jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kulikua na hospital gan enzi za yesu?
We kwa akili yako unadhani wakiugua walikua wanakwenda wapi au walikua wanafanya nini ili wapate tiba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikua na hospital gan enzi za yesu?
We lala kesho upeleke hiyo sadakaWe kwa akili yako unadhani wakiugua walikua wanakwenