisha. Ili ni somo kubwa sana.
 
Wanaume wengi kwenye mambo ya kujirusha wanaangalia vitu vya nje vile vinavyotamanisha, kuwapa mzuka na kuwatega ila inapokuja kwenye suala la kuoa huwa wanaangalia mke na sio mwanamke tuu.

Wanaangalia mambo ya ndani kama tabia na akili ya maisha na sio yale mambo ya nje tena.
Ya ndani yakiwa safi ya nje atayatengeneza tuu

View attachment 1805683
Kabisa hakuna mtu anaependa azae na kilaza.
 
Umeandika jambo la msingi sana.
Kuoa ni zaidi ya kupata mke, kuoa ni kupata mwenza wa maisha, kuoa ni kupata mama wa watoto wako, kuoa ni kupata roll model wa Watoto wako.
Kuoa ni kuanzisha safari, safari usiyojua yaliyopo mbele. Unahitaji mtu imara zaidi ya mtu mrembo. Ukibahatika kupata mwanamke mrembo na imara hiyo ni advantage kwako.

Huwezi tu kukurupuka kuoa mwanamke kwa sababu ya sura na tako.
Mwaka mmoja Katika ndoa muonekano huwa hauna faida yoyote katika maisha ya ndoa.

Nikiangalia classmates zangu wa kike pale UDSM wale ambao walikuwa wa kawaida wote wapo kwenye ndoa. Wale warembo, waliokuwa wanajiona naona bado wanakula maisha huku umri unaenda bila mahusiano imara.

Inawezekana ukawa mrembo, mwenye shape na bado ukawa mwanamke imara na mwenye kujua maisha halisi.

Wapo wadada warembo, wenye miili inayovutia ambao waliamua kwa makusudi kuona maisha ni zaidi ya sura zao nzuri na maumbo yao mazuri.

Ukitaka kufanikiwa, uwe mwanamke au mwanaume kaa ukijua kuwa maisha ni zaidi ya muonekano wako.

Ngoja niwahi kazini watanzania wenzangu.
 
Umeandika jambo la msingi sana.
Kuoa ni zaidi ya kupata mke, kuoa ni kupata mwenza wa maisha, kuoa ni kupata mama wa watoto wako, kuoa ni kupata roll model wa Watoto wako.
Kuoa ni kuanzisha safari, safari usiyojua yaliyopo mbele. Unahitaji mtu imara zaidi ya mtu mrembo. Ukibahatika kupata mwanamke mrembo na imara hiyo ni advantage kwako.

Huwezi tu kukurupuka kuoa mwanamke kwa sababu ya sura na tako.
Mwaka mmoja Katika ndoa muonekano huwa hauna faida yoyote katika maisha ya ndoa.

Nikiangalia classmates zangu wa kike pale UDSM wale ambao walikuwa wa kawaida wote wapo kwenye ndoa. Wale warembo, waliokuwa wanajiona naona bado wanakula maisha huku umri unaenda bila mahusiano imara.

Inawezekana ukawa mrembo, mwenye shape na bado ukawa mwanamke imara na mwenye kujua maisha halisi.

Wapo wadada warembo, wenye miili inayovutia ambao waliamua kwa makusudi kuona maisha ni zaidi ya sura zao nzuri na maumbo yao mazuri.

Ukitaka kufanikiwa, uwe mwanamke au mwanaume kaa ukijua kuwa maisha ni zaidi ya muonekano wako.

Ngoja niwahi kazini watanzania wenzangu.

Uwe na siku njema affinitytz
 
Wanaume kwenye kuoa wako makini jamaniiiii yaani hata wale wanaume wabovu kabisa unakuta anachagua mwanamke makini ajabu.. na baada ya hapo ndio waolewaji ndio wanakuja kushtuka na kuishia kulia na kusaga meno[emoji23][emoji23][emoji23]
Umenena vya rohoni na ukweli Mama D. Mwanaume anayetaka kutengeneza familia bora lazima apate mke sahihi na bora. Mke ndio mtendaji mkuu wa taasisi sasa warembo wengi wao wanaangalia sana maisha ya anasa. Ukiangalia wadada wazuri wengi sana wameangukia katika mikono sio salama na kuzalishwa akina Junior wengi sana kutokana na kuzaa na waume za watu ambao wamewarubuni. Kuoa mke sahihi ni sawa na kutafuta shamba lenye uhakika wa kukuletea mazao mengi na mazuri. Tofauti na shamba la kuweka mbolea kila msimu.
 
Nimeelewa, maana nilikuwa namuuliza huyu bwana kwanini kaamua kunichukua Mimi ilhali anao uwezo wa kugonga celebrity wengi tu Tena wakali kinoma,,

Wanaume wako makini Sana katika kufanya maamuzi ya kuoa zaidi ya akili zetu wanawake tunavyofikiri
 
Back
Top Bottom