Ujumbe wa kutafakari kutoka kwa Waziri Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia

Ujumbe wa kutafakari kutoka kwa Waziri Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia

Nauona umwagikaji damu siku kadhaa zijazo
Na hapo ndipo utafaham kwamba kumbe siasa ni biashara kubwa inayo tajirisha na kufurahiwa na watu wengi wanye uchu wa madaraka na wasio kua na uchungu na nchi
 
Toka huyu mama aingie madarakani taarabu imekua kwenye peak sana, inanikumbusha enzi za akina Hadija Koppa V/s Nasma Hamis Kidogo.... Hakuna kazi taarabu ndo ina trend...
 
Habari ndugu zangu Mwenye namba ya Waziri Rajab Salum Kingo naomba mnisaidie
 
“Unaweza kuanzisha fitna au kuumiza watu kwa siri na ukaona umefanikiwa. Maana hakuna anayekujua. Fitna hiyo fahamu itakuwa, itasambaa na itakomaa. Ikishakomaa huwa na tabia ya kurudi ilipoanzia na inaumiza kama vile wakati unaianzisha kwa lengo la kuwaumiza wenzio ukajisahau kama itarudi ilipoanzia.

Sasa ishakomaa, imekuwa ni tabia na imekurudia mwenyewe. Tulia, unapokea ulichoanzisha kwa mikono yako, pokea maumivu zaidi ya yale uliyowasababishia wenzako. Fitna kawaida yake hurudi ilipoanzia. Binadamu kashajisahau na sasa ANALAUMU.”

Waziri Salum Kingo, Katibu Binafsi wa Rais Samia.
View attachment 2962035
Mathayo 6:9-13
Utusamehe makosa yetu kama nasi tulivyowakosea waliotukosea!! Dini inahubiri UPENDO na MSAMAHA!! Mengine Mungu huyaruhusu ktk Maisha yetu ili ajitwalie UTUKUFU!!

Watu wamemsahau Mungu na wamegeuka miungu watu!! HUKUMU YA MUNGU INAKUJA Sawa na Zaburi ya 35 na 109.

Mungu mwenyewe ataamua nani kamkosea mwenzake au alikuwa anatimiza wajibu!!! Tunapoonea wengine tusitafute kichaka cha kujifichia! Yale tunayoyaongea ndani tuyaseme na nje!! Tusiwe na sura mbili!!
 
Back
Top Bottom