Usalama barabarani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 867
- 1,066
Utafiti kiwango cha SGR! hatari nanusu aisee!kitakwimu ipo hivi:
1.ke pisi qali walio ndoani ni 25% ya ke wote wazuri bt ke wakawaida na ke wenye muonekano mbaya waliopo ndoani ni 75% na kuendelea.
2. ke pisi qali singo maza ni 75% na kuendelea bt ke wakawaida/wabaya singo maza ni 25%.
3. ke pisi qali wadangaji ni 75% bt ke wakawaida/wabaya wadangaji ni 25% kushuka chini.
4.ke pisi qali wanaovunja ndoa ni 75% kupanda bt ke wakawaida/wabaya wanaovunja ndoa ni 25% kushuka
5. ke pisi qali wanaodumisha ndoa ni 25% pekee bt ke wakawaida wanaodumisha ndoa ni 75% na kuendelea.
nb: ni ngumu sana kumkuta HB hana ndoa bt kwa wanawake hili ni janga la kitaifa.
Sas ulitaka atoke kucha zake alizoweka juzi?😂Kuna mdada mmoja wa watu kaja kunisalimia akapika tukala,nikatoa nguo afue akaanza nambia utafua mwenyewe afu baadae ananiomba hela afu ni much know sana hapa najilia tu mahusiano serious atayasikia
Katika moja mafundisho yake ambayo yapo YouTube marehemu mchungaji Mitimingi anasema mwanaume na mwanamke wanapoingia kwenye ndoa, ni mwanaume ndio mwenye nafasi kubwa ya kufanikiwa au ya kuharibikiwa kwenye maisha. Ili ni somo kubwa sana.Wanaume kwenye kuoa wako makini jamaniiiii yaani hata wale wanaume wabovu kabisa unakuta anachagua mwanamke makini ajabu.. na baada ya hapo ndio waolewaji ndio wanakuja kushtuka na kuishia kulia na kusaga meno😂😂😂
Yaani analeta usista du kwenye kufanya kazi,sio wife material kabisaSas ulitaka atoke kucha zake alizoweka juzi?😂
Kabisa hakuna mtu anaependa azae na kilaza.Wanaume wengi kwenye mambo ya kujirusha wanaangalia vitu vya nje vile vinavyotamanisha, kuwapa mzuka na kuwatega ila inapokuja kwenye suala la kuoa huwa wanaangalia mke na sio mwanamke tuu.
Wanaangalia mambo ya ndani kama tabia na akili ya maisha na sio yale mambo ya nje tena.
Ya ndani yakiwa safi ya nje atayatengeneza tuu
View attachment 1805683
Hata hiyo kazi haiwezi ni mimi najituma sana,tatizo ni weupe wake unamzuzua na umri unaenda upande wake jua linazamaMaskiniiiii yeye anajua kazi moja tuu
Umeandika jambo la msingi sana.
Kuoa ni zaidi ya kupata mke, kuoa ni kupata mwenza wa maisha, kuoa ni kupata mama wa watoto wako, kuoa ni kupata roll model wa Watoto wako.
Kuoa ni kuanzisha safari, safari usiyojua yaliyopo mbele. Unahitaji mtu imara zaidi ya mtu mrembo. Ukibahatika kupata mwanamke mrembo na imara hiyo ni advantage kwako.
Huwezi tu kukurupuka kuoa mwanamke kwa sababu ya sura na tako.
Mwaka mmoja Katika ndoa muonekano huwa hauna faida yoyote katika maisha ya ndoa.
Nikiangalia classmates zangu wa kike pale UDSM wale ambao walikuwa wa kawaida wote wapo kwenye ndoa. Wale warembo, waliokuwa wanajiona naona bado wanakula maisha huku umri unaenda bila mahusiano imara.
Inawezekana ukawa mrembo, mwenye shape na bado ukawa mwanamke imara na mwenye kujua maisha halisi.
Wapo wadada warembo, wenye miili inayovutia ambao waliamua kwa makusudi kuona maisha ni zaidi ya sura zao nzuri na maumbo yao mazuri.
Ukitaka kufanikiwa, uwe mwanamke au mwanaume kaa ukijua kuwa maisha ni zaidi ya muonekano wako.
Ngoja niwahi kazini watanzania wenzangu.
We unaugua kichaa🤣Mbona ilimsaidia ndugu yetu Kipepeo wa chuma1 au bado hajaolewa
Hatujaona mrejesho hasa hasa mapicha ya ndoa maana ndumba zako si za nchi hii.....najiuliza una ndumba umezalishwa mara mbili bila ndoa ilikuwaje?????We unaugua kichaa🤣
Narudia Tena una kichaa wahi muhimbiliHatujaona mrejesho hasa hasa mapicha ya ndoa maana ndumba zako si za nchi hii.....najiuliza una ndumba umezalishwa mara mbili bila ndoa ilikuwaje?????
Umenena vya rohoni na ukweli Mama D. Mwanaume anayetaka kutengeneza familia bora lazima apate mke sahihi na bora. Mke ndio mtendaji mkuu wa taasisi sasa warembo wengi wao wanaangalia sana maisha ya anasa. Ukiangalia wadada wazuri wengi sana wameangukia katika mikono sio salama na kuzalishwa akina Junior wengi sana kutokana na kuzaa na waume za watu ambao wamewarubuni. Kuoa mke sahihi ni sawa na kutafuta shamba lenye uhakika wa kukuletea mazao mengi na mazuri. Tofauti na shamba la kuweka mbolea kila msimu.Wanaume kwenye kuoa wako makini jamaniiiii yaani hata wale wanaume wabovu kabisa unakuta anachagua mwanamke makini ajabu.. na baada ya hapo ndio waolewaji ndio wanakuja kushtuka na kuishia kulia na kusaga meno[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mwendazake wa arusha alietaka kuoa malaya wa bungeni viti maalumUko sahihi mama D wanaume hawa sio watu anakutumia weeee ila anakuja kuolewa mwingine(wenyewe wanaita waifu matirio)
MmhKama mwendazake wa arusha alietaka kuoa malaya wa bungeni viti maalum
Kweli kabisa mkuyMabinti huiga tabia za mama zao..