georgeallen
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 4,118
- 1,875
Unaota wewe.Moja ya athari za kuogea chumvi ya mawe ni kila mtu hukuona ni mtu wa amani, hata wahuni hawawezi kuhangaika na wewe😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaota wewe.Moja ya athari za kuogea chumvi ya mawe ni kila mtu hukuona ni mtu wa amani, hata wahuni hawawezi kuhangaika na wewe😎
anaekuroga au kukunenea mabaya bado yupo active muda woteMimi sio wakiroho sana au mkristo sana kuliko yesu mwenyewe au pail lakini kiukwlei sijawahi kuwa na amani ya moyoni nikianza kusikia kwa watumishi mambo ya kuogea chumvi nasema tena sijawahi kuwa na amani sasa sijui nafsi inanidanganya au hii ibada roho haitaki?
kwa matokeo ya haraka zaidi ogea kwenye maji ya vuguvuguuzuri kuna debe zima la chumvi ya mawe kwaajili ya mifugo hapa nyumbani nitajaribu. vipi naogea maji moto au baridi
Huu utapeli sasa kwa nabii...nenda sokoni nunua chumvi hiyo itumie nyumbani ndani au kuogea ..impact yake ni kubwa hakuna cha nabii wala takataka yake nabii..Tena ukiogea chumvi iliyoombewa na Nabii wa Mungu wa kweli...
Unafahamu negative energy ni kitu gani???Mi niliwahi kuongea sikuona cha MAANA ambacho mnasifia humu jukwaani!!
Mimi hapa mkuuKuna Manabii wa Kweli kwa sasa Duniani?
mkuu na mimi niwekee kidogo kwenye kikombe changu, leo nina hamu ya kulewa kama wewe😂Tukijamba wakati tumelala Vitandani harufu Kali na Isambaayo kwa Kasi ya Mjambo ( Kujamba )haiwezi Ikaiyeyusha Chumvi yote iliyoko ndani ya Glasi iliyowekwa Uvunguni?
Anaondoa maana ya mahubiri watu wanataka wasikie ujumbe na Sio ghaniAnaboa sanaa. Kanisa likalitazame hili ile sio kazi ujinga ule
asante sana boss hizi ndo elimu duniakwa matokeo ya haraka zaidi ogea kwenye maji ya vuguvugu
We lala kesho upeleke hiyo sadaka
kuhani musa ni nabii wa Mungu wa kweli au mungu wa kweli?Sawa, utanifuata PM
Maybe sijui NIAMBIE imeaply vipi hapo!?Unafahamu negative energy ni kitu gani???
Tapeli tu yule juzi nilisikia muujiza wamchongo kabisa ..eti dada anadai aliitwa kuanza kazi ya ajira hata hakuomba hiyo kazi Kwa kufanya application......halafu eti kawalevel waaumini Kwa vipato ..Kuna wale wa mill 10 sijui ndio gold halafu etc...hakuna mtu wa Mungu pale .hizi ngozi nyeusi sijui huu ujinga wa manabii kuamini sijui nai katuroga..kuhani musa ni nabii wa Mungu wa kweli au mungu wa kweli?
Kuna vi watu ni vichawi humu1kg n 2000/=kama kumbukumbu zangu hazijapotea
Wakati wa kuiogea unafanyaje, yani ukishaichangaya na maji unakuwa unajimwagia maji huku ukinuia au unanuia kwanza ndio unaanza kujimwagia maji uliyonuia?mimi nimeifanya kuiogea kila siku..yaani ndio style ya maisha yangu kwa sasa...nilikuwa napigwa vita mbaya sana kuanzia kwenye familia ya baba yangu mpaka kwenye mfumo(system)