Ukiogea chumvi ya mawe kila mtu hukuona ni mtu mwenye amani

Ukiogea chumvi ya mawe kila mtu hukuona ni mtu mwenye amani

Siku utakapogundua alicho nacho huyo unae mwita nabii wa kwel kila mtu anacho , utakua umechelewa sana na yeye atakua kesha tajirika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nashukuru Kama unao uwezo uliongea hapa. Wengi hawajui kuwa ufalme ama uwezo mkubwa unao Kama huyo huyo ,na Hakuna ambaye anaweza akaongea ama akakupatia nguvu ya kiumbaji Bali kila mtu anayo.
The kingdom of heaven is within you,na sio huko angani ama majini,
Kuna ishu za ki spiritual huwa nakula hapa Naona watu wanapotea mno.
Mana vitabu wame edit. Watu wameambiwa waombe watapewa Ila hawajaambiwa how to ask imefichwa ama kunyofolowa
 
Hitaji pekee ni damu ya Yesu, hiyo inakomboa kutoka kwenye vifungo vyote vya kishetani

Yanini niogee chumvi wakati inatoka baharini??, bora niende nikaogelee baharini kwanza nitulize akili then nienjoy
 
unaoota ndoto za ajabu ajabu chukua maji ya baharini weka chumvi punje saba
jimwagie siku saba ...siku ya saba jimwagie maji ya madafu mawili unawezachanganya na maji ama yenyewe ...frm Dk Pdidy
 
Mtaendelea kuitwa Kondoo sana tu,

Haya nenda ukauziwe chumvi ya buku kwa elfu 50 uoge ili upate bwana.
Kwa vile wewe tayari una zawadi ya mabikra 72 kwa Allah.
Nahitaji hizo Bikra 72 maana huko peponi mtafaidi sana.
Huko Peponi ni milio ya sauti ya watu wanasikika wakifanya ngono
 
Mkubwa kaka Mshana Jr na wengineo
Naomba kuelimishwa kidogo kuhusu habari ya chumvi ya mawe
Je ni kweli kwamba kwa wale ambao tunaishi vyumba self ambapo unakuta chumbani kuna choo na bafu viko sehemu moja yaani kwenye kachumba hako hako ni choo na bafu kwa pamoja je nikiogea hapo chooni hiyo chumvi haifanyi kazi ipasavyo mpaka niogee sehemu tofauti na chooni?
 
Nashukuru Kama unao uwezo uliongea hapa. Wengi hawajui kuwa ufalme ama uwezo mkubwa unao Kama huyo huyo ,na Hakuna ambaye anaweza akaongea ama akakupatia nguvu ya kiumbaji Bali kila mtu anayo.
The kingdom of heaven is within you,na sio huko angani ama majini,
Kuna ishu za ki spiritual huwa nakula hapa Naona watu wanapotea mno.
Mana vitabu wame edit. Watu wameambiwa waombe watapewa Ila hawajaambiwa how to ask imefichwa ama kunyofolowa
Mkuu hili swala la BIBLIA kuwa edited hata asubuhi ya Leo nilikuwa nakuwazia, haiwezekani Mungu mwenye nguvu zote watu wamtafute Kwa kukesha na kufunga alafu bado hawajibiwi, kuna namna Huenda wameedit...
 
Nashukuru Kama unao uwezo uliongea hapa. Wengi hawajui kuwa ufalme ama uwezo mkubwa unao Kama huyo huyo ,na Hakuna ambaye anaweza akaongea ama akakupatia nguvu ya kiumbaji Bali kila mtu anayo.
The kingdom of heaven is within you,na sio huko angani ama majini,
Kuna ishu za ki spiritual huwa nakula hapa Naona watu wanapotea mno.
Mana vitabu wame edit. Watu wameambiwa waombe watapewa Ila hawajaambiwa how to ask imefichwa ama kunyofolowa
Wajinga ndio waliwao
 
Kwa vile wewe tayari una zawadi ya mabikra 72 kwa Allah.
Nahitaji hizo Bikra 72 maana huko peponi mtafaidi sana.
Huko Peponi ni milio ya sauti ya watu wanasikika wakifanya ngono
 

Attachments

  • Screenshot_20231110-125847_Gallery.jpg
    Screenshot_20231110-125847_Gallery.jpg
    94.7 KB · Views: 14
Ni mambo ya kiroho. Ni ngumu kuthibitisha kwa ulimwengu wa damu na nyama.
Kama mtu masikini anakopa hela 5 milion anaenda hija Macca kumponda jiwe shetani na anaamini limempata la mbavu.
  • Wewe ushawahi kumuona shetani?
  • Shetani unaweza kumpiga kwa jiwe?
Kama mtu masikini anakopa hela 5 milion anaenda hija Macca kumponda jiwe shetani na anaamini limempata la mbavu. [emoji2827][emoji3064][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkubwa kaka Mshana Jr na wengineo
Naomba kuelimishwa kidogo kuhusu habari ya chumvi ya mawe
Je ni kweli kwamba kwa wale ambao tunaishi vyumba self ambapo unakuta chumbani kuna choo na bafu viko sehemu moja yaani kwenye kachumba hako hako ni choo na bafu kwa pamoja je nikiogea hapo chooni hiyo chumvi haifanyi kazi ipasavyo mpaka niogee sehemu tofauti na chooni?
Hapana inafanya kazi vizuri tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom