Ukifika miaka 30 unaweza kuwapata wanawake wengi lakini huna muda nao sana kama ilivyokuwa kabla ya 30

Ukifika miaka 30 unaweza kuwapata wanawake wengi lakini huna muda nao sana kama ilivyokuwa kabla ya 30

Baada ya kuoa / kuolewa ndo unaanza kupata wengi wenye sifa ambao ukuwapata wakati unatafuta
Mimi tangu nimeoa nishachepuka sana lakini kiukweli sijapata duu kama mama sasha, ametisha sana huyu mwanamke
 
Tusiache kula pisi wakuu tusizionee huruma hata kidogo hata kama una miaka 90 ngoma ikistand weka toa pita hivi

Unafikiri kwa nini nasisitiza
Wanamke sio viumbe hai wana roho mbaya sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umri 30 una maajabu yake, vile
Vitu kama hizi pisi ukifika 30, unakuwa na mamlaka makubwa tofauti na zamani ya kuweza kuzipata lakini unaweza kupotezea tu ufanye mambo mengine.

Hata yale mambo ya kujisifu una madem wengi, kutangaza umeila pisi kali ili usifiwe, kuhonga, n.k haya mambo yanapungua sana na hata muda wa kuyafikiria na kuyawekea umakini yanapungua sana.

Ukubwa dawa, kuwa mkubwa uyaone, hii ndio miaka ambayo wengi akili zinatulia huanza kuweka umakini zaidi kwenye shughuli za maendeieo na kupunguza tamaa walizokuwa nazo
Sibishi hata nukta. Huu ni ukweli mtupu alafu ndio umri niliopo
 
hizi mambo za kuambiwa subiri ufike age fulan siziamini kbs kila mtu na experience yake, nakumbuka enzi hizo niko high-school watu wakawa wanasema papuchi chuo zipo za kumwaga hata buku mbili

Nilivyofika chuo sasa [emoji23]... slay queens zinataka lunch KFC au Subway... nikamaliza chuo sikuona hizo papuchi za buku mbili zaid ya wahaya
Mimi niliambiwa kuwa nisipotongoza chuo nitatongozwa na warembo[emoji23][emoji23]
 
hizi mambo za kuambiwa subiri ufike age fulan siziamini kbs kila mtu na experience yake, nakumbuka enzi hizo niko high-school watu wakawa wanasema papuchi chuo zipo za kumwaga hata buku mbili

Nilivyofika chuo sasa [emoji23]... slay queens zinataka lunch KFC au Subway... nikamaliza chuo sikuona hizo papuchi za buku mbili zaid ya wahaya
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]zipo ila kwa wenye pesa
 
Umri 30 una maajabu yake, vile
Vitu kama hizi pisi ukifika 30, unakuwa na mamlaka makubwa tofauti na zamani ya kuweza kuzipata lakini unaweza kupotezea tu ufanye mambo mengine.

Hata yale mambo ya kujisifu una madem wengi, kutangaza umeila pisi kali ili usifiwe, kuhonga, n.k haya mambo yanapungua sana na hata muda wa kuyafikiria na kuyawekea umakini yanapungua sana.

Ukubwa dawa, kuwa mkubwa uyaone, hii ndio miaka ambayo wengi akili zinatulia huanza kuweka umakini zaidi kwenye shughuli za maendeieo na kupunguza tamaa walizokuwa nazo
uko sawa.
 
malengo gan unayasemea? Namilik frem mbili kariakoo, range rover moja na harrier, nina nyumba nne zna wapangaji, na nafanya kazi ktengo pale TPA.
Mkuu, hivi ulifanikisha kupata kazi kweli na maisha yako yalivyokuwa magumu kiasi kile? [emoji848][emoji23][emoji23] Naona content ya uzi ule imefutwa, umeacha dot!

Miaka miwili ushapata pesa ya kujenga majumba, kupangisha frem kariakoo, kusafiri Dubai[emoji23]

Ukiwa muongo, uwe na kumbukumbu
Jorge WIP Mwizukulu mgikuru
 
Mkuu, hivi ulifanikisha kupata kazi kweli na maisha yako yalivyokuwa magumu kiasi kile? [emoji848][emoji23][emoji23] Naona content ya uzi ule imefutwa, umeacha dot!

Miaka miwili ushapata pesa ya kujenga majumba, kupangisha frem kariakoo, kusafiri Dubai[emoji23]

Ukiwa muongo, uwe na kumbukumbu
Jorge WIP Mwizukulu mgikuru
Acha watu wajifariji tu
 
Tusiache kula pisi wakuu tusizionee huruma hata kidogo hata kama una miaka 90 ngoma ikistand weka toa pita hivi

Unafikiri kwa nini nasisitiza
Wanamke sio viumbe hai wana roho mbaya sana
Haya ndo maneno sasa

Miaka 30+ ndo unazila vizuri kwa sababu hata kipato kimeongezeka
 
Mkuu, hivi ulifanikisha kupata kazi kweli na maisha yako yalivyokuwa magumu kiasi kile? [emoji848][emoji23][emoji23] Naona content ya uzi ule imefutwa, umeacha dot!

Miaka miwili ushapata pesa ya kujenga majumba, kupangisha frem kariakoo, kusafiri Dubai[emoji23]

Ukiwa muongo, uwe na kumbukumbu
Jorge WIP Mwizukulu mgikuru
Aaah ni yeye Eliclassic 🤣
Kazi ulipata?
 
Back
Top Bottom