luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Hâta marekan ni nchi tajiri Ila Kuna maskiniTanzania yote ni masikini. usijifariji. wewe mwenyewe ni masikini, katafute hela ili usishinde mitandaoni kuleta hoja za kimasikini.
Nimetolea mfano sameUliishia same?kama umeishia huko siwezi kukulaumu
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kuanzia hatua chache kupita buiko kuelekea moshi huku njiani kuna maeneo mengi yapo empty na ni jangwa hapavutii kuishiWewe kadanganye nyumbu wenzio
Kilimanjaro pori ulikute wapi? Labda liwe eneo la serikali
Maeneo yote Yameendelezwa
Kilimanjaro ardhi haikai bure,usidhani ni maporini kama hko kwenu meatu
Ni Sawa Lkn ujue same ni asilimia ndogo mno ya population ktk KilimanjaroNimetolea mfano same
Yale ni maeneo ya serikali sio ya watu binafsi mkuuKuanzia hatua chache kupita buiko kuelekea moshi huku njiani kuna maeneo mengi yapo empty na ni jangwa hapavutii kuishi
Sio ndogo ni kubwa ,wilaya za mwanga na same zina watu wengi piaHayo maeneo ya same ni asilimia ndgo mno ya population
Kwann huzungumzii uchagan ambayo inabeba 80% ya population ya mkoa?
Duh...Tatizo la bongo wanaangalia mikoa hawaangalii mtu mmoja mmoja dar kuna watu wana maisha magum afadhali ya tabora mtu huwez shindwa kula mana utalima tu ila dar ka huna kazi huli na ndo mana maxhoga n weng mno
SawasawaYale ni maeneo ya serikali sio ya watu binafsi mkuu
Tembelea vijijin uchagani usiangalie pembeni ya l'ami[emoji3][emoji3][emoji3]
NENDA machame,rombo, mwika,kilema,marangu,NK alafu urudi hapa
Same na mwanga ni 20% ya populationSio ndogo ni kubwa ,wilaya za mwanga na same zina watu wengi pia
ukisema moshi unakosea Moshi na pale mjini tu sema kilimanjaro vijijiniKweli kabisa mkoa wa Kilimanjaro wana waangalia wachanga wachache wenye hela lakini huko kwao kuna Wachagga wananuka shida mafadhari ya .mkoa tabora unaweza fika kwa mtu mwenye nyumba ya nyasi ukala ukalala mwezi mzima kisha ukenda zako kitu hicho moshi hakuna
umeshafika marekani? marekani kuna masikini wengi kama tz? kiwango cha watu wenye uhakika na milo mitatu marekani utalinganisha na hapa?Hâta marekan ni nchi tajiri Ila Kuna maskini
Usijifariji
Huo ni mfano,Sawa n'a Kilimanjaro maskini WA Kilimanjaro huwezi mfananisha na WA kaliua ambaye hâta maji ya kunywa ni. Shidaumeshafika marekani? marekani kuna masikini wengi kama tz? kiwango cha watu wenye uhakika na milo mitatu marekani utalinganisha na hapa?
wewe ni mjinga sana na hata haujui maana ya umasikini na utajiri. baki na ujinga wako.Huo ni mfano,Sawa n'a Kilimanjaro maskini WA Kilimanjaro huwezi mfananisha na WA kaliua
Pia idadi ya maskini Kilimanjaro ni 10% kwa mujibu WA NBS
Nani wa kanda ya ziwa kijana mbona una mihemko namna hiyo?Kanda ya ziwa mnatia aibu kwa utapiamlo poleni
Ulikua na basha wa kichaga akakutelekeza nin[emoji2] manake sio kwa pobu hiliCha kushangaza huko kwenye msongamano na maji ya mifugo ndio mnakimbilia kila siku.
Kilimanjaro ni kimkoa kidogo mnoo, na kwakuwa nchi yetu mifumo siyo customized. Ndio maana Kuna umeme.
Kusema Kuna maji 95% ni stori za vijiwe vya mbege na mirungi.
Barabara ya rami ni moja tu. Barabara kuu ya kuunganisha Wilaya.
Kilimanjaro mjini ni wapi??
Kwasababu unapend sana kubweka kuhusu supermarket as if ni kitu Cha maana mnoo.
Ninavyojua supermarket huwa wanakodisha shelves than kunakuwa na suppliers. Yaani mtu kuwa na duka lake kubwa unaita supermarket [emoji26]
Kwenda mjini wapi?
Huduma gani?
Wewe jamaa ni limbukeni sana. Ghorofa ni utamaduni tu wa Jamii fulani, pamoja na uhaba wa ardhi.
Ndio maana Kenya wanapenda sana kujenga maghorofa.
Ghorofa Ni nyuma 2 zinazokaliana Wala siyo kitu Cha ajaabu.
Hotel za Nini?
Kila, guest house au Nini?
Zahanati zilizopo ni za Katoliki na kwakuwa kieneo chenyewe ni kidogo kukiwa na zahanati ya wakatoliki pamoja na serikali moja itaonekana Kuna zahanati nyingi
Hospitali za kiwango gani?
Maana unazungumza zahanati Mara unarukia Hospitali. Upuuzi
Shule hazina msongamano Kwasababu ninyi na Watoto wenu mmekimbia Kilimanjaro mmeenda mikoa mingine kuongeza msongamano. Rudini kwenu Kama mtatosha?!!
Huku nilikuja kikazi na ninapamba kila namna kuhama huku. 99% ya kila mfanyakazi aliyeletwa huku anapambana kuhama. Ndio maana wanakatalia Uhamisho, maana watu wataisha.
Huko kwenu nimetembea, nimeona watafuna mirungi fu, mbege, dadii, tope, milima, vumbi, unafiki na kitimoto.
Labda Kama unajua sehemu nyingine
Sina muda wa KUFIRA mashogaUlikua na shoga wa kichaga