Ujumbe wa kutafakari kutoka kwa Waziri Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia

Ujumbe wa kutafakari kutoka kwa Waziri Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
“Unaweza kuanzisha fitna au kuumiza watu kwa siri na ukaona umefanikiwa. Maana hakuna anayekujua. Fitna hiyo fahamu itakuwa, itasambaa na itakomaa. Ikishakomaa huwa na tabia ya kurudi ilipoanzia na inaumiza kama vile wakati unaianzisha kwa lengo la kuwaumiza wenzio ukajisahau kama itarudi ilipoanzia.

Sasa ishakomaa, imekuwa ni tabia na imekurudia mwenyewe. Tulia, unapokea ulichoanzisha kwa mikono yako, pokea maumivu zaidi ya yale uliyowasababishia wenzako. Fitna kawaida yake hurudi ilipoanzia. Binadamu kashajisahau na sasa ANALAUMU.”

Waziri Salum Kingo, Katibu Binafsi wa Rais Samia.
IMG_0712.jpeg
 
Law of the Universe !
What goes around comes around. !!

Ngoja Tusubiri tuone ! 🙏🙏🙏
 
Huu ujumbe hauhitaji akili kubwa kung'amua kwamba amesema alichotaka kusema bosi wake, ama kwa lugha nyepesi ni amesema alicho agizwa
 
Binafsi naona kama kuna moja kati ya mihimili umekua dhaifu na ndio sababu na chanzo cha haya yooote kuendelea.
Yaani majungu yametamalaki kila kona ya nchi
 
sisi watu wa kuleeeeeee tuna kamsemo ketu tunasemaaa

"kamaa tadinu tudanu"
 
“Unaweza kuanzisha fitna au kuumiza watu kwa siri na ukaona umefanikiwa. Maana hakuna anayekujua. Fitna hiyo fahamu itakuwa, itasambaa na itakomaa. Ikishakomaa huwa na tabia ya kurudi ilipoanzia na inaumiza kama vile wakati unaianzisha kwa lengo la kuwaumiza wenzio ukajisahau kama itarudi ilipoanzia.

Sasa ishakomaa, imekuwa ni tabia na imekurudia mwenyewe. Tulia, unapokea ulichoanzisha kwa mikono yako, pokea maumivu zaidi ya yale uliyowasababishia wenzako. Fitna kawaida yake hurudi ilipoanzia. Binadamu kashajisahau na sasa ANALAUMU.”

Waziri Salum Kingo, Katibu Binafsi wa Rais Samia.
View attachment 2962035
Kwa watu wengine FITNA NA MAJUNGU huwa mtaji.
 
Tumetoka Mbali Sana Tunakwenda Mbali Hii Misemo Imekuwa Mingi
 
Huu ujumbe hauhitaji akili kubwa kung'amua kwamba amesema alichotaka kusema bosi wake, ama kwa lugha nyepesi ni amesema alicho agizwa
Swali linabaki kuwa "ni nani huyo mfitini'
 
Acha malalamiko ya kike,sheria zinazoongoza watu katika mafanikio katika hii dunia hazijawahi kuwa na usawa.hakuna cha kutafakari hapo wala cha kitu cha kumrudia mtu.

Maisha ya kufanikiwa ni mchezo,misingi ya kufanikiwa ni lazima kudidimiza.kundi fulani au mtu fulani.hakuna aliye juu ya mtu tafuta mbinu za kudili naye-mmlizane.
Ukikaa eti useme usibiri kwamba yatamrudia u apoteza muda,maana hakjna watu wanao tenda maovu kama viongozi,matajiri na hata viongozi wa kiroho but bado wapo na maisha yao ni mazuri na watakufa maisha wakiwa na maisha mazuri.
 
Back
Top Bottom