Ukiogea chumvi ya mawe kila mtu hukuona ni mtu mwenye amani

Ukiogea chumvi ya mawe kila mtu hukuona ni mtu mwenye amani

Weka glass ya chumvi ya mawe uvunguni mwa kitanda chako hakuna nguvu yeyeto ya kipumbavu itakudhuru.
Nguvu zote chafu unaswa na nguvu ya chumvi.
Tukijamba wakati tumelala Vitandani harufu Kali na Isambaayo kwa Kasi ya Mjambo ( Kujamba )haiwezi Ikaiyeyusha Chumvi yote iliyoko ndani ya Glasi iliyowekwa Uvunguni?
 
Mchawi kiboko yake sadaka tu ukiinenea hakuna takataka itakugusa uonekani kwenye radar zao.
Thus wanapotosha sana watu ili wasitoe sadaka mara zinaliwa,mara sijui nini,Hali wao wanatoa sana kwa shetani.
Hivi mchawi ambae kamtoa mtoto wake sadaka kwa maumivu,we Mkristo utoae chenji utamuweza kweli?
Thus wachawi wanawagalagaza sana Wakristo sababu wao wanatoa sadaka kwa maumivu na uaminifu wa Hali ya juu.
Hata Siri kubwa ya wayahudi kufanikiwa ni sadaka.
Hakuna Myahudi fukara Duniani labda awe teja au hayupo kwenye mfumo wa dini Yao.
 
Kwa Zoba kama Wewe ila kwa Kawe inauzwa Shilingi Elfu Moja ( Tsh 1,000/= ) tu Soko la Zamani kwa Mpemba aitwae Osama Midevu Jirani na Kibanda anachouza Mboga Mboga Dada yake aliyekuwa Kipa wa Yanga SC Ramadhan Kabwili aitwae Dada Mariamu.
Masokoni pote ipo maduka ya mifugo ipo au maduka ya dawa za asili anapata popote.
Kilo moja ni elf moja.
 
Kama ni manabii wa kweli waende hospital watu kibao wana matatizo tuone hospital zikibaki tupu.
matapeli tu hao.
Na wakienda huko Mahospitalini na Kuwaponya Watu Kweli GENTAMYCINE naahidi Nitajisaidia Haja Kubwa ( Nitaukweka ) kuanzia Tegeta Nyuki hadi Mbagala Rangi Tatu mubashara ( Live ) kabisa na Mchana Kweupe.
 
Back
Top Bottom