Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Kujaribu ndiyo kujua...usifanye kwa kujaribu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujaribu ndiyo kujua...usifanye kwa kujaribu
Usijali Mkuu, ya Soda lazima upate maana inaonesha Wateja wengi walikuwa WanaJF 🤪naomba pesa yangu
Chumvi ya mawe ipo inauzwa mfano huku kwetu Lita 1 ni 1500 wakati mwingine 1000 tu. Huikolezi unaweka kidogo tu yaani iwemo kwenye maji yale ya kuoga kama ndio yapo kwenye ndio au beseni. Kwa wanaoogea Bomba la juu sijafahamu inakuwaje hapaUnaogeaje? Unaikoleza kwenye maji? Kiasi gani? Chumvi ya mawe ni ipi hiyo? Au Magadi?
Chumvi ya mawe inapatikana masokoni tena kwa bei chee tu ya TSH 1000 kwa kilo.Nenda ibadani kwa Kuhani Musa...
Huwa haipatikani mpaka ibadani...
😯Shukrani kuipromote Chumvi ya Mawe, maana nimefanikiwa kuuza roli kadhaa za chumvi Jana 🤪
Tutawajulisha DAWASA wawe wanatuchanganyia chumvi ya mawe angalau mara moja kwa wiki...Moja ya athari za kuogea chumvi ya mawe ni kila mtu hukuona ni mtu wa amani, hata wahuni hawawezi kuhangaika na wewe[emoji41]
Aiseee kweli muhimu kusalimia watu, huku nilipo inauzwa kipakti kidogo mia tano, kumbe kunasehemu kilo ni buku tu.Chumvi ya mawe inapatikana masokoni tena kwa bei chee tu ya TSH 1000 kwa kilo.
Na hao manabii uchwara hakuna wanachoongeza kwenye hiyo chumvi
Mwaka 2019 nilitia katika mzunguko wa kitanda na baadhi ya mambo yakaanza unlock ,mimi nilisoma hapa JF .Tupeni uzoefu zaidi,uliogea kwa muda gani na mara ngapi?
Chumvi Lita au kilo?Chumvi ya mawe ipo inauzwa mfano huku kwetu Lita 1 ni 1500 wakati mwingine 1000 tu. Huikolezi unaweka kidogo tu yaani iwemo kwenye maji yale ya kuoga kama ndio yapo kwenye ndio au beseni. Kwa wanaoogea Bomba la juu sijafahamu inakuwaje hapa
Chumvi kidogo tu hata ile ya kuunga mboga ikakolea ni nyingi mno kwa nitumiavyo mimiChumvi Lita au kilo?
Ufafanuzi Tafadhali
Mkuu hapa tupe kidogo details inakuwajeKwa wale mnaobet msisahau stone salt
Moja ya vitu nadra sana kuvisikiaChumvi ya mawe huwa inaamsha nishati na kuibalance na kufungua chakra zilizojifunga hii nilipoitumia mwaka 2019 at the first time nilianza Kupata matokeo makubwa in my life's path