Ukifa leo nani atatoa taarifa zako hapa JF?

Ukifa leo nani atatoa taarifa zako hapa JF?

Jf umeshakua mtandao mkubwa sana nchini na hata nje ya nchi. Sio rahisi members kufahamiana kwa hizi id zetu japo baadhi wanafahamiana. Na nadhani wale wanaofahamiana ni kile kipindi members wanakutana kufahamiana ama lah ni katika kusaidiana shida/kibiashara au wale ambao wana jina kubwa humu so watu hupenda kifahamiana nao physicaly.

Sasa kuna sisi tusio na rafiki, sio maarufu humu, ni wazee wa kusoma, kulike, comments kwa mbaali, uzi mmoja kwa miaka na ndo tupo wengi sana. Sasa mtu wa hivi akidondoka si rahisi kujua, na anaweza kua ni jirani au rafiki yako kabisa mtaani, lakini huku anaitwa kalunguyeye na mnakadhfiana kwelikweli humu ndani.
So ndo ivo mkuu ni kua si rahisi kujua mtu asiefahamika humu akidondoka.
 
Japo sitapenda ijulikane ila najua taarifa zitaletwa humu tu
 
Mambo yakuleta taarifa wakati umeshakufa hayana maana, leta taarifa ukiwa mgonjwa, jamii ionyeshe ushirikiano kwako kwa kukuhudumia katika kupigania uhai wako
 
Huku nako kumbe wanafunzi wameingia siku hizi..zamani jf ilikuwa ya watu wanaoeleweka watu wazima au hata honourable people.sasa ona jamaa katoka hoja ya msingi tuu ila watu wanacomment utani..siku hizi jf hadi huko jamii intelligence ni utani..hakuna forum ya userious!!
Hoja aliyotoa ni ya kitoto na ya kijinga ndio maana tunajibu kwa utani utani.lengo la kutumia ID isiyojulikana na kitotaka kujulikana,kama MTU nia take ni kitaka kunulikana basi atumie Majina yake halisi-simple.
 
Mambo yakuleta taarifa wakati umeshakufa hayana maana, leta taarifa ukiwa mgonjwa, jamii ionyeshe ushirikiano kwako kwa kukuhudumia katika kupigania uhai wako
Bro sio wote wanaouvuta wanaumwa
 
Hahahaha si ndio nipo nao karibuu mzeebaba...
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png

Nigawie mmoja basi....nami niwe karibu naye

Sana sana Shunie au Hornet
 
Shunie ndugu
Nyani Ngabu mkwe/shemeji
audacious huyu shemeji wa rafiki yangu
amu huyu atajua kupitia NN
Hazard CFC huyu muunganiko mrefu sana
Dinazarde huyu atajua kupitia rafiki yetu mheshimiwa mbunge wa jimbo fulani.

Siku ikifika watu wengi wa Tz watanipost Sema ndo hamtajua kama ndo mimi and ikifika nyie wenye picha zangu msione shida kunipost mwaya maana nitakua marehemu so hamna shida wakinipost kibonge
Heheheh mim nikikufa iwe kimya tu 😂😂😂😂
Sitaki hata rambirambi wakuu
 
Rikiboy...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji28][emoji28] Taarifa zangu naamini kuna mtu atazitoa
 
Shunie ndugu
Nyani Ngabu mkwe/shemeji
audacious huyu shemeji wa rafiki yangu
amu huyu atajua kupitia NN
Hazard CFC huyu muunganiko mrefu sana
Dinazarde huyu atajua kupitia rafiki yetu mheshimiwa mbunge wa jimbo fulani.

Siku ikifika watu wengi wa Tz watanipost Sema ndo hamtajua kama ndo mimi and ikifika nyie wenye picha zangu msione shida kunipost mwaya maana nitakua marehemu so hamna shida wakinipost kibonge
Bby huu muunganiiko vipii??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shunie ndugu
Nyani Ngabu mkwe/shemeji
audacious huyu shemeji wa rafiki yangu
amu huyu atajua kupitia NN
Hazard CFC huyu muunganiko mrefu sana
Dinazarde huyu atajua kupitia rafiki yetu mheshimiwa mbunge wa jimbo fulani.

Siku ikifika watu wengi wa Tz watanipost Sema ndo hamtajua kama ndo mimi and ikifika nyie wenye picha zangu msione shida kunipost mwaya maana nitakua marehemu so hamna shida wakinipost kibonge
Na ww ni jina kubwa utakuwa..
usikute nakufahanu humu mijini....!!?
lkn ndio sijui kama Mzigua? aka Mmakuwa
 
Back
Top Bottom