MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Shame on youMimi sijaona kosa lolote la komredi Vunjabei. Kwenye ahadi za mwanaCCM ni pamoja na kuwapenda watu na kwamba watanzania wote ni ndugu. Kuwapa wanawake tunaowapenda hela ni kitendo kizuri na kinafaa kuigwa na marijali wote. Kama mwanamke wako hakuombi hela inaashiria hakuamini na hayuko huru nawe. Wanawake nanyi ombeni kulingana na kipato cha mwanaume wako. Halafu wanawake wote mzingatie sana FUMANIZI HUIMARISHA PENZI. Sio tena muombe hela na bado mlete sheria za kipuuzi na kutaka kupewa peke yenu tu.
Unataka kuniambia jogooo alidonoa mahindi punje kumi na tano maximum ππππππ€£π€£π€£π€£Wakuu Vunjabei anagawa sana kwa pisi kali,unaambiwa wakilia shida kidogo kwake, imeisha hiyooo. Ila hawa matajiri wa kikinga hapa mjini tunawajua, wana limit ya miaka ya kuishi kutokana na utajiri wao walipoutoa, acha ale maisha yawezekana ana muda mchache wa kuishi.
Imeisha hiyoUnataka kuniambia jogooo alidonoa mahindi punje kumi na tano maximum ππππππ€£π€£π€£π€£
Huo moto wa Kariakoo si ungewaka kwenye maduka yake yote ya nguo nchi nzimaVp moto wa k/koo usogezwe kwenye magodown yake ya nguo.
Hatariii macho kodo kamtafuna mama zuriProfeseri kabuni kalamaganda.....
Utadhani nilikuwepo [emoji23]
Mkuu jamaa anafix asset gani mjini,mimi nawajua vijana wawili wanamaduka ya nguo kariakoo ...wamejenga ghorofa 3 ilala na apartment za kutosha goba,salasala na wako kimya....pesa inataka adabu siku zoteWakuu Vunjabei anagawa sana kwa pisi kali,unaambiwa wakilia shida kidogo kwake, imeisha hiyooo. Ila hawa matajiri wa kikinga hapa mjini tunawajua, wana limit ya miaka ya kuishi kutokana na utajiri wao walipoutoa, acha ale maisha yawezekana ana muda mchache wa kuishi.
πππ Mlimuona??Hatariii macho kodo kamtafuna mama zuri
Natafuta connection yake nami namfaidi[emoji23][emoji23][emoji23] Mlimuona??
Twende kisaraweNatafuta connection yake nami namfaidi
Ntamvizia mitaa ya mlimani,au kijiwe changu wistazTwende kisarawe
Msifike mbali jmn, maisha menyewe mafupi haya!Hakuna sehemu nilipoandika kuhusu chuki,acha kukurupuka basi
Alichokiandika vunja bei hakina tatizo lolote kwa utajiri,uanasiasa wala udhamini wake wa SSC...labda ni wewe umelichukulia kistress
Pesa huna bhana wee,watu wenye pesa hawafananagi na wewe mzee....labda uniambie nije unimwagie hayo mauji for free,ila pesa???huna aseee
Hahaha kwa kweli maisha mafupiMsifike mbali jmn, maisha menyewe mafupi haya!
moja ya starehe ya mwanaume anayoipata kwa mwanamke muomba pesa ni kujibu "sina" kwa kila ombi
Wenyewe tunasema, "muungwana akivuliwa nguo huchutama".Hahaha kwa kweli maisha mafupi