kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Ni kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe hakua mtu wa mchezo mchezo.Ni kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
Ccm wote Wana heshima za uoga, kwao kipaumbele ni matumbo na ulaji tu, Raisi anasema watanunua vichwa chakavu kwanza harafu vipya vitanunuliwa baadae, ccm wanapiga makofi!!!hakuna wakupinga, wanaogopa yasiwakute ya ndugaiNi kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
Na huo ndio ukweli !!!Pombe hakua mtu wa mchezo mchezo.
#MaendeleoHayanaChama
Tanzania haijawahi kuwa ns Rais mkali kama Kikwete. Tulidanganywa na tabasamu lake la kinafiki.Mungu fundi
Alikuwa fala tu mwenye kudharau Wanawake.Pombe hakua mtu wa mchezo mchezo.
#MaendeleoHayanaChama
Tanzania haijawahi kuwa ns Rais mkali kama Kikwete. Tulidanganywa na tabasamu lake la kinafiki.
Ukali wa vipi ?? Au ukali wa kuwashughulikia waliomkosoa kimya kimya ??! Na kuwayenga yenga waliokuwa wakimsifia ?? Kama hivyo ni sawa !!Tanzania haijawahi kuwa ns Rais mkali kama Kikwete. Tulidanganywa na tabasamu lake la kinafiki.
Timu gaidi wanasemaje?
Mtaweweseka sana na JPM.Ni kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
View attachment 2285984
Hapo Gaidi ameingiaje?? Inaonekana mnaumia sana Mbowe kuupiga mwingiTimu gaidi wanasemaje?
Mbona akina lugola walimsifu lkn akawachinjia mbali. Usifu ama usisifu kwa mwamba ulikuwa ukikoroga unakutana na rungu.Ukali wa vipi ?? Au ukali wa kuwashughulikia waliomkosoa kimya kimya ??! Na kuwayenga yenga waliokuwa wakimsifia ?? Kama hivyo ni sawa !!
Waambie watu wa Syrilanka watakuelewaRais wa nchi sio Rais wa Manzese, lazima heshima iwepo
Kivuli chake kinawatesa sana. Dunia nzima hakuna inayomtambua Magu kama gaidi isipokuwa watanzania waliozoea kuchekewa hata kwenye maovu yao.Wanasema wanamshukuru Mungu kwa kuwaondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
vichwa vipya vya treni viwili nI bora kuliko vichwa kumi chakavu maana maintenance yake ni daily na kabla hujarudisha pesa uliyovinunulia tayari vimefeli kazi!wauzaji watakuwa wamemcheka na kumdharau sana Bimkubwa Samia!wamemuona hana akili kabisa huwezi kuanza mradi mpya wa matrilioni kwa Zana chakavu!! washauri wa Bimkubwa hawafai!!Wanampotosha achukue vichwa vingi chakavu ili mradi ukijakufeli watu waje waseme alikuwa Rais mjinga!Ccm wote Wana heshima za uoga, kwao kipaumbele ni matumbo na ulaji tu, Raisi anasema watanunua vichwa chakavu kwanza harafu vipya vitanunuliwa baadae, ccm wanapiga makofi!!!hakuna wakupinga, wanaogopa yasiwakute ya ndugai
Matumbo kwanza alisema Kigwangala !!vichwa vipya vya treni viwili nI bora kuliko vichwa kumi chakavu maana maintenance yake ni daily na kabla hujarudisha pesa uliyovinunulia tayari vimefeli kazi!wauzaji watakuwa wamemcheka na kumdharau sana Bimkubwa Samia!wamemuona hana akili kabisa huwezi kuanza mradi mpya wa matrilioni kwa Zana chakavu!! washauri wa Bimkubwa hawafai!!
mi nimewaza Bimkubwa asiogope kelele akope pesa mifuko ya jamii anunue vichwa vipya tu maana hakuna Fao la Kujitoa pesa zimerundikana hazina kazi. Mradi utarudisha mkopo.