Ujumbe wangu kwa wanasiasa wote waislam

Ujumbe wangu kwa wanasiasa wote waislam

Mtume Anayesubiriwa​

Wayahudi na Wakristo wa Arabia kabla ya Uislamu walikuwa wakisubiri mtume. Kabla ya kutokea kwa Muhammad, Arabia ilikuwa makao ya Wayahudi, Wakristo, na Waarabu Walioabudu masanamu ambao, mara kwa mara, walikwenda vita kati yao. Wayahudi na Wakristo wangesema: 'Wakati umefika wa Nabii asiye andika wala kusoma atakayefufua dini ya Ibrahimu kutokea. Na tutaungana naye, na tutapigana vita vikali dhidi yenu.' Muhammad alipotokea, baadhi yao walimuamini, na wengine walikataa.
Kwahyo sasa hv mayahudi wameacha kusubiri au bado wanaendelea??? Na hao waKristo walikuaje waKristo km bado waliendelea kusubiri hata baada ya Kristo kuja na wao kumpokea ??? Hv unasoma unavyoandika au unajiandikia tu sababu una muda wa kuandika???
 

Muslim population in some EU countries could triple, says report​

Figures suggest stark east-west divide, with UK population share rising from 6.3% to 16.7% in one scenario

Hii article imeandikwa na gazette la kikiristo la the Gurdian la uk
Itaachaje kukua mnazaana km panya, na sasa wenye nchi zao wanaamua kuchagua viongozi radicals kazi mnayo yajayo yanafurahisha
 
Itaachaje kukua mnazaana km panya, na sasa wenye nchi zao wanaamua kuchagua viongozi radicals kazi mnayo yajayo yanafurahisha
Sisi tunazaa na tunaijaza dunia baada ya miaka michache ijayo makanisa tutayanunua na kuyafanya kuwa makazi yetu
 
Kwahyo sasa hv mayahudi wameacha kusubiri au bado wanaendelea??? Na hao waKristo walikuaje waKristo km bado waliendelea kusubiri hata baada ya Kristo kuja na wao kumpokea ??? Hv unasoma unavyoandika au unajiandikia tu sababu una muda wa kuandika???
Huyu malaria sugu ni mshabiki tu wa Uislam lakini ni maamuma kabisa
 
Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.

Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.

1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.

Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga. Ukiumwa tu mtoto wa shule bila madrsa atataka ufe atumie mali, huruma hana

2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu

MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU

Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)

“Na maisha ya dunia si chochote ila ni mchezo na pumbao. Lakini nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa walio mcha Mungu. basi hutaelewa?” (Quran, Al-An'aam: 32)
Baada ya kushindwa magaidi Gaza, sasa wameibukia Tanzania, udini itakusaidia nini ni kutokuwa na akili tu
 
Baada ya kushindwa magaidi Gaza, sasa wameibukia Tanzania, udini itakusaidia nini ni kutokuwa na akili tu
Dini ndio mpango mzima. Nyerere kanisa linataka limpe uenye heri unahusi kwanini? Si kwa kusaidia kanisa?
 
Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.

Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.

1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.

Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga. Ukiumwa tu mtoto wa shule bila madrsa atataka ufe atumie mali, huruma hana

2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu

MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU

Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)

“Na maisha ya dunia si chochote ila ni mchezo na pumbao. Lakini nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa walio mcha Mungu. basi hutaelewa?” (Quran, Al-An'aam: 32)
Uisiharamu hakuna dua yoyote kwa marehemu muovu .....na kama kuna dua kwa marehemu basi hata siku ya kihama watu wote wanaweza kuomba toba na kusamehewa ...tumieni akili
 
Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.

Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.

1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.

Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga. Ukiumwa tu mtoto wa shule bila madrsa atataka ufe atumie mali, huruma hana

2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu

MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU

Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)

“Na maisha ya dunia si chochote ila ni mchezo na pumbao. Lakini nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa walio mcha Mungu. basi hutaelewa?” (Quran, Al-An'aam: 32)
SERIKALI IPIGE MARUFUKU HIJABU MASHULENI INAWAGAWA WATOTO KISAIKOLOJIA WATOTO WA ZAMANI WALIKUWA AWAVAI HIJABU NA WALIKUWA BORA NA WAADILIFU KULIKO HAWA WA SASA R
 
Aisee! Afu wachina ambao hawana dini wanatoa msaada Kwa Iran inayoongozwa kidini sijui hapa unatushauri nini?
 
" baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako"

Huu nao ni uongo mwingine baada ya ule wa bikra 72.
Yaani ufe ukiwa Al-shabab, Al-aqaida, Al-ISIS au Al-Hamas kisha mtoto akuombee Dua ya Pepo? Ukifa umekufa na kitabu chako kimefungwa na unaenda nacho. Hakuna Dua nyingine ya kukisahihisha.
Hujui kitu kama kimya. Unalala baa unaamkia baa utajua nini?
 
Aisee! Afu wachina ambao hawana dini wanatoa msaada Kwa Iran inayoongozwa kidini sijui hapa unatushauri nini?
Sio tatizo. Mkiristo kapewa dunia muislam dunia na Akhera atapewq
 
Elimu ya dini haina maana yoyote.

Uache kupeleka mtoto ajifunze computer badala yake umkomalie akariri hadithi zisizo na kichwa wala miguu?

Wa kwako mpeleke huko kwenye elimu ya dini.

Mbinguni nenda wewe, kwani mtu mwingine asipoenda wewe unaumiia nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]DAH?? Nimecheka sana kwamba aende tu yy huko ahera [emoji1787][emoji1787]
 
Sio tatizo. Mkiristo kapewa dunia muislam dunia na Akhera atapewq
Sawa Mwislam! Vipi Osama na kujipua kuwaua watu, vipi Yemeni, Afghanistan, Pakistan, Syria, Lebanon, Iraq n.k mbona mnauana wenyewe Kwa wenyewe?

Vipi Waislam wa Kiarabu kuwabagua waislam weusi akina nyie?

Vipi Mashia na Masun kutoelewana?

Muislam yupi Sasa? Sunn, Shia, Cadian, Sarafi, Adia, Ahmadia au?
 
Naomba niwapa darasa kidogo waumini wenzangu wanaisiasa.

Hatujakatazwa kushiriki ktk siasa wala kuwatumikia wananchi kwa njia ya kisiasa.
Siasa ni moja ya kazi binaadam inampatia rizik zake.

1. Watoto kuwapa elimu ya shule na elimu ya dini. Wengi wenu tunawapa watoto elimu ya shule na kuwaacha kutowapa elimu ya dini.

Baada ya kuondoka dunia hii mtoto mwenye dini ndio atakusaidia. Atakuombea dua na atakutolea sadaka ambayo itakuaa na faida kubwa kwako. Mtoto wa shule ukifa tu atakimbilia mali na kuzivuruga. Ukiumwa tu mtoto wa shule bila madrsa atataka ufe atumie mali, huruma hana

2. Kuupa kipaumbele dini yako badala ya siasa. Kuisoma dini yako . Ukifa huzikwi na nyimbo za Chama. Ukifa unazikwa kiislam na dua kwa wingi. Hii inamaana dini ndio kila kitu

MIAISHA YA DUNIA NI MPITO TU. AKHERA NDIO KILA KITU

Sema: Starehe ya dunia ni ndogo, na Akhera ni bora zaidi kwa mwenye kuchamngu...” (Kurani 4:77)

“Na maisha ya dunia si chochote ila ni mchezo na pumbao. Lakini nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa walio mcha Mungu. basi hutaelewa?” (Quran, Al-An'aam: 32)
Takhbiiiiiiirrrr !!!
 
Kuna jamii ya watu mpaka Leo hii wao Wana amini ukishakufa ndio basi tena hakuna accountability yoyote! Wanavyojua wao ni kuwa ukishakufa na lako halipo ndio ushakuwa udongo hivyo.

Ndio maana unakuta msiba alafu wadau wanakunywa pombe na kupiga mziki.!

Msiba kwao sio mazingatio Bali wana ona kama marehemu alikuwa mzembe flani hivi ndio maana amekufa.

Kuna kauli hizi ponda Mali kufa kwaja.!

Sisi waislamu tuna njia zetu za kuishi maana maisha ya Duniani sio ya mwisho Bali Kuna maisha mengine ya kaburini ambayo yanaitwa barzah. Na haya maisha hayakwepeki hata ukijaribu kutumia keyboard kupinga na mishipa ya shingo kukutoka

Maisha ya kaburini yapo na utaishi hapo na utafufuliwa siku ya kiama na utahukumiwa na kupelekwa unapostahili !!! Kwa maisha unayoishi utakuwa unajua ww ni wapi utaelekea motoni au peponi

Kwahiyo ndugu zangu hatuwatishi Wala nini mana nyie hamchelewi kusema hii ni dini ya kufuga majini au dini ya vitisho !!

Mwisho WA siku lazima watu wapate elimu ya wanapofikia ambayo ni elimu ya kiulimwengu elimu ambayo inamtambua Allah subhanallahu wataala.
 
Back
Top Bottom