Ukiacha Dar es Salaam, mikoa iliyobaki ujanja wao ni mchana tu, ikifika saa tatu usiku kila mtu yupo kwake

Ukiacha Dar es Salaam, mikoa iliyobaki ujanja wao ni mchana tu, ikifika saa tatu usiku kila mtu yupo kwake

Mkoa gani ulitafuta chakula kwa tochi? Au unaongelea aina ya chakula,ulikosa chips kavu? Kama ulikuwa Arusha ungeenda Granmelia ipo pale mkuu ina hadhi ya nyota tano kama Serena unapokunywa chai. Au kama ni masikini masikini ungeenda maeneo Shivers/Mrina ungepata nyama choma na mad* wa kununua.

Tabora ungeenda hata Tabora Belmonte ni nyota tatu haifikii Hyatt unapokula mchana ila ingefidia kidogo, wazungu weusi wenzako huwa wanalala pale pia, kama ni masikini masikini unataka wa kununu ukachakate ungeenda Oxygen Lounge/Club nadhani bado ipo nilipita muda kidogo.

Mwanza zipo sehemu kibao, Iringa zipo.....Mbeya pia nimeshacheki night life yao.

Issue ni hela hamna, au nyie ni madogo na night life mnaigiza mnataka mkute watu weengiii muanze ukenge ukenge 😀 sababu mmeshazoea kufuata mikumbo ya msafara wa mamba.

Halafu watu wa hivi na mitazamo hii hata hapa Dar ndio nyie tunawakimbia club kubwa tunaenda katika vi bar vya nje sababu brother brother nyiiingiii ni bia ya saba zote za mizinga,na kusimulia historia za zamani, ulegend wa kibwege oooh hapa Kino mi legend, babu yangu sijui hivi, wakati watu wanataka kula life kwa kidogo kilichopatikana.

Ukiwasha sigara, haujafika hata katikati anaitaka, unampa nzima anaiweka mfukoni anasubiri unayovuta. Mwishowe unambwatukia dogo kuwa na adabu, kwanza nani kakuita hapa....umeshapata bia na sigara. Ondoka

NB SIO LAZIMA UWE WEWE NDIO WATU KIBAO WALIVYO
Nimekwenda mara kadhaa Sumbawanga kwa Private car huwa nalala Iringa mjini kule juu kwenye hotel mara nyingi nafika saa 4 usiku restaurant ya hotel inakuwa imeshafungwa na wapishi wameondoka mji ni kimya kabisa hiyo ni saa 4 usiku, asubuhi nikitoka mapema napita Mbeya na Tunduma naingia Sumbawanga Holland hotel mapema tu.

Sasa kuna siku nimesafiri na bus la Wachina linaingia Sumbawanga saa 8 usiku, hotelini restaurant imeshafungwa kwenda stand ya zamani hapo Sumbawanga mjini hakuna chakula niliambulia kununuwa migebuka na maandazi ili angalau nidanganye tumbo.
 
Huwa napata tabu sana nikienda mkoani.

Kule ikifika saa 11 jioni wanapika chakula cha usiku.

Kama ni familia mtakuwa na masaa mawili ya stori baada ya hapo kila mtu anaenda kulaza ubavu wake.

Mkoani ni kitu cha kawaida kuona muuza duka anafunga biashara saa 1 jioni.

Saa 3 usiku kule ni usiku wa manane na ndio mida ambayo hata wezi wanakuwa na confidence ya kufanya uhalifu wao bila kusanukiwa.
Saa nne unakamatwa na sungusungu eti anakuyliza unatoka wapi usiku huu
 
Nimekwenda mara kadhaa Sumbawanga kwa Private car huwa nalala Iringa mjini kule juu kwenye hotel mara nyingi nafika saa 4 usiku restaurant ya hotel inakuwa imeshafungwa na wapishi wameondoka mji ni kimya kabisa hiyo ni saa 4 usiku, asubuhi nikitoka mapema napita Mbeya na Tunduma naingia Sumbawanga Holland hotel mapema tu.

Sasa kuna siku nimesafiri na bus la Wachina linaingia Sumbawanga saa 8 usiku, hotelini restaurant imeshafungwa kwenda stand ya zamani hapo Sumbawanga mjini hakuna chakula niliambulia kununuwa migebuka na maandazi ili angalau nidanganye tumbo.
Hahaha
 
True 100%.

Wanawake wote wazuri hikimbilia dar na wengine huletwa na wanaume wa vijijini maisha yakiwashinda wanatuachia.

Yaani Dar kila mwanamke ni mzuri.

Harafu wote nyashi
Nikienda Arusha hata kwa siku 3 tu kisha nikarudi Dar, moja ya kitu huwa kinanipa tabu ni kuwatazama wanawake wa hapa mjini. Aisee ni wabayaa mnoo. Yan unaweza sema ni weupe ila ukirud toka Arusha unaona kama wanawake wa hapa Dar wameungua flan au wameiva kwa joto la hapa town kama embe za kupuliza moto ziive ,wala sio weupe. Wanawale weusi unawaona kama ninwana shida ya ngozi (ukurutu) wala sio weusi.

