- Thread starter
- #61
Yesu akija tena anaingia msikitini na kuyavunja makanisaKujidanganya tu na hapo ndio waliweza kuwakamata haswa,bila Yesu umeshaenda motoni kama mwanzilishi wako,kimbia kabla neema ya kristo haijafungwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu akija tena anaingia msikitini na kuyavunja makanisaKujidanganya tu na hapo ndio waliweza kuwakamata haswa,bila Yesu umeshaenda motoni kama mwanzilishi wako,kimbia kabla neema ya kristo haijafungwa.
Acha kujidanganya hao ni wahamiaji hao.Muslim population in some EU countries could triple, says report
Figures suggest stark east-west divide, with UK population share rising from 6.3% to 16.7% in one scenario
Hii article imeandikwa na gazette la kikiristo la the Gurdian la uk
Ukisoma vizuri huyo Yesu wenu atakayekuja na kufananisha na maandiko ya biblia,utahundua ni mpinga kristo anayeelezwa kwenye biblia.Yesu akija tena anaingia msikitini na kuyavunja makanisa
Acha kujidanganya hao ni wahamiaji hao.
Yesu huyu unaemwita wewe munguUkisoma vizuri huyo Yesu wenu atakayekuja na kufananisha na maandiko ya biblia,utahundua ni mpinga kristo anayeelezwa kwenye biblia.
Hakuna kitu kama hicho,huyo wenu ni mpinga kristo ambaye ataungana na mwenzie mwanzilishi wa dini kwenye ziwa la moto.Yesu huyu unaemwita wewe mungu
Na kwa kusema kwao: “Sisi tumemuua Masihi Isa, mwana wa Maryam Mtume wa Mungu”, hawakumuua wala hawakumsulubu ila walibabaishiwa (mtu mwingine aliyefananishwa na Nabii Isa). Na hakika wale waliokhitilafiana katika hayo wamo katika shaka nalo. Wao hawana yakini juu ya hili, isipokuwa wanafuata dhana tu. Na kwa yakini hawakumuua(4:157).Hakuna kitu kama hicho,huyo wenu ni mpinga kristo ambaye ataungana na mwenzie mwanzilishi wa dini kwenye ziwa la moto.
Malaria sugu hiyoNaomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.
Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.
1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.
Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga. Ukiumwa tu mtoto wa shule bila madrsa atataka ufe atumie mali, huruma hana
2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu
MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU
Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)
“Na maisha ya dunia si chochote ila ni mchezo na pumbao. Lakini nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa walio mcha Mungu. basi hutaelewa?” (Quran, Al-An'aam: 32)
Endelea kujidanganya lakini mwisho wako ni ziwa la moto usipompa Yesu maisha,huku kuna amani isiyo na mgano,hutawaza tena kulipua na kuua wenzio wasio na hatia ili upate bikra 72(ambazo pia ni uongo).Na kwa kusema kwao: “Sisi tumemuua Masihi Isa, mwana wa Maryam Mtume wa Mungu”, hawakumuua wala hawakumsulubu ila walibabaishiwa (mtu mwingine aliyefananishwa na Nabii Isa). Na hakika wale waliokhitilafiana katika hayo wamo katika shaka nalo. Wao hawana yakini juu ya hili, isipokuwa wanafuata dhana tu. Na kwa yakini hawakumuua(4:157).
Bikra 72 kwa waislam. Maji ya moto na usaha kwa wasiokuwa waislamEndelea kujidanganya lakini mwisho wako ni ziwa la moto usipompa Yesu maisha,huku kuna amani isiyo na mgano,hutawaza tena kulipua na kuua wenzio wasio na hatia ili upate bikra 72(ambazo pia ni uongo).
Bandari imepitishwa na bunge na Tec wameunga mkono
Endelea kujidanganya lakini mwisho wako ni ziwa la moto usipompa Yesu maisha,huku kuna amani isiyo na mgano,hutawaza tena kulipua na kuua wenzio wasio na hatia ili upate bikra 72(ambazo pia ni uongo).Bikra 72 kwa waislam. Maji ya moto na usaha kwa wasiokuwa waislam
Kukuwa kwa dini ya kiislamu Ulaya hakuwezi kualalisha uzuri wa Uislam. Kwa maneno yako mwenyewe mtume wenu alitumwa na Mungu kuja kupigana vita, itakuwaje kwa wanaofuata mafundisho yake? Hiyo Itabaki kuwa dini ya watu wauwaji, wapenda: fujo, ugaidi, ulalamishi, chuki, uzushi, dharau na mafudisho ya kibaguzi.Ulaya sasa hivi uislam unakuwa kwa kasi baada ya miaka mingi.ya kudanganywa na Vatican
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)Kukuwa kwa dini ya kiislamu Ulaya hakuwezi kualalisha uzuri wa Uislam. Kwa maneno yako mwenyewe mtume wenu alitumwa na Mungu kuja kupigana vita, itakuwaje kwa wanaofuata mafundisho yake? Hiyo Itabaki kuwa dini ya watu wauwaji, wapenda: fujo, ugaidi, ulalamishi, chuki, uzushi, dharau na mafudisho ya kibaguzi.
Anakula Bata tu, ukifa umekufa Mura.
Muislam anaejitambua hamtuki. Mkumpiga vita Abdala safari Chadema. Akina mwipaya wasiojitambua ndio mnawapa vyeoTatizo linakuja pale mtoto mdogo aanze kufundishwa ugaidi. Bora aanze ugaidi ukubwani kwa maamuzi yake na madhara ya ugaidi yamkute mwenyewe.
Halafu shekh, siyo wote wanataka hizo bikra 72 za allah kama unavyozitaka wewe.