Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru Kama unao uwezo uliongea hapa. Wengi hawajui kuwa ufalme ama uwezo mkubwa unao Kama huyo huyo ,na Hakuna ambaye anaweza akaongea ama akakupatia nguvu ya kiumbaji Bali kila mtu anayo.Siku utakapogundua alicho nacho huyo unae mwita nabii wa kwel kila mtu anacho , utakua umechelewa sana na yeye atakua kesha tajirika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa swala la chumvi ya mawe nimelishuhudia kwa makabila na mataifa mbalimbali wakiamini hivyo including nchi za wenzetu wanaitwa 1st world countries.. Madaba chumvi nyingi ukimaliza milima ya lukumburu kwenda Songea
Kwa vile wewe tayari una zawadi ya mabikra 72 kwa Allah.Mtaendelea kuitwa Kondoo sana tu,
Haya nenda ukauziwe chumvi ya buku kwa elfu 50 uoge ili upate bwana.
Yupo mmoja alitabir baadhi ya vitu.Nabii hajawahi hata kutabiri kitu chochote
Mkubwa kaka Mshana Jr na wengineo
Mkuu hili swala la BIBLIA kuwa edited hata asubuhi ya Leo nilikuwa nakuwazia, haiwezekani Mungu mwenye nguvu zote watu wamtafute Kwa kukesha na kufunga alafu bado hawajibiwi, kuna namna Huenda wameedit...Nashukuru Kama unao uwezo uliongea hapa. Wengi hawajui kuwa ufalme ama uwezo mkubwa unao Kama huyo huyo ,na Hakuna ambaye anaweza akaongea ama akakupatia nguvu ya kiumbaji Bali kila mtu anayo.
The kingdom of heaven is within you,na sio huko angani ama majini,
Kuna ishu za ki spiritual huwa nakula hapa Naona watu wanapotea mno.
Mana vitabu wame edit. Watu wameambiwa waombe watapewa Ila hawajaambiwa how to ask imefichwa ama kunyofolowa
Wajinga ndio waliwaoNashukuru Kama unao uwezo uliongea hapa. Wengi hawajui kuwa ufalme ama uwezo mkubwa unao Kama huyo huyo ,na Hakuna ambaye anaweza akaongea ama akakupatia nguvu ya kiumbaji Bali kila mtu anayo.
The kingdom of heaven is within you,na sio huko angani ama majini,
Kuna ishu za ki spiritual huwa nakula hapa Naona watu wanapotea mno.
Mana vitabu wame edit. Watu wameambiwa waombe watapewa Ila hawajaambiwa how to ask imefichwa ama kunyofolowa
Kwa vile wewe tayari una zawadi ya mabikra 72 kwa Allah.
Nahitaji hizo Bikra 72 maana huko peponi mtafaidi sana.
Huko Peponi ni milio ya sauti ya watu wanasikika wakifanya ngono
Unapatachumvi ya Mawe ni mpaka Sokoni ? kwenye maduka ya dawa za asili sitaweza kupata ?
Kama mtu masikini anakopa hela 5 milion anaenda hija Macca kumponda jiwe shetani na anaamini limempata la mbavu. [emoji2827][emoji3064][emoji848]Ni mambo ya kiroho. Ni ngumu kuthibitisha kwa ulimwengu wa damu na nyama.
Kama mtu masikini anakopa hela 5 milion anaenda hija Macca kumponda jiwe shetani na anaamini limempata la mbavu.
- Wewe ushawahi kumuona shetani?
- Shetani unaweza kumpiga kwa jiwe?
Popote inafaaaNa ukioga sio chooni bafuni ama kwenye korido chooni haifanyi kazi
Hapana inafanya kazi vizuri tuuMkubwa kaka Mshana Jr na wengineo
Naomba kuelimishwa kidogo kuhusu habari ya chumvi ya mawe
Je ni kweli kwamba kwa wale ambao tunaishi vyumba self ambapo unakuta chumbani kuna choo na bafu viko sehemu moja yaani kwenye kachumba hako hako ni choo na bafu kwa pamoja je nikiogea hapo chooni hiyo chumvi haifanyi kazi ipasavyo mpaka niogee sehemu tofauti na chooni?
Kumbe Kuna kunuiza? Nisiponuia chochote haita leta matokeo?Kuna siku 7,14 au 21 utachagua ww inawezs kundi gan na kunuiza kile utakacho
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Bonge ya fursaKwa ambao hamjui pa kupata chumvi njooni na elfu 5 niwape 1kg mjini dar