Ni story ngapi kati ya 10 znazohusu wamachane zinazofanana na za hao majiran zako!?Kuna majirani zangu ni matajiri ni wakemia by professional juices hz za viwandan nk Leo hii mmoja Ana 50 mke 47 mbona wanaish tu ikoje mkuu tuelimishane?? Ndo hao wamachame
Tabia njema hujengwa kwenye msingi wa familia,kijiji,kata hadi Taifa.Tabia njema au tabia mbaya ni Mali binafsi inayomilikiwa na mtu mwenyewe, Wala siyo Mali inayomilikiwa na Mikoa.
Hahaaa mkuu punguza ukali wa maneno utatenganisha wapendanaoItakuwa dawa yako inachemka bado kunyweshwa 🤣🤣
Ndugu yangu kigoma na mara umebugi sana mimi niko hapa kazegunga njia panda ya mwandiga huku ni Uswahili kwa kwenda mbele.ukitaka kujua wapi liko tanuri ya umbea na Majungu nakukaribisha kugoma.ungesema wanaume hao kwa kweli wanapambana sana lkn wanawake utakuta maskini.
[/QUOTE
Hahahaa hapo mkuu ukigusia mwandiga,ujiji,gungu, kibirizi,Kahabwa,hapo tabia zao ni pure pwani kabsaa.Nadhani huko kazegunga nako itakuwa wameadapt tabia za hayo maeneo.
Kaka mimi nahisi nmerogwa tatizo anayonifanyia wakati wa kupambania kombe nkikumbuka machozi yanitoka walahiHapana dizain kama umejiroga mkuu.Maana kama unaruhusu tabia usiyo ipenda ifanyike kitandan kwako hapo naona wew ndo umejiroga.
Daaa asee pole lakin naturally sis wanaume hatuwezwag na wanwake,we tuliza akili na itafute nafas yako kama kichwa, Mungu hata acha kamwe kukupa namna ya kujikwamua kwakua imeandkwa tuishi nao kwa akili yeye mwenyez atakupa akili ya ukichwa.Kaka mimi nahisi nmerogwa tatizo anayonifanyia wakati wa kupambania kombe nkikumbuka machozi yanitoka walahi
Wamachame hawa 😂😂😂Kuna mtaa huko mbezi nyumba nyingi zina wajane wa kutoka Kilimanjaro, yaani unakuta ni Mama na watoto ukiuliza Baba alishafariki
Mimi hata kwa dawa siwezi oa kanda ya ziwa.Hawanaga vision ya maendeleo na pia hawana ethics za ndoa.Kuwa makini sana na hao watu wa kaskazini.
Sali sana.
Stress bank6.singidani
No 1 Sindio wanaomtanguliza mwenza ili wabebe Mali au nitofauti,kaskazini nikutafuta kwanza then mapenzi yanafuata.Mikoa ifuatayo ndio una wanawake unavoweza fanya nao maisha
1.Kilimanjaro
2.Iringa
3.Kigoma
4.Mara
5.Mwanza
Ruksa kukosoa nakaribisha maoni. Mapendekezo... Ushauri Aya twende🏃♂️
Itabaki tu kuwa hivyo tu kuwa wanawake wa kaskazini ni wauaji na wabinafsi sanaMimi hata kwa dawa siwezi oa kanda ya ziwa.Hawanaga vision ya maendeleo na pia hawana ethics za ndoa.
Yeye kumuoa mka kaa miaka hata 30 mkawa na watoto kuondoka kukuachia watoto is not a big deal.
Kanda ya kaskazini wanajali sana watoto wao tena kuliko hata mume na tena akishaona amepata mtoto wa kiume anajua hatoki alipo ni kwake na wanawe ndio maana mnawaogopa.
Uzuri wa kaskazini ni wapiganaji mno hawana aibu ya kutafuta maisha hasa mumewe akifariki.
Ulishaona wapi mwanamke wa kaskazini kafiwa na mumewe akawa omba omba kama makabila mengine.Atafanya hata biashara ya mama ntilie japo kupika mungu amewanyima kwa kweli.wao ni michemsho kwenda mbele.
Ni wape mfano tajiri wa Arusha miaka ile mama Maeda alifiwa na mume kwa ajali ya gari mwaka 1967 na walikuwa na mabasi ya kutoka Arusha kwenda Nairobi mumewe alivyokufa tu mama kakamata usukani wa biashara mabasi yakaongezeka yalikuwa yanaitwa Kilimanjaro Bus Service(KBS).Huyu mama alikuwa jembe akiona dereva kachelewa kuja anaingia garini anakamata basi hadi Nairobi.Baadae alibadilisha biashara ikawa ya mahoteli ya kitalii.Raisi Nyerere ameshawahi mpa ulinzi alivyokuwa anasumbuliwa na ndugu wa mumewe juu ya mali japo kanda ya kaskazini sio common.
Kanda ya kaskazini wana matabaka msidhani wote wanafanana kwa tabia liko tabaka moja ndio liliharibu sifa za matabaka mengine.
Ukioa Rombo umeoa trekta la Valmet
Angalizo
Ukitaka kupetiwa petiwa i love you darl kwa mahaba usijaribu kuoa kaskazini hiyo fani hawana na ndio maana hawanaga jando na unyago.Ukitaka maendeleo oa mkoa huo
Ukitaka kubebwa mgongoni kwenda kuogeshwa oa mikoa ya waja leo warudi leo.
ukitaka ukienda kazini ukimpa kisogo mke anaingiza mtu mwingine oa kulee mlango wa Beira boy
Mimi hata kwa dawa siwezi oa kanda ya ziwa.Hawanaga vision ya maendeleo na pia hawana ethics za ndoa.
