Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
-
- #81
Umesema kweli, hawana formula.Hakuna kanuni ya kumtuliza mwnamke hawa watu mara nyingi huwa wanapagawa zaidi na kile ambacho mwanaume wake hana na ukweli ni kwamba hakuna binadamu mwenye kila kitu.. ukiwa na kazi utagongewa na jobless ukiwa jobless utagongewa na mwenye kazi, ukiwa mfupi utagongewa na mrefu ukiwa mrefu utagongewa na mfupi, ukiwa na pesa utagongewa na masikini ukiwa masikini utagongewa na mwenye pesa, ukiwa maarufu utagongewa na ambae sio maarufu usipokua maarufu utagongewa na mtu maarufu, ukiwa na kitambi utagongewa na mwenye six pscks ukiwa na six packs utagongewa na mwenye kitambi
Naka TenaAina hii ya vijana wana mchango mdogo katika taifa🐒
Daaah! 🤣🤣Akili za jamaa ni wale wanaenda kununua sumu ili ajue then anasubiria chenchi ya nn? Wakati anaenda kufa hatotumia teba
Kwahiyo Katibu kaamua tu kujiua. Alidhani bembea akajinyonga.Mdogo wangu oa, ndoa tamuu..
Hii taarifa ni kashfa tu , sio ya kweli
Jamaa si alikuwa anajisifia kuwa alimkuta mke wake ni bikra? Huyo kenge acha agongewe tu alizidisha kiherehere na kujipendekeza kwa watawalaSasa unaambiwa jamaa alikuwa na mahusiano Naye kitambo yaani hata baada ya ndoa na wameachana mwezi mmoja means masanja alikuwa anachitiwa kitambo zaidi ya miaka kadhaa huoni hapo ndoa iko matatani si unajua inavyouma kwa sisi wanaume kugongewa mke
Isijekuwa kifo cha huyo mzembe imetumiwa game of chance kumblack mail Masanja?Yaani analiwa na mume yuko hapo hapo?
Dunia bye bye
Katibu amejiAlshababi… kajitoa muhanga…Kwahiyo Katibu kaamua tu kujiua. Alidhani bembea akajinyonga.
Ebu mniache hadi 2024 kwanza.
😂😂😂Jamaa si alikuwa anajisifia kuwa alimkuta mke wake ni bikra? Huyo kenge acha agongewe tu alizidisha kiherehere na kujipendekeza kwa watawala
Yes, sure hapo ni only God servesIsijekuwa kifo cha huyo mzembe imetumiwa game of chance kumblack mail Masanja?
Alafu kulikuwa na tetesi before kwamba mke wa Masanja alikuwaga demu wa Mpoki zaman kabla ya Masanja kumuoa. sijajua ukweli wake upoje.Sasa unaambiwa jamaa alikuwa na mahusiano Naye kitambo yaani hata baada ya ndoa na wameachana mwezi mmoja means masanja alikuwa anachitiwa kitambo zaidi ya miaka kadhaa huoni hapo ndoa iko matatani si unajua inavyouma kwa sisi wanaume kugongewa mke
Amejibu Kwa hekima sana
Mbona masanja anapesa sana TuManara kakazia vijana tutafute pesa.
Sijawahi. Mimi ukiwa hauna PhD wala sikutamani. Mimi huwa natamani ma Prof wenzangu tu.Wewe hujawahi mtamani houseboy wako? Akili zenu mnazijua wenyewe