Ukifika miaka 30 unaweza kuwapata wanawake wengi lakini huna muda nao sana kama ilivyokuwa kabla ya 30

Ukifika miaka 30 unaweza kuwapata wanawake wengi lakini huna muda nao sana kama ilivyokuwa kabla ya 30

Umri 30 una maajabu yake, vile
Vitu kama hizi pisi ukifika 30, unakuwa na mamlaka makubwa tofauti na zamani ya kuweza kuzipata lakini unaweza kupotezea tu ufanye mambo mengine.

Hata yale mambo ya kujisifu una madem wengi, kutangaza umeila pisi kali ili usifiwe, kuhonga, n.k haya mambo yanapungua sana na hata muda wa kuyafikiria na kuyawekea umakini yanapungua sana.

Ukubwa dawa, kuwa mkubwa uyaone, hii ndio miaka ambayo wengi akili zinatulia huanza kuweka umakini zaidi kwenye shughuli za maendeieo na kupunguza tamaa walizokuwa nazo
Wengine hiyo Hali ilitukuta kabla hatujafikisha miaka 25
 
MToa mada unalosema ni sahihi kbsa hasa ukishakuw na mambo haya matatu

Pesa ya kiasi +
Familia yako na nyumba yako
Usafiri wako (Gari)

Aseee ni wengi kinyama na unakosa ata muda wa kulala nao wote wengine wanakuw pending tuu hata 6month
 
Back
Top Bottom