Yeye kumuoa mka kaa miaka hata 30 mkawa na watoto kuondoka kukuachia watoto is not a big deal.
Kanda ya kaskazini wanajali sana watoto wao tena kuliko hata mume na tena akishaona amepata mtoto wa kiume anajua hatoki alipo ni kwake na wanawe ndio maana mnawaogopa.
Uzuri wa kaskazini ni wapiganaji mno hawana aibu ya kutafuta maisha hasa mumewe akifariki.
Ulishaona wapi mwanamke wa kaskazini kafiwa na mumewe akawa omba omba kama makabila mengine.Atafanya hata biashara ya mama ntilie japo kupika mungu amewanyima kwa kweli.wao ni michemsho kwenda mbele.
Ni wape mfano tajiri wa Arusha miaka ile mama Maeda alifiwa na mume kwa ajali ya gari mwaka 1967 na walikuwa na mabasi ya kutoka Arusha kwenda Nairobi mumewe alivyokufa tu mama kakamata usukani wa biashara mabasi yakaongezeka yalikuwa yanaitwa Kilimanjaro Bus Service(KBS).Huyu mama alikuwa jembe akiona dereva kachelewa kuja anaingia garini anakamata basi hadi Nairobi.Baadae alibadilisha biashara ikawa ya mahoteli ya kitalii.Raisi Nyerere ameshawahi mpa ulinzi alivyokuwa anasumbuliwa na ndugu wa mumewe juu ya mali japo kanda ya kaskazini sio common.
Kanda ya kaskazini wana matabaka msidhani wote wanafanana kwa tabia liko tabaka moja ndio liliharibu sifa za matabaka mengine.
Ukioa Rombo umeoa trekta la Valmet
Angalizo
Ukitaka kupetiwa petiwa i love you darl kwa mahaba usijaribu kuoa kaskazini hiyo fani hawana na ndio maana hawanaga jando na unyago.Ukitaka maendeleo oa mkoa huo
Ukitaka kubebwa mgongoni kwenda kuogeshwa oa mikoa ya waja leo warudi leo.
ukitaka ukienda kazini ukimpa kisogo mke anaingiza mtu mwingine oa kulee mlango wa Beira boy
Rombo inasemakana wapo vizuri ila huko kwingine ni changamoto. Binafsi naamini akili ya maisha ya vision ipo kwako wewe mwanaume na sio mwanamke.Mimi hata kwa dawa siwezi oa kanda ya ziwa.Hawanaga vision ya maendeleo na pia hawana ethics za ndoa.
Yeye kumuoa mka kaa miaka hata 30 mkawa na watoto kuondoka kukuachia watoto is not a big deal.
Kanda ya kaskazini wanajali sana watoto wao tena kuliko hata mume na tena akishaona amepata mtoto wa kiume anajua hatoki alipo ni kwake na wanawe ndio maana mnawaogopa.
Uzuri wa kaskazini ni wapiganaji mno hawana aibu ya kutafuta maisha hasa mumewe akifariki.
Ulishaona wapi mwanamke wa kaskazini kafiwa na mumewe akawa omba omba kama makabila mengine.Atafanya hata biashara ya mama ntilie japo kupika mungu amewanyima kwa kweli.wao ni michemsho kwenda mbele.
Ni wape mfano tajiri wa Arusha miaka ile mama Maeda alifiwa na mume kwa ajali ya gari mwaka 1967 na walikuwa na mabasi ya kutoka Arusha kwenda Nairobi mumewe alivyokufa tu mama kakamata usukani wa biashara mabasi yakaongezeka yalikuwa yanaitwa Kilimanjaro Bus Service(KBS).Huyu mama alikuwa jembe akiona dereva kachelewa kuja anaingia garini anakamata basi hadi Nairobi.Baadae alibadilisha biashara ikawa ya mahoteli ya kitalii.Raisi Nyerere ameshawahi mpa ulinzi alivyokuwa anasumbuliwa na ndugu wa mumewe juu ya mali japo kanda ya kaskazini sio common.
Kanda ya kaskazini wana matabaka msidhani wote wanafanana kwa tabia liko tabaka moja ndio liliharibu sifa za matabaka mengine.
Ukioa Rombo umeoa trekta la Valmet
Angalizo
Ukitaka kupetiwa petiwa i love you darl kwa mahaba usijaribu kuoa kaskazini hiyo fani hawana na ndio maana hawanaga jando na unyago.Ukitaka maendeleo oa mkoa huo
Ukitaka kubebwa mgongoni kwenda kuogeshwa oa mikoa ya waja leo warudi leo.
ukitaka ukienda kazini ukimpa kisogo mke anaingiza mtu mwingine oa kulee mlango wa Beira boy
Anaweza tembea hata na Boss wako kisa mali.No 1 Sindio wanaomtanguliza mwenza ili wabebe Mali au nitofauti,kaskazini nikutafuta kwanza then mapenzi yanafuata.
No money no love
Sana sana mkuu, mbele ya maslahi yake hana huruma kwako wewe mwanaume.Itabaki tu kuwa hivyo tu kuwa wanawake wa kaskazini ni wauaji na wabinafsi sana