Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,314
- 9,215
Mbona ilimsaidia ndugu yetu Kipepeo wa chuma1 au bado hajaolewaKuliko kwenda kwa sangoma ili upate ndoa heri ubaki bila ndoa milele
Yaani wewe Mungu amekuumba na kukupa mwili wako na viungo vyake ili awe nawewe akikuongoza halafu wewe unamweka kando unaamua kumtafuta shetani ndio akuongoze.... Yaani nyumba ya Mungu halafu unamkabidhi shetani🙄🙄
Umekwishaaa😥😥😥