Ujumbe wangu kwa wanasiasa wote waislam

Ujumbe wangu kwa wanasiasa wote waislam

Muslim population in some EU countries could triple, says report​

Figures suggest stark east-west divide, with UK population share rising from 6.3% to 16.7% in one scenario

Hii article imeandikwa na gazette la kikiristo la the Gurdian la uk
Acha kujidanganya hao ni wahamiaji hao.
 
Acha kujidanganya hao ni wahamiaji hao.
1701110765717.png

Na hii utasema Libya. Sunday school zimeharibu vijana. Wabishi hata penye ukweli. Ndio maana tz hata kibiriti made in Somalia
 
Hakuna kitu kama hicho,huyo wenu ni mpinga kristo ambaye ataungana na mwenzie mwanzilishi wa dini kwenye ziwa la moto.
Na kwa kusema kwao: “Sisi tumemuua Masihi Isa, mwana wa Maryam Mtume wa Mungu”, hawakumuua wala hawakumsulubu ila walibabaishiwa (mtu mwingine aliyefananishwa na Nabii Isa). Na hakika wale waliokhitilafiana katika hayo wamo katika shaka nalo. Wao hawana yakini juu ya hili, isipokuwa wanafuata dhana tu. Na kwa yakini hawakumuua(4:157).
 
Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.

Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.

1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.

Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga. Ukiumwa tu mtoto wa shule bila madrsa atataka ufe atumie mali, huruma hana

2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu

MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU


Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)


“Na maisha ya dunia si chochote ila ni mchezo na pumbao. Lakini nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa walio mcha Mungu. basi hutaelewa?” (Quran, Al-An'aam: 32)
Malaria sugu hiyo
FB_IMG_1700579192159.jpg
 
Na kwa kusema kwao: “Sisi tumemuua Masihi Isa, mwana wa Maryam Mtume wa Mungu”, hawakumuua wala hawakumsulubu ila walibabaishiwa (mtu mwingine aliyefananishwa na Nabii Isa). Na hakika wale waliokhitilafiana katika hayo wamo katika shaka nalo. Wao hawana yakini juu ya hili, isipokuwa wanafuata dhana tu. Na kwa yakini hawakumuua(4:157).
Endelea kujidanganya lakini mwisho wako ni ziwa la moto usipompa Yesu maisha,huku kuna amani isiyo na mgano,hutawaza tena kulipua na kuua wenzio wasio na hatia ili upate bikra 72(ambazo pia ni uongo).
 
Endelea kujidanganya lakini mwisho wako ni ziwa la moto usipompa Yesu maisha,huku kuna amani isiyo na mgano,hutawaza tena kulipua na kuua wenzio wasio na hatia ili upate bikra 72(ambazo pia ni uongo).
Bikra 72 kwa waislam. Maji ya moto na usaha kwa wasiokuwa waislam
 
Ulaya sasa hivi uislam unakuwa kwa kasi baada ya miaka mingi.ya kudanganywa na Vatican
Kukuwa kwa dini ya kiislamu Ulaya hakuwezi kualalisha uzuri wa Uislam. Kwa maneno yako mwenyewe mtume wenu alitumwa na Mungu kuja kupigana vita, itakuwaje kwa wanaofuata mafundisho yake? Hiyo Itabaki kuwa dini ya watu wauwaji, wapenda: fujo, ugaidi, ulalamishi, chuki, uzushi, dharau na mafudisho ya kibaguzi.
 
Kukuwa kwa dini ya kiislamu Ulaya hakuwezi kualalisha uzuri wa Uislam. Kwa maneno yako mwenyewe mtume wenu alitumwa na Mungu kuja kupigana vita, itakuwaje kwa wanaofuata mafundisho yake? Hiyo Itabaki kuwa dini ya watu wauwaji, wapenda: fujo, ugaidi, ulalamishi, chuki, uzushi, dharau na mafudisho ya kibaguzi.
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)
 
Tatizo linakuja pale mtoto mdogo aanze kufundishwa ugaidi. Bora aanze ugaidi ukubwani kwa maamuzi yake na madhara ya ugaidi yamkute mwenyewe.

Halafu shekh, siyo wote wanataka hizo bikra 72 za allah kama unavyozitaka wewe.
 
Tatizo linakuja pale mtoto mdogo aanze kufundishwa ugaidi. Bora aanze ugaidi ukubwani kwa maamuzi yake na madhara ya ugaidi yamkute mwenyewe.

Halafu shekh, siyo wote wanataka hizo bikra 72 za allah kama unavyozitaka wewe.
Muislam anaejitambua hamtuki. Mkumpiga vita Abdala safari Chadema. Akina mwipaya wasiojitambua ndio mnawapa vyeo
 
" baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako"

Huu nao ni uongo mwingine baada ya ule wa bikra 72.
Yaani ufe ukiwa Al-shabab, Al-aqaida, Al-ISIS au Al-Hamas kisha mtoto akuombee Dua ya Pepo? Ukifa umekufa na kitabu chako kimefungwa na unaenda nacho. Hakuna Dua nyingine ya kukisahihisha.
 
Back
Top Bottom