Mosi, Mengi alikuwa na watoto wengine akiwa kijana kabla ya uzeeImeandikwa wapi ?
We tafuta pesa ...
Mengi alipata vitoto viwili uzeeni na ameviachia utajiri wa mpaka kujitegemea kwako ..
Hizo ni kanuni za sisi maskini...
Kama huwezi hata kujilisha usitafute mtoto..
kuna mimi hata sina mpango😂😂😂Wito wangu, kama uwezo upo jitajidi kupata mtoto mapema, unapofika 50 at least awe mtu mzima
Kwanini miaka 50 ? ni umri inaobidi uwe na mtoto anaeweza kujitegemea, anaeweza kuwa na upevu wa akili ya kupewa majukumu ya kifamilia kwa wadogo zake au biashara (kama zipo), kupunguza gharama za kulea watoto wengine ikiwa yeye kaajiriwa au ana biashara zake, Ni umri ambao wanaume wakifikia ni 50/50 uhai na kifo hasa kwa magonjwa ya uzeeni hivyo ni vema uwe na watoto wataoweza kujitegemea, n.k.
- ukipata mtoto ukiwa na 22, atakuwa na miaka 28 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 23, atakuwa na miaka 27 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 24, atakuwa na miaka 26 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 25, atakuwa na miaka 25 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 26, atakuwa na miaka 24 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 27, atakuwa na miaka 23 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 28, atakuwa na miaka 22 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 29, atakuwa na miaka 21 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 30, atakuwa na miaka 20 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 31, atakuwa na miaka 19 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 32, atakuwa na miaka 18 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 33, atakuwa na miaka 17 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 34, atakuwa na miaka 16 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 35, atakuwa na miaka 15 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 36, atakuwa na miaka 14 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 37, atakuwa na miaka 13 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 38, atakuwa na miaka 12 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 39, atakuwa na miaka 11 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 40, atakuwa na miaka 10 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 41, atakuwa na miaka 9 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 42, atakuwa na miaka 8 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 43, atakuwa na miaka 7 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 44, atakuwa na miaka 6 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 45, atakuwa na miaka 5 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 46, atakuwa na miaka 4 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 47, atakuwa na miaka 3 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 48, atakuwa na miaka 2 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 49, atakuwa na miaka 1 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 50, atakuwa na miaka 0
Namimi nimeweka kambi hapa. Nasubiri majibuWhy 50?
Soma maelezo ya postNamimi nimeweka kambi hapa. Nasubiri majibu
Ni upi umri sahihi Kwa mtoto kujitegemea?. Nikijibiwa hapa naweza kuendelea na discussionSoma maelezo ya post
angalau afike 22, ni umri ambao vijana wengi (sio wote) wana uwezo wa kujitegemea kivyao, kuoa na kuyamudu majukumu ya kifamilia.Ni upi umri sahihi Kwa mtoto kujitegemea?. Nikijibiwa hapa naweza kuendelea na discussion
Aisee balaaa kwa hiyo sie hili boti la watoto ndio limeshatuachaWito wangu, kama uwezo upo jitajidi kupata mtoto mapema, unapofika 50 at least awe mtu mzima
Kwanini miaka 50 ? ni umri inaobidi uwe na mtoto anaeweza kujitegemea, anaeweza kuwa na upevu wa akili ya kupewa majukumu ya kifamilia kwa wadogo zake au biashara (kama zipo), kupunguza gharama za kulea watoto wengine ikiwa yeye kaajiriwa au ana biashara zake, Ni umri ambao wanaume wakifikia ni 50/50 uhai na kifo hasa kwa magonjwa ya uzeeni hivyo ni vema uwe na watoto wataoweza kujitegemea, n.k.
- ukipata mtoto ukiwa na 22, atakuwa na miaka 28 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 23, atakuwa na miaka 27 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 24, atakuwa na miaka 26 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 25, atakuwa na miaka 25 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 26, atakuwa na miaka 24 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 27, atakuwa na miaka 23 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 28, atakuwa na miaka 22 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 29, atakuwa na miaka 21 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 30, atakuwa na miaka 20 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 31, atakuwa na miaka 19 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 32, atakuwa na miaka 18 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 33, atakuwa na miaka 17 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 34, atakuwa na miaka 16 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 35, atakuwa na miaka 15 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 36, atakuwa na miaka 14 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 37, atakuwa na miaka 13 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 38, atakuwa na miaka 12 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 39, atakuwa na miaka 11 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 40, atakuwa na miaka 10 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 41, atakuwa na miaka 9 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 42, atakuwa na miaka 8 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 43, atakuwa na miaka 7 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 44, atakuwa na miaka 6 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 45, atakuwa na miaka 5 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 46, atakuwa na miaka 4 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 47, atakuwa na miaka 3 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 48, atakuwa na miaka 2 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 49, atakuwa na mwaka 1 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 50, atakuwa bado hajazaliwa
Kwa nilipofikia nishaanza kuahirisha kuzaa kwani kuna shido? 🤣🤣🤣
Wanaume wenyewe wa kuzaa nao hawa kataa ndoa wanaogopa kuandamana au kina michawa pro max Luca na mwenzie tlaatlaah 😹😹😹
Bora mayai yangu nilie chips awwhhh 😹
Nguvu za mwili zinaanzaa kwenda halijojo ukifika umri huo..!!Why 50?
Wetu angekuw ana mwaka wa pili now 🥺Kwani Kuna shido!?
Sikujua unataka nini ikabidi nisonge mbele mkuuWetu angekuw ana mwaka wa pili now 🥺
Tumeanza kupangiana hadi muda wa kupata watoto tena??? hii nchi ngumu sanaWito wangu, kama uwezo upo jitajidi kupata mtoto mapema, unapofika 50 at least awe mtu mzima
Kwanini miaka 50 ? ni umri inaobidi uwe na mtoto anaeweza kujitegemea, anaeweza kuwa na upevu wa akili ya kupewa majukumu ya kifamilia kwa wadogo zake au biashara (kama zipo), kupunguza gharama za kulea watoto wengine ikiwa yeye kaajiriwa au ana biashara zake, Ni umri ambao wanaume wakifikia ni 50/50 uhai na kifo hasa kwa magonjwa ya uzeeni hivyo ni vema uwe na watoto wataoweza kujitegemea, n.k.
- ukipata mtoto ukiwa na 22, atakuwa na miaka 28 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 23, atakuwa na miaka 27 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 24, atakuwa na miaka 26 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 25, atakuwa na miaka 25 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 26, atakuwa na miaka 24 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 27, atakuwa na miaka 23 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 28, atakuwa na miaka 22 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 29, atakuwa na miaka 21 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 30, atakuwa na miaka 20 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 31, atakuwa na miaka 19 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 32, atakuwa na miaka 18 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 33, atakuwa na miaka 17 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 34, atakuwa na miaka 16 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 35, atakuwa na miaka 15 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 36, atakuwa na miaka 14 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 37, atakuwa na miaka 13 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 38, atakuwa na miaka 12 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 39, atakuwa na miaka 11 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 40, atakuwa na miaka 10 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 41, atakuwa na miaka 9 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 42, atakuwa na miaka 8 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 43, atakuwa na miaka 7 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 44, atakuwa na miaka 6 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 45, atakuwa na miaka 5 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 46, atakuwa na miaka 4 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 47, atakuwa na miaka 3 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 48, atakuwa na miaka 2 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 49, atakuwa na mwaka 1 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 50, atakuwa bado hajazaliwa
watoto wenyewe ndo hawa km wa mr Ibu kula pesa za rambirambi!!!Wito wangu, kama uwezo upo jitajidi kupata mtoto mapema, unapofika 50 at least awe mtu mzima
Kwanini miaka 50 ? ni umri inaobidi uwe na mtoto anaeweza kujitegemea, anaeweza kuwa na upevu wa akili ya kupewa majukumu ya kifamilia kwa wadogo zake au biashara (kama zipo), kupunguza gharama za kulea watoto wengine ikiwa yeye kaajiriwa au ana biashara zake, Ni umri ambao wanaume wakifikia ni 50/50 uhai na kifo hasa kwa magonjwa ya uzeeni hivyo ni vema uwe na watoto wataoweza kujitegemea, n.k.
- ukipata mtoto ukiwa na 22, atakuwa na miaka 28 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 23, atakuwa na miaka 27 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 24, atakuwa na miaka 26 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 25, atakuwa na miaka 25 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 26, atakuwa na miaka 24 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 27, atakuwa na miaka 23 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 28, atakuwa na miaka 22 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 29, atakuwa na miaka 21 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 30, atakuwa na miaka 20 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 31, atakuwa na miaka 19 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 32, atakuwa na miaka 18 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 33, atakuwa na miaka 17 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 34, atakuwa na miaka 16 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 35, atakuwa na miaka 15 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 36, atakuwa na miaka 14 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 37, atakuwa na miaka 13 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 38, atakuwa na miaka 12 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 39, atakuwa na miaka 11 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 40, atakuwa na miaka 10 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 41, atakuwa na miaka 9 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 42, atakuwa na miaka 8 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 43, atakuwa na miaka 7 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 44, atakuwa na miaka 6 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 45, atakuwa na miaka 5 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 46, atakuwa na miaka 4 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 47, atakuwa na miaka 3 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 48, atakuwa na miaka 2 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 49, atakuwa na mwaka 1 ukifika 50
- ukipata mtoto ukiwa na 50, atakuwa bado hajazaliwa
Mr Ibu alioa slay queen / gold digger, maji hufuata mkondowatoto wenyewe ndo hawa km wa mr Ibu kula pesa za rambirambi!!!