DOKEZO Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

DOKEZO Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mimi ningecharanga mapanga..nisingesubiri sheria
 
1. Watoto wanapatiwa adhabu zenye kuwazidi uwezo ikiwa ni pamoja na bakora maeneo yasiyo sahihi na zenye kuwazidi uwezo kulingana na umri wao.

2. Watoto wa kike kuingiliwa na Mkurugenzi wa shule husika kwa zamu na baada ya hapo kuwapatia vidonge vya kuzuia ujauzito (P2), na inasemekana kwa bahati mbaya kuna mwanafunzi aliwahi ingiliwa na kusababishiwa ujauzito na baada ya hapo zikafanyika jitihada za kuutoa huo ujauzito
Duh,
Tuhuma nzito sana hizi.

Ingefaa huyo mkurugenzi wa shule awe ndani ya Lupango by now kwa usalama wake wakati jitihada zikifanyika kupata ukweli wote.

Na hiyo shule ni bora kufutwa tu, sidhani kama inafaa kuwepo tena
 
Wenyewe wanakuambia viboko vinaleta nidhamu na maadili.

Lakini tujipime nani anaongoza kwa maadili na nidhamu mbovu kati yetu na watu wa Ulaya?

Wapi wanaongoza kwa wizi, ufisadi, ubakaji, rushwa, ujambazi? Wapi wanaua albino? Wapi wanawaibia majeruhi wa ajali na kuwamaliza kabisa?

Viboko vipo kwa ajili ya kutengeneza nidhamu ya woga na kuandaa machawa wa baadae.
 
Nimepatwa na hisia flani assuming ndo mwanangu kafanyiwa hivi na hasira zangu za kimasai zinapandaga kwa spidi ya 5G haki ya nani ndo mm mzazi nimemkuta mwanangu hivyo i swear kifuatacho ITV ni Murder case.
 
Nimepatwa na hisia flani assuming ndo mwanangu kafanyiwa hivi na hasira zangu za kimasai zinapandaga kwa spidi ya 5G haki ya nani ndo mm mzazi nimemkuta mwanangu hivyo i swear kifuatacho ITV ni Murder case.
Mnagawana majengo ya serekali, mmoja jela mwingine mortuary hakuna namna!!
 
Mnagawana majengo ya serekali, mmoja jela mwingine mortuary hakuna namna!!
Unajua nini, Watanzania wengi ni vichaa ila tuu hatujijui na hatujafikia level ya kuvua nguo na kuanza kuokota makopo mtaani. Hata huku barabarani tuna vichaa wengi tuu. Imagine serikali inadhibiti ajali kwa kujenga matuta. Ni ishara kuwa tuko na watu ambao vichwa vyao haviko sawa. Back to the point, Huyo mwalimu aliyefanya hivyo hakupaswa kwenda kusomea ualimu, kodi za watanzania zimepotea bure kumsomesha. Matokeo yake tunazalisha nguvukazi ya taifa ambayo iko frustrated. Mtoto atasomaje kwa ukatili kama huo, na hata akisoma atakuwa anawaza one day aje kulipiza kisasi
 
Dkt. Gwajima D tafadhali mheshimiwa waziri tuna imani mno na uchapakazi wako uliotukuka hebu tumia mamlaka uliyonayo na uliyokasimiwa na Mheshimiwa Rais ufuatilie hili kwa ukaribu upate ukweli wake.

Watoto wananyanyasika mno mashuleni kwa kukutana na ukatili wa walimu wasio na maadili ya taaluma zao.

Tafadhali usipuuze Mheshimiwa Waziri vinginevyo tutakuwa jamii ya kupambana na matatizo baada ya kutokea badala ya kuyazuia.

Kauli yako itawafanya hata walimu wengine wenye tabia hizi za ukatili dhidi ya watoto kutoendelea na vitendo hivi.
 
Siku yangu imeharibika mno leo baada ya kuona picha ya ukatili kwa mtoto.

Hakuna justification yoyote ya mtoto kuadhibiwa kiasi hicho regardless kosa alilofanya.

Huyo sio mwalimu ni kichaa aliyefanya ukatili huo.

Tumem tag Mheshimiwa Waziri Gwajima ili asaidie kwenye hili aidha kwa kuagiza mwalimu/Mkurugenzi wa shule aswekwe ndani ili uchunguzi uendelee.

Pia anaweza kuagiza Afisa elimu wilaya ama hata mkoa afuatilie tukio hili na atoe taarifa kwa Mheshimiwa Waziri kwa ajili ya hatua zaidi za kisheria.
 
Hizi tuhuma ni za kweli Kuna wadogo zangu wawili wapo hii shule,mmoja ni form three na mwingine form one asee wanasema ni hatari Sana wanapigwa vibaya Sana Kuna ukatili usio na vipimo.

Juzi ilikuwa ni visiting day alienda mdogo wangu wa like kuwaona shuleni ajabu amewakuta na wakovu ya kudumu na wote wanasema wanaumwa kwahy wamerudi nyumbani.

Chanzo cha yote hayo ni huyo mama mhaya aliyewaleta wahaya wenzake waliofail form four na wasio walimu kuja kuwa walimu wa shule hii,katika upelelezi wangu mtoto wa kiume wa mmiliki wa shule ambaye nae asiye na taaluma ya ualimu ndo kila kitu hapo shuleni na ndo huyo anabaka watoto.

Nipo tiari kutoa ushirikiano kama mamlaka zitahitaji ushahidi maana Kuna hawa wadogo zangu wanaweza kusema yote wanayofanyiwa.
 
Unajua nini, Watanzania wengi ni vichaa ila tuu hatujijui na hatujafikia level ya kuvua nguo na kuanza kuokota makopo mtaani. Hata huku barabarani tuna vichaa wengi tuu. Imagine serikali inadhibiti ajali kwa kujenga matuta. Ni ishara kuwa tuko na watu ambao vichwa vyao haviko sawa. Back to the point, Huyo mwalimu aliyefanya hivyo hakupaswa kwenda kusomea ualimu, kodi za watanzania zimepotea bure kumsomesha. Matokeo yake tunazalisha nguvukazi ya taifa ambayo iko frustrated. Mtoto atasomaje kwa ukatili kama huo, na hata akisoma atakuwa anawaza one day aje kulipiza kisasi
Kweli kabisa, 1 kati ya watu 4 nchini hazimo
 
Wanafunz wa zaman walikua wanatoa hukumu kwa walimu wanoko, kwa kuwatandika viboko kuwapiga mayai viza kuchoma moto nyumba zao au majengo ya shule
Yaani kulikua hakuna ukatili unamaliza mwaka bila kulipiwa.
Japo zilikua njia miyeyusho ila zilikua zinaleta adabu
 
Hizi tuhuma ni za kweli Kuna wadogo zangu wawili wapo hii shule,mmoja ni form three na mwingine form one asee wanasema ni hatari Sana wanapigwa vibaya Sana Kuna ukatili usio na vipimo.

Juzi ilikuwa ni visiting day alienda mdogo wangu wa like kuwaona shuleni ajabu amewakuta na wakovu ya kudumu na wote wanasema wanaumwa kwahy wamerudi nyumbani.

Chanzo cha yote hayo ni huyo mama mhaya aliyewaleta wahaya wenzake waliofail form four na wasio walimu kuja kuwa walimu wa shule hii,katika upelelezi wangu mtoto wa kiume wa mmiliki wa shule ambaye nae asiye na taaluma ya ualimu ndo kila kitu hapo shuleni na ndo huyo anabaka watoto.

Nipo tiari kutoa ushirikiano kama mamlaka zitahitaji ushahidi maana Kuna hawa wadogo zangu wanaweza kusema yote wanayofanyiwa.
Tunsahukuru kwa kutupa mwanga wa unyanyasaji wanaofanyiwa hao watoto maskini. Wote hao ni wahalifu, na inabidi washughulikiwe kama majambazi na wabakaji wengine
 
Awali ya yote napenda kuushukuru uongozi wa Jamii Forum kwa kuendelea kuruhusu kufichua maovu yanayoendelea kutendeka katika jamii zetu.

Kuna ukatili wa watoto (wanafunzi unaoendelea katika shule ya binafsi (Experancia) iliyoko wilaya ya Sengerema.
1. Watoto wanapatiwa adhabu zenye kuwazidi uwezo ikiwa ni pamoja na bakora maeneo yasiyo sahihi na zenye kuwazidi uwezo kulingana na umri wao.

2. Watoto wa kike kuingiliwa na Mkurugenzi wa shule husika kwa zamu na baada ya hapo kuwapatia vidonge vya kuzuia ujauzito (P2), na inasemekana kwa bahati mbaya kuna mwanafunzi aliwahi ingiliwa na kusababishiwa ujauzito na baada ya hapo zikafanyika jitihada za kuutoa huo ujauzito 😭💔.

Ninaomba uongozi wa Jamii forum tuwasaidie watoto wetu jamani, dunia sio mbaya ila Binadamu tumegeuka wabaya kuliko hata wanyama wenyewe😭😭. Dunia imekuwa sio mahala salama tena.

Dkt. Gwajima D tusaidie kuwaokoa watoto wetu.

Hizi ni picha zilizotumwa na mzazi baada ya kwenda kumsalimu mwanae na kukuta khali isiyo ya kawaida kwa watoto.

View attachment 3125656View attachment 3125657View attachment 3125658View attachment 3125659
Hii ni shule au ni jehanamu? Yote haya lawama kwa CCM, masgetani wakubwa hawa
 
Na matokeo yao mbona ya kawaida sana pamoja na adhabu zao za kinyama hivyo.

S5628 EXPERANCIA SECONDARY SCHOOL​


DIVISION PERFORMANCE SUMMARY

SEX
I
II
III
IV
0

F​
7​
14​
2​
0​
0​

M​
9​
3​
2​
0​
0​

T​
16​
17​
4​
0​
0​
 
Kuna siku nilimpa p 2 .niliumwa tumbo vibaya mno.nikasema never mechi cha mchangani tena.
Nawaza kabinti kangu niseme aende shule akapitie mateso na mzazi hela nalipa kwa shida mwee
Mkurugenzi anyogwe. Huyo
 
Back
Top Bottom