Ukiishi na mwenza unayempenda mnaishi kama Watoto

Upendo ujengwa na heshima na utii.
" Mwanamke ameagizwa hamuheshimu na kutii Mme wake.
" Mwanaume kaagiwa ampende mkewe"
Kutii ni kwenye mema utakiwi kumtii mmeo kwenye mabaya.
Kumpenda mkeo ni kumtimizia mahitaji ya kimwili na kiroho.
 
Upendo ujengwa na heshima na utii.
" Mwanamke ameagizwa hamuheshimu na kutii Mme wake.
" Mwanaume kaagiwa ampende mkewe"
Kutii ni kwenye mema utakiwi kumtii mmeo kwenye mabaya.
Kumpenda mkeo ni kumtimizia mahitaji ya kimwili na kiroho.
Well said
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usinichekesheee dyadyaa ake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
I see me and my husband πŸ₯°πŸ₯°
 
Yanadumu mpaka pale umaskini unapobisha hodi mjengoni[emoji23]
Kabisa kama hujakuwa huwezi elewa hii sentence hasa Kwa huku Africa na ndio maana watu wanauana kwasababu mabadiliko yanapokuja kuamini huwa ni ngumu
 
Ewaaaaaaaaa... Yan mnakuwa marafiki wakubwaaa sana, Hapooo kwenye umbeya sasaaaaa
 
Mapenzi matamu mnoo, hasa mkutane mnapendana kwa dhati.
[emoji23][emoji23][emoji23] hapo Pa kupiga umbea, mda ote ni voice notes, tsup video/audio call, call ya kawaida,

Akiwa karibu ni full kupeana mastors na ubuyuu, Mapenzi ya kweli yapooo.
Wewe na demu wako huwa mnapiga stori za aina gani ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…