GRANITE II
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 540
- 965
Mkuu mbona Pure Mathematics ni kitabu na sio somo au wakuu mi ndio sielewi...Nadhani somo linaitwa Advanced MathematicsUna uhakika gani kuwa nilifeli hesabu? Kwa taarifa yako hesabu hazikuwahi kunishinda na Advance nilisoma PURE MATHEMATICS kama mbadala wa BAM, siku nyingine uwe na adabu mkuu.
Hivi MA anaweza kumuajili CA?
Mkuu mifano yako unayoitoa sio relevant,unatolea mfano projects zilizofanyiwa design na wachina pamoja na waturuki ni kama kulinganisha usingizi na kifo.Haiwezekani muwe na uwezo wa kupitisha daraja baharini alafu mshindwe kujua mfanye ujasiliamali gani
Kwahiyo ninyi wa hapa bongo hamuwezi?Mkuu mifano yako unayoitoa sio relevant,unatolea mfano projects zilizofanyiwa design na wachina pamoja na waturuki ni kama kulinganisha usingizi na kifo.
Upo sahihi hicho hicho kitabu cheusi ndio ilikuwa chakula changuMkuu mbona Pure Mathematics ni kitabu na sio somo au wakuu mi ndio sielewi...Nadhani somo linaitwa Advanced Mathematics
Hapo kwenye kupanda miti, kazana unaweza kuja kula parefu Sana kutoka USAID, SNV, USADF etcSawa mkuu, basi ngoja sisi wahandisi wa mazingira tuendelee kupanda miti na kuzibua mitaro ya majiji tusikutane na maswaibu ya kuzabuliwa vibao [emoji16][emoji16][emoji16]
Elimu ya Bongo ina kiwango cha chini,ukishamaliza chuo itakuhitaji ufanye kazi miaka 20 kwenye kampuni kubwa ili uwe na viwango kama vya Mhandisi Mfugale.Kwahiyo ninyi wa hapa bongo hamuwezi?
Duh!Elimu ya Bongo ina kiwango cha chini,ukishamaliza chuo itakuhitaji ufanye kazi miaka 20 kwenye kampuni kubwa ili uwe na viwango kama vya Mhandisi Mfugale.
Hatari sana.Yote yanawezekana mkuu
Mbona mfanyabiashara asiekuwa na kisomo anamuajiri accountant
MitamboWewe ni engineer wa sekta gani?
Hatari sana.
Dokta kaajiliwa na Muhudu wa Mochwari.
Engineer waya mkaliHao sio maengineer.
Eti engineer anakupiga vizinga. Hahaaa
Subiri ufike mwaka wa3 chuo urudi kuutazama uzi wako huu kama hujaukataaMods sitaki mbadili title,
Ktk watu ambao huwa wanaanza na idea ya kitu, wanakitathimini, wanatafakari na kupata picha halisi kabla idea hiyo haijafanyiwa kazi na kuwa kitu, basi ni hawa watu wanaoitwa maingineer.
Fikiria daraja la kigamboni, fikiria daraja la ssalenda lile jipya linalopita baharini, fikiria reli ya mwendokasi kuna njia imepasuliwa kati kati ya mlima.
Hawa majamaa wanahamisha mpaka mito wanajenga daraja kisha wanaurudisha mto unaendelea kutililisha maji kama kawaida,
Hivi ktk hali ya kawaida mtu kama huyu akikufuata akakuambia hana ramani ya maisha unamsaidiaje?
Engineer yeyote akikufuata akakuambia hana mchongo wa kufanya na hajui afanye biashara gani mpige makofi.
Nawasilisha.
Kasoma na nje pia halafu ongezea na experience aliyoipataDuh!
Kwahiyo hamna internship?
Kwani mfugale si alisoma hapa hapa au ?
Kila jambo linahitaji maarifa.Hujaelewa point yangu, namaanisha mtu mwenye uwezo wa kujua aweke nguzo za aina gani na daraja lenye uzito flani baharini ili magari yaweze kupita ndio anaweza kushindwa kujua afanye biashara gani kweli??