Mpaka angalau week 1 ikate ndio maanza kuwazoea tena
 
Usingizi ni Afya, ni Muhimu sana Mtu kupumzika vizuri kwa masaa at least 7 au 8, usijisifie kutokulala na kujiona mjanja🫠

wengi wanaopumzika vizuri wana pesa au hali nzuri kiuchumi, sio Hohehahe

Dsm ina hali mbaya sana kimazingira, inanuka sana, inanuka vinyesi, shombo na jalala kila kona

Joto pia ni kali sana

Kutokana na kero hizo utawezaje kupata utulivu na kulala vizuri kwa wakati? Labda kama wewe ni Funza au Inzi
 
Naunga mkono hoja. Saa7 una menya chips manake watu wa huko wanashida sana. Muda wa kulala na familia wee Bado unafanya kazi. Mchana unatosha kabisa kuingiza Hela.
Watu wa mikoani mna tabu sana, Dar kuna sehemu biashara ya chakula inaanza saa 1 usiku mpaka asubuhi, wale kuku Sekela wanalika usiku, pita enzi hizo Barafaa, American Chips, Muchacho hao ni maexpert wa kuku chips usiku.

Dar sasa hivi serikali imepitisha biashara zifanyike 24 hours, Warundi, Wazambia na Wacongo wakiingia tu wafunge mzigo.
 
Nikienda Arusha hata kwa siku 3 tu kisha nikarudi Dar, moja ya kitu huwa kinanipa tabu ni kuwatazama wanawake wa hapa mjini. Aisee ni wabayaa mnoo. Yan unaweza sema ni weuoe ila ukirud toka Arusha unaona kama wanawake wa hapa Dar wameungua flan wala sio weupe. Wanawale weusi unawaona kama ninwana shida ya ngozi (ukurutu) wala sio weusi.

Mpaka angalau week 1 ikate ndio maanza kuwazoea tena
Wanawake wazuri wako,arusha,tanga,manyara,singida,moshi na kondoa full stop
 
Mikoani mmepoa sana,kuna mikoa ikifika saa tatu huwezi kuona mtu nje,still wanaamka saa moja, mnakuwa mbafanya nini ndani muda wote.

Saa sita za usiku DSM kuna watu ndio wanajiandaa watoke
Saa saba usiku wauza chipsi bado wanamenya viazi.

Juzi kuna mtuhumiwa kampiga na kitako cha bastola mwenzake saa 12 asubuhi wakiwa kwenye club ya usiku.

Kuna mikoa sungusungu wanaanza doria saa tatu,ukizubaa unakamatwa na kuulizwa eti unatoka wapi usiku huu ,saa tatu ni usiku??

Mnalala sana mikoani
Kwaiyo kukaa nje/ kutoka nje usiku ndio ujanja?
 
Sasa huyu limbukeni wa Dar anasema wanawake wazuri wapo Dar wakat sisi tuko Dar daily na hatuwaoni.
Ilankwakua tunatembea smtembea sana ndio tunafahamu haya mambo. Dar zimejaa screpa tu
Dar hakuna wanawake,ni majini tu hayo mikorogo,nyuso zimeparama,wana rangi mbili au tatu
 
Nikienda Arusha hata kwa siku 3 tu kisha nikarudi Dar, moja ya kitu huwa kinanipa tabu ni kuwatazama wanawake wa hapa mjini. Aisee ni wabayaa mnoo. Yan unaweza sema ni weupe ila ukirud toka Arusha unaona kama wanawake wa hapa Dar wameungua flan au wameiva kwa joto la hapa town kama embe za kupuliza moto ziive ,wala sio weupe. Wanawale weusi unawaona kama ninwana shida ya ngozi (ukurutu) wala sio weusi.

Mpaka angalau week 1 ikate ndio maanza kuwazoea tena
Arusha ni issue nyingine kwenye kipengele cha pisi kali.
 
Pale Uptown City of Johannesburg, kuna kitongoji kinaitwa Hillbrow aisee hapo ni 24 hours hapapoi, thats the meaning of big City.
Hillbrow nimekaa pale mika 23 iliyopita, ni sehu ambayo uhalifu ulikuwa juu sana miaka hiyo sijui saa hii
 
Sasa huyu limbukeni wa Dar anasema wanawake wazuri wapo Dar wakat sisi tuko Dar daily na hatuwaoni.
Ilankwakua tunatembea smtembea sana ndio tunafahamu haya mambo. Dar zimejaa screpa tu
Kama unashinda kwenye pombe hao watoto wazuri wanaokula ice cream utawaonea wapi?

Wewe utakutana na madanga tu kwenye hizo pub ukimuomba utamu na birthday yake inakuwa wiki hiyohiyo ma kodi ya nyumba imeisha.
 
Back
Top Bottom