Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Shukrani sana mkuu. I'm humbled sanaaa🙏🏽🙏🏽Sijawahi kuona umeandika ujinga JF katika comments zako zote. Congrats..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sana mkuu. I'm humbled sanaaa🙏🏽🙏🏽Sijawahi kuona umeandika ujinga JF katika comments zako zote. Congrats..
Hata ukiweka somo labda iwe home business ama economics lakini suala kubwa zaidi ni kila mtu kutambua kuwa nidhamu ya pesa imeegemea katika tabia za mtuHivi hamna jinsi ya kuweka hili somo darasani maana hakika umaskini wetu umeanzia hapa na hata ukijaribu kugusia hili UTAONA jinsi utachambwa mara mchoyo mara roho mbaya ila ukweli ni janga la taifa.
Ule hata ukiubeba haubebeki. Imagine mtu akutafutie kazi na bado unaomba akutafutie nyingine yenye mshahara mzuri.kaka mzigo exceptional ndo ukoje 😂
Hatari Sana, ila vipi Ile sauti ya kike kwenye album ya marioo.??.Ule hata ukiubeba haubebeki. Imagine mtu akutafutie kazi na bado unaomba akutafutie nyingine yenye mshahara mzuri.
Hii ni ajabu
Nimeskiiza nyimbo chache.. Nikaona sivibe nayo. Nitumie wimbo wenyewe nikaucheki IntelHatari Sana, ila vipi Ile sauti ya kike kwenye album ya marioo.??.
Mi naona ni artwork nzuri, vipi wewe.?
Dah siku hizi Ume kosa sikio kabisa, haya chukua hiziNimeskiiza nyimbo chache.. Nikaona sivibe nayo. Nitumie wimbo wenyewe nikaucheki Intel
Umetisha sana mkuu.Uzungu sio ngozi, ni itikadi tu na namna ya kuendesha maisha. Ukiendesha maisha kibepari we ni mzungu. Mzungu anajua mipaka ya msaada na haogopi kusema hawezi. We uchukie usichukie utajua mwenyewe.
Sawa.. Ntakucheki PM, usinidhalilishe publicly hadi watu wakajua nimezeeka 😁😁Dah siku hizi Ume kosa sikio kabisa, haya chukua hizi
Nairobi ft bien.
my daughter
Salio
Wangu ft harmonize
High ft Joshua baraka
Baridi kaka, Nje ya hiyo album, Kuna extra pressure ben soul ft bien.Sawa.. Ntakucheki PM, usinidhalilishe publicly hadi watu wakajua nimezeeka 😁😁
Bien namskiiza so hizo nazijua 😁Baridi kaka, Nje ya hiyo album, Kuna extra pressure ben soul ft bien.
Niko nasikiliza album ya only one king ya ali kiba, huyu Jamaa hii ili kuwa Ina leta bet kudadadeki .Bien namskiiza so hizo nazijua 😁
Ni ajabu sana mkuu kwa maana katika hali ya kawaida, yule aliyetafutiwa ndiye aliyepaswa kumpa 10% aliyemtafutia kama shukrani..Ule hata ukiubeba haubebeki. Imagine mtu akutafutie kazi na bado unaomba akutafutie nyingine yenye mshahara mzuri.
Hii ni ajabu
Wema kiasi. Roho mbaya kiasi. Hiyo ndio balanced life..Usiwe mtu mwema, Utatumika na watu.
Kila mmoja anapaswa kuhangaikia maisha yake yeye mwenyewe.