Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahaha baadhi ya balozi maziwa makuu watahudhuriaš¤š¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha baadhi ya balozi maziwa makuu watahudhuriaš¤š¤
HahahahaKumbe Smart911 mtu na level zake sio...
Nilitamani ww ndio ungekuwa unatoa taarifa zangu hapa jf lkn[emoji30][emoji30][emoji30]........Ujue bana hapa ili kupata wa kuleta taarifa inabidi kuishi kifamilia zaidi na huyo mjf na hapo ndo taarifa zinaeza kujulikana hapa jf nikimaanisha labda umezoweana na fulani basi inabidi mmoja kwenye familia awe anamfahamu huyo mtu ili likitokea jambo basi yule Mwanajf anafahamishwa.
Lakini mazowea ya wawili tu yaani Mjeiefu kwa mjeiefu ukifa ghafla ndo imetoka hiyo labda itokee waamue kufahamisha kifo wote walioko kwenye contacts za simu ya aliyefariki na iwe huyo mjeiefu kaseviwa sasa na ikitokea hawajafanya hivyo ndo basi tena.
Yaani unashangaa Shadeeya anapotea tu ndani ya sever za jf na namba haipatikani kumbe ndo nishakufaga kitambo.
Si ajabu amekufaAmepotea sana huyu bwana
Tuombeane uzimaSi ajabu amekufa
Bestie habari yako binafsiHahaha baadhi ya balozi maziwa makuu watahudhuria
Bestie habari ni nzuri .sijui wewe huko ulipoBestie habari yako binafsi
Nitalia sana nikisikia kipenzi kavuta na kuaga dunia. Na sijui taarifa za kuburudisha kutoka kwa Yanga Sc tutazipata wapi??Ujue bana hapa ili kupata wa kuleta taarifa inabidi kuishi kifamilia zaidi na huyo mjf na hapo ndo taarifa zinaeza kujulikana hapa jf nikimaanisha labda umezoweana na fulani basi inabidi mmoja kwenye familia awe anamfahamu huyo mtu ili likitokea jambo basi yule Mwanajf anafahamishwa.
Lakini mazowea ya wawili tu yaani Mjeiefu kwa mjeiefu ukifa ghafla ndo imetoka hiyo labda itokee waamue kufahamisha kifo wote walioko kwenye contacts za simu ya aliyefariki na iwe huyo mjeiefu kaseviwa sasa na ikitokea hawajafanya hivyo ndo basi tena.
Yaani unashangaa Shadeeya anapotea tu ndani ya sever za jf na namba haipatikani kumbe ndo nishakufaga kitambo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na msiba kuhudhuliwa na viongozi was serikali na mabalozi
Mie niko okay sanaBestie habari ni nzuri .sijui wewe huko ulipo
Ukweli huuUjue bana hapa ili kupata wa kuleta taarifa inabidi kuishi kifamilia zaidi na huyo mjf na hapo ndo taarifa zinaeza kujulikana hapa jf nikimaanisha labda umezoweana na fulani basi inabidi mmoja kwenye familia awe anamfahamu huyo mtu ili likitokea jambo basi yule Mwanajf anafahamishwa.
Lakini mazowea ya wawili tu yaani Mjeiefu kwa mjeiefu ukifa ghafla ndo imetoka hiyo labda itokee waamue kufahamisha kifo wote walioko kwenye contacts za simu ya aliyefariki na iwe huyo mjeiefu kaseviwa sasa na ikitokea hawajafanya hivyo ndo basi tena.
Yaani unashangaa Shadeeya anapotea tu ndani ya sever za jf na namba haipatikani kumbe ndo nishakufaga kitambo.
Nywila yangu ya JF hata kama kuna mbu au inzi pembeni yangu, namfukuza kwanza kabla ya kuiweka na ku log in.
Ndio ndio
Ila kwa nini sisi jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na umeona tumetajwa wa5
Ila kwakweli kuna wadau wanakera sana humu.Huku nako kumbe wanafunzi wameingia siku hizi..zamani jf ilikuwa ya watu wanaoeleweka watu wazima au hata honourable people.sasa ona jamaa katoka hoja ya msingi tuu ila watu wanacomment utani..siku hizi jf hadi huko jamii intelligence ni utani..hakuna forum ya userious!!
NaaamShunie ndugu
Nyani Ngabu mkwe/shemeji
audacious huyu shemeji wa rafiki yangu
amu huyu atajua kupitia NN
Hazard CFC huyu muunganiko mrefu sana
Dinazarde huyu atajua kupitia rafiki yetu mheshimiwa mbunge wa jimbo fulani.
Siku ikifika watu wengi wa Tz watanipost Sema ndo hamtajua kama ndo mimi and ikifika nyie wenye picha zangu msione shida kunipost mwaya maana nitakua marehemu so hamna shida wakinipost kibonge
HahahahHeheheh mim nikikufa iwe kimya tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sitaki hata rambirambi wakuu