Pandamlima
Senior Member
- Feb 27, 2013
- 143
- 13
wana jamvi, salaamNaomba ushauri nini sababu ya wanawake (baadhi) kutoa harufu mbaya sana ukeni? ni uchafu kutojua safisha mwili vizuri au ugonjwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harufu mbaya kama nini?usaha? uvundo? maziwa ya mgando? Mkojo? kama shombo ya samaki? au ?wana jamvi, salaamNaomba ushauri nini sababu ya wanawake (baadhi) kutoa harufu mbaya sana ukeni? ni uchafu kutojua safisha mwili vizuri au ugonjwa?
hahahaH!ni zaidi ya shombo ya samaki, na hii unaipata pindi unaposex na mwanamke, yaani harufu kali sana na inaboa sana, alafu unakuta mdada yupo comfy tu,,lloh!
Sipendi mwanamke mwenye uke unae nuka shombo ya sato
Huenda atakuwa na BV( Bacterial Viginosis)...
hahahaH!
most likely, B.V.
Hii inawatokea sana wale wanawake wanaopenda kujisafisha ukeni kwa kutumia dettol, sabuni kali na kemikali zingine.
Wanafikiri wanajiweka wasafi kumbe wanajiharibia vibuyu vyao.
Anahitaji tiba huyo.
Omo tena????????anatakiwa aende hospitali.Sasa nini ushauri wako watumie Omo kusafisha uke?
Hawana madhara kwa mwanaume.Ila kwa mwanamke, ana hatari ya kupata abortions za mara kwa mara.Hawa wana madhara kwenye duduz ya mwanaume?
nadhani labda wanaogegedwa ndo wanapaswa kusafisha ndani huko kuingiza brash ila kama huguswi guswi mi naona haipaswi mimi huwa sijiingizi vidole na sijawai kuona uchafu au harufu mbaya wala maji machafu....nadhani haipaswi kuingiza kitu hukuKunawatu wanajidai mabingwa wa usafi wanaingiza midole hadi kwa ndani eti wanajiswafi,ukiwaelewesha wabishi kama nini!
nadhani labda wanaogegedwa ndo wanapaswa kusafisha ndani huko kuingiza brash ila kama huguswi guswi mi naona haipaswi mimi huwa sijiingizi vidole na sijawai kuona uchafu au harufu mbaya wala maji machafu....nadhani haipaswi kuingiza kitu huku