DOKEZO Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

DOKEZO Ukatili unaofanyika kwa watoto wa shule binafsi ya EXPERANCIA (Sengerema)

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mzazi aliuliza walimu huyo kijana alifanya kosa gani?

Isijekuwa mnasagiana kunguni na kuwekeana mizengwe ya kibiashara hapa.

Mwanafunzi akilambwa mboko, siwezi simama moja kwa moja na kulaumu, lazima niuchimbue undani wa kisababishi kwanza.

Mbona hatujaona foleni ya picha ya pamoja ya waathirika walalamikaji kama jambo hilo linatendeka kwa wanafunzi wengi/wote.

Na kwa nini uoneshe mgongo bila sura yake kama jambo hilo ni la kiuonevu?

Je kama picha ni ya kuokoteza ili itumike kutengenezea fitina hapa?

Toa maelezo ya kina pamoja na picha zenye kueleweka ili tuweze kulipima jambo hili.
Kwa walengwa tayari wameshaingia kazini kuutafuta ukweli. Hivyo nakushauri na wewe uende shule husika ukajionee mwenye.
 
Kwa walengwa tayari wameshaingia kazini kuutafuta ukweli. Hivyo nakushauri na wewe uende shule husika ukajionee mwenye.
Hapa hatufungi safari kuutafuta ukweli, bali ukweli tunautafuta kwa uchokonozi wa hoja za kutoka pande zote mbili, tunadadisi kupima maneno, siyo kubishi ama kushabikia uovu.

Madhara ya kusikiliza upande mmoja na kuhukumu, yanafahamika.
 
Hapa hatufungi safari kuutafuta ukweli, bali ukweli tunautafuta kwa uchokonozi wa hoja za kutoka pande zote mbili, tunadadisi kupima maneno, siyo kubishi ama kushabikia uovu.

Madhara ya kusikiliza upande mmoja na kuhukumu, yanafahamika.
Ukienda shule ndiyo unakamilisha kwa kusikiliza upande wa pili pamoja na kujionea uhalisia. Sidhani kama hapa Kuna uongozi wa shule.
 
Duh nikikuta mtoto wangu kafanywa hvi nitamalizana na hao waalimu atakalia mtu ukuni
Hata mm lazima nimmwagie mtu mbegu.
There is no excuse there is no way to stop me..lazima mtu aukalie na kuukatikia.
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani.
 
Hizi tuhuma ni za kweli Kuna wadogo zangu wawili wapo hii shule,mmoja ni form three na mwingine form one asee wanasema ni hatari Sana wanapigwa vibaya Sana Kuna ukatili usio na vipimo.

Juzi ilikuwa ni visiting day alienda mdogo wangu wa like kuwaona shuleni ajabu amewakuta na wakovu ya kudumu na wote wanasema wanaumwa kwahy wamerudi nyumbani.

Chanzo cha yote hayo ni huyo mama mhaya aliyewaleta wahaya wenzake waliofail form four na wasio walimu kuja kuwa walimu wa shule hii,katika upelelezi wangu mtoto wa kiume wa mmiliki wa shule ambaye nae asiye na taaluma ya ualimu ndo kila kitu hapo shuleni na ndo huyo anabaka watoto.

Nipo tiari kutoa ushirikiano kama mamlaka zitahitaji ushahidi maana Kuna hawa wadogo zangu wanaweza kusema yote wanayofanyiwa.
Sasa wazazi mnatokaje visiting mnarudi nyumbani msiishie kwa DC???
 
Back
Top Bottom