Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Pole....ukiamka kutoka usingizini tutazungumza vizurimalengo gan unayasemea? Namilik frem mbili kariakoo, range rover moja na harrier, nina nyumba nne zna wapangaji, na nafanya kazi ktengo pale TPA.
Kabisa, rich people wana uongeaji wao na sio huoPole....ukiamka kutoka usingizini tutazungumza vizuri
We mgonjwa bhanaNa 30s, ubora wa mbegu na uimara wa kusimamisha ile 45 degree uelekeo wa tumboni ndo inaanza kupotea.
Matamanio mengi kimaisha, malengo na misimamo imejaa kichwani, kusimamisha ovyo ovyo hakuna nafasi tena!
Hapo umesahau kutaja nyumba unayoishi mwenyewe, jumla una nyumba 5 mkuumalengo gan unayasemea? Namilik frem mbili kariakoo, range rover moja na harrier, nina nyumba nne zna wapangaji, na nafanya kazi ktengo pale TPA.
Wengine hiyo Hali ilitukuta kabla hatujafikisha miaka 25Umri 30 una maajabu yake, vile
Vitu kama hizi pisi ukifika 30, unakuwa na mamlaka makubwa tofauti na zamani ya kuweza kuzipata lakini unaweza kupotezea tu ufanye mambo mengine.
Hata yale mambo ya kujisifu una madem wengi, kutangaza umeila pisi kali ili usifiwe, kuhonga, n.k haya mambo yanapungua sana na hata muda wa kuyafikiria na kuyawekea umakini yanapungua sana.
Ukubwa dawa, kuwa mkubwa uyaone, hii ndio miaka ambayo wengi akili zinatulia huanza kuweka umakini zaidi kwenye shughuli za maendeieo na kupunguza tamaa walizokuwa nazo
Umeanza uongo.Na 30s, ubora wa mbegu na uimara wa kusimamisha ile 45 degree uelekeo wa tumboni ndo inaanza kupotea.
Matamanio mengi kimaisha, malengo na misimamo imejaa kichwani, kusimamisha ovyo ovyo hakuna nafasi tena!
hapo cjamtajia mashamba ya korosho nayomiliki mtwara na zile pharmacy zangu zinazo suply madawa kanda ya ziwa na nnatumia gari zenye special plate number sa cjui ye anazungumzia malengo gan labdaHapo umesahau kutaja nyumba unayoishi mwenyewe, jumla una nyumba 5 mkuu
KabisaBaada ya kuoa / kuolewa ndo unaanza kupata wengi wenye sifa ambao ukuwapata wakati unatafuta
🤣🤣🤣Jf...afu kesho unajisahau unakuja na thread....mwenye 1000 anikopee nipate japo majimalengo gan unayasemea? Namilik frem mbili kariakoo, range rover moja na harrier, nina nyumba nne zna wapangaji, na nafanya kazi ktengo pale TPA.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]malengo gan unayasemea? Namilik frem mbili kariakoo, range rover moja na harrier, nina nyumba nne zna wapangaji, na nafanya kazi ktengo pale TPA.
Acha watu wajifariji mkuu, maisha yanapiga sana [emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jf...afu kesho unajisahau unakuja na thread....mwenye 1000 anikopee nipate japo maji
🤣🤣🤸Vituko sana
dont take jf seriously, sie wengne jf ni sehemu ya burudan kwa hyo ukichukulia vitu serious utapasuka ubongo🤣🤣🤣Jf...afu kesho unajisahau unakuja na thread....mwenye 1000 anikopee nipate japo maji
😁☺️ ExactlyBaada ya kuoa / kuolewa ndo unaanza kupata wengi wenye sifa ambao ukuwapata wakati unatafuta