DOKEZO Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

DOKEZO Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Awali ya yote napenda kuushukuru uongozi wa Jamii Forums kwa kuendelea kuruhusu kufichua maovu yanayoendelea kutendeka katika jamii zetu.

Kuna ukatili wa watoto (wanafunzi unaoendelea katika shule ya binafsi (Experancia) iliyoko wilaya ya Sengerema.
1. Watoto wanapatiwa adhabu zenye kuwazidi uwezo ikiwa ni pamoja na bakora maeneo yasiyo sahihi na zenye kuwazidi uwezo kulingana na umri wao.

2. Watoto wa kike kuingiliwa na Mkurugenzi wa shule husika kwa zamu na baada ya hapo kuwapatia vidonge vya kuzuia ujauzito (P2), na inasemekana kwa bahati mbaya kuna mwanafunzi aliwahi ingiliwa na kusababishiwa ujauzito na baada ya hapo zikafanyika jitihada za kuutoa huo ujauzito 😭💔.

Ninaomba uongozi wa Jamii Forums tuwasaidie watoto wetu jamani, dunia sio mbaya ila Binadamu tumegeuka wabaya kuliko hata wanyama wenyewe😭😭. Dunia imekuwa sio mahala salama tena.

Dkt. Gwajima D tusaidie kuwaokoa watoto wetu.

Hizi ni picha zilizotumwa na mzazi baada ya kwenda kumsalimu mwanae na kukuta khali isiyo ya kawaida kwa watoto.

D079DDFF-E0CA-4D55-85FD-6E2FB25B559E.jpeg
EBA23474-1E72-423E-B54B-4AB8DD9AA61C.jpeg
6E00F229-7E80-42C3-96EC-2E11A9115165.jpeg
F2C84A4A-6ECC-4083-96FD-376E59BF35E9.jpeg
 
Huwa nakubaliana na adhabu kwa wanafunzi, ila not to this extent..

Enzi zetu tumechapwa sana, ila tulikuwa tunapigwa matakoni kwa wavulana na mikononi kwa wasichana.

Sasa hawa walimu huko mgongoni na kwenye upper arms wamefuata nini?

Ila pia ni vizuri tukasikia stori ya upande wa 2 wa huyu dogo aliyepigwa hivo..
 
Aiseee...yaani unajitahidi mwanao aende shule ukiamini anaenda kufuta ujinga kumbe wanakuharibia watoto ktk umri ambao ni wakuwajenga kuwa na nidhamu. Haikubaliki

Hapa ni aidha Jela au mochwari
Anapatikana wapi huyo mkurugenzi tumalizane naye tusisumbue Serikali Iko busy na maandazi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa. Tunam P.didy then Tunampiga fire mpaka bichwa ilie bwahhhhhhh,,maana tumechoka Sasa..
 
This is too much,that's why naprefer shule za kwenda na kurudi,at least utakuwa na time ya kuchunguza mwanao.

Hao walimu akiwa hajui ethics za kazi yake baaasi frustration zote atapea watoto.
Pole kwa watoto walioathiriwa kwa namna tofauti.
Sad.
 
Hivi na mzazi akaishia kabisa kuwachekea hao walimu vilaza? Qmmmk nakuapia hapo pona pona sana ni mwalimu kwenda mahakamani vinginevyo namla kichwa kwa mikono yangu mwenyewe.

Unamuadhibuje mtoto kiasi hicho tena maeneo hatarishi ya mwili? Afisa elimu kata na wilaya husika wapewe taarifa wachukue hatua za haraka kabla hasira ya wazazi haijachukua nafasi.

Pia mkurugenzi wa halmashauri na mkuu wa wilaya wawawajibishe hao walimu makatili na vilaza.
 
Awali ya yote napenda kuushukuru uongozi wa Jamii Forum kwa kuendelea kuruhusu kufichua maovu yanayoendelea kutendeka katika jamii zetu.

Kuna ukatili wa watoto (wanafunzi unaoendelea katika shule ya binafsi (Experancia) iliyoko wilaya ya Sengerema.
1. Watoto wanapatiwa adhabu zenye kuwazidi uwezo ikiwa ni pamoja na bakora maeneo yasiyo sahihi na zenye kuwazidi uwezo kulingana na umri wao.

2. Watoto wa kike kuingiliwa na Mkurugenzi wa shule husika kwa zamu na baada ya hapo kuwapatia vidonge vya kuzuia ujauzito (P2), na inasemekana kwa bahati mbaya kuna mwanafunzi aliwahi ingiliwa na kusababishiwa ujauzito na baada ya hapo zikafanyika jitihada za kuutoa huo ujauzito 😭💔.

Ninaomba uongozi wa Jamii forum tuwasaidie watoto wetu jamani, dunia sio mbaya ila Binadamu tumegeuka wabaya kuliko hata wanyama wenyewe😭😭. Dunia imekuwa sio mahala salama tena.

Dkt. Gwajima D tusaidie kuwaokoa watoto wetu.

Hizi ni picha zilizotumwa na mzazi baada ya kwenda kumsalimu mwanae na kukuta khali isiyo ya kawaida kwa watoto.

View attachment 3125656View attachment 3125657View attachment 3125658View attachment 3125659
Pole yao sana hao watoto. Nashindwa hata la kusema. Angelikuwa ni mtoto wangu hao wahusika wangelipa kama walivyotenda
 
Back
Top Bottom