Ujumbe makini kwa mabinti toka kwa baba wa kiroho - "Mabinti msijilazimishe kwa wanaume"!

Mbona ilimsaidia ndugu yetu Kipepeo wa chuma1 au bado hajaolewa
 
Kwa sangoma ni kwenda kuingia mikataba ambayo mwisho wake ni mgumu na mbaya sanaaa
Nina uhakika hadi sasa kipepeo ana ushuhuda wa hilo
Bado vyungu vinapikwa tuwe na subira anaolewa soon ataleta mrejesho๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuhusu baba mtoto sjui alifikia wapi
 
Bado vyungu vinapikwa tuwe na subira anaolewa soon ataleta mrejesho๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ na kuhusu baba mtoto sjui alifikia wapi

Naomba ni tag kwenye hiyo post ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Very true
 
Mnatuchanganya jamani mara mseme wazuri ndio wameolewa madungaembe wanahangaika, mara wabaya ndio wameolewa....
kitakwimu ipo hivi:

1.ke pisi qali walio ndoani ni 25% ya ke wote wazuri bt ke wakawaida na ke wenye muonekano mbaya waliopo ndoani ni 75% na kuendelea.
2. ke pisi qali singo maza ni 75% na kuendelea bt ke wakawaida/wabaya singo maza ni 25%.
3. ke pisi qali wadangaji ni 75% bt ke wakawaida/wabaya wadangaji ni 25% kushuka chini.
4.ke pisi qali wanaovunja ndoa ni 75% kupanda bt ke wakawaida/wabaya wanaovunja ndoa ni 25% kushuka
5. ke pisi qali wanaodumisha ndoa ni 25% pekee bt ke wakawaida wanaodumisha ndoa ni 75% na kuendelea.

nb: ni ngumu sana kumkuta HB hana ndoa bt kwa wanawake pisi qali hili ni janga la kitaifa.
 
Mambo
Nasikitika mabinti wengi hawatamwelewa huyu mchungaji.....wa siku izi washaeka mbinu zao akilini kwa ajili ya kuolewa, kujirahisi, kutoa tgo, kutegesha mimba, kujitolea mahari, aaghhrrrr inakeraaa
ya ajabu kabisa
 
Huu utafiti matata sana๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