Ukikutana na kijana wa umri kati ya 15-20 maeneo ya Kimara amekatwa vidole viwili vya mkono wa kulia, mimi ndiye nimemfanya hivyo

Huyu muhaya kila siku mara ana bastola mara ivi yaani mapanga mawili uweke kweny begi ilo begi au mfuko wa gitaa

Point walikupiga Wacha ulevi maana hata mbio huna
 
Umenikera sana kwani ulitakiwa Ummalize kabisa asiendelee Kupumua tena hadi Kiama.
 
Alooo...
 
Mkuu binafsi nimeipenda hiyo kazi nzuri.
 
Dah tutamkumbuka sana Dr Magufuli. Alisisitiza sana tufanye kazi, kila mtanzania alijitahidi kufanya kazi ili aishi. Ila sasa kila mtu anaona bora apige dili ili aishi. Mama hata kukemea hakuna
 
Nahisi mkoa mzima uko peke yako mkuu,wanaume wengine wa Dar wote nawaona wako ndani wanachungilia madirishani wanasubiria Polisi waje kuwasaidia...
Hili suala la kuchungulia dirishani likisababisha dogo moja akafa hivi hivi huko changanyikeni
 
Daaa!! Bonge la technic!
Vijana wa Tandika, Tandale, Temeke, mpooo!!
Watu wamefumbuliwa macho!
Lakini uwe na ubavu, wakikuzidi nguvu umekwisha!!
 
Sisi mtaani kwetu tumekubaliana tufanye mauaji ya kijana mmoja tutakayemkamata akiiba.Kwani wizi umepamba moto sanaaaa mtaani petu.
 
Mzee huo ni unyama yaan ni kama mtu alie sepa na kilo 2 kokein
 

Mura umefanya jambo la maana sana
Nakupongeza, hawa washenzi wanasumbua sana saiv
 
safi sana mkuu na iwe fundisho kwa wasenge wengine mtaani unyama unyama tu kama Russia na NATO.
 
Peleka NIDA hivyo vidole kwa fingerprints atajulikana au vipi?
 
Nikimuona nitamuongeza vya kushoto
 
Nikimuona nitamuongeza vya kushoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…