Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio sadaka unampa nan labda?Mchawi kiboko yake sadaka tu ukiinenea hakuna takataka itakugusa uonekani kwenye radar zao.
Thus wanapotosha sana watu ili wasitoe sadaka mara zinaliwa,mara sijui nini,Hali wao wanatoa sana kwa shetani.
Hivi mchawi ambae kamtoa mtoto wake sadaka kwa maumivu,we Mkristo utoae chenji utamuweza kweli?
Thus wachawi wanawagalagaza sana Wakristo sababu wao wanatoa sadaka kwa maumivu na uaminifu wa Hali ya juu.
Hata Siri kubwa ya wayahudi kufanikiwa ni sadaka.
Hakuna Myahudi fukara Duniani labda awe teja au hayupo kwenye mfumo wa dini Yao.
Dada zetu hawa manabii wamewateka sana aiseeUnauliza 'Kuchomekea' Shati kwa Max Mpia Zengeli?
Mungu kupitia watu yaani WahitajiHio sadaka unampa nan labda?
tatizo imani, kama huna imani huwezi kusaidikia....acha utapeli na uchawi mbuzi wewe. kama ingekuwa hivyo, wale watu wa dodoma wanaotumia maji ya chumvi, ardhi yote ukitindua tu chini ni maji ya chumvi, si wangekuwa na maisha bora sana?
Funguka sasa,tiririka kuhusu chumvi ya mawe,ya aina gani,inapatikana wapi,unaogea wapi mara ngapi,faida zake ni zipi.?nk
Kwa muda gani na inapatikana wapi? Mengi ni yapi kwa faida ya wengi.Nimeogea na nikaona mengi zaidi ya hiyo amani ..
Tupeni uzoefu zaidi,uliogea kwa muda gani na mara ngapi?Chumvi ya mawe huwa inaamsha nishati na kuibalance na kufungua chakra zilizojifunga hii nilipoitumia mwaka 2019 at the first time nilianza Kupata matokeo makubwa in my life's path
🤣🤣🤣🤣♥️View attachment 2750205
Amani ni kitu cha muhimu sana
UsijaliAkishakufundisha nifundishe na mimi
Ntajaribu ngoja niende sokoni nikaitafuteKuna siku 7,14 au 21 utachagua ww inawezs kundi gan na kunuiza kile utakacho
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Funguka sasa,tiririka kuhusu chumvi ya mawe,ya aina gani,inapatikana wapi,unaogea wapi mara ngapi,faida zake ni zipi.?nk
Anapatikana wapi?Ninayo macho ya Rohoni na ya mwilini yaani hata wewe nikikaa na wewe Leo nakujua mpaka ukoo wako wote ..
Huyo Nabii Ninamjua mwilini na Rohoni
Unaogeaje? Unaikoleza kwenye maji? Kiasi gani? Chumvi ya mawe ni ipi hiyo? Au Magadi?Chumvi ya mawe
Hizo za manabii ni biashara tu japo kama Imani yako inakupeleka huko basi fuata hiyo.
Mimi nainunua sokoni ipo ndani ya kutosha tu naogea na niko Safi tu.
Aliloandika mwenye uzi huu lipo sahihi kabisa japo mimi sikuliona kwa namna hiyo katika matumizi yangu ya chumvi ya mawe
usifanye kwa kujaribuNgoja tuone...
naomba pesa yanguShukrani kuipromote Chumvi ya Mawe, maana nimefanikiwa kuuza roli kadhaa za chumvi Jana 🤪