Ujumbe wa Afande Sele akimlilia Hayati Magufuli

Kwa hali hii mmmhh
 

Attachments

  • 1507072_afandesele.jpg
    23.8 KB · Views: 1
Sasa wewe unamaendeleo kuwazidi wachina na wakorea
 

Kumbe kitu cha Moro ni matata kweri kweri kwa ukali kuliko hata kile cha Arusha!
 

Watu open minded kama wewe ndo watamuelewa afande sele. Wengi wao vichwa panzi akili mgando wanashindwa kuelewa kuwa hii nchi haina dini kila mtanzania ana haki ya kuabudu na kuongea anachokiamini.
 
mzee achana na kitu kinaitwa system ni hatari sana....hivi ile series ya 24 hrs mlikua mnaangalia kujifurahisha? nakushauri karudie ile series utajifunza kitu....
 

Hizi ndo akili za kiafrika siku zote wao ni kuwaza tu kwamba wazungu wanawaua!! This is a mental slave, uzembe afanye mwingine na yakimpata eti utasikia Mzungu kahusika! Ni ujinga sana watu kufikiria huo upuuzi.
 
Kwakweli binadamu alipofikia ni hatua mbaya Sana Mungu atulehemu
 
Afande lazima anapakuliwa pilau akivuta msuba,kaanza tabia za vidole juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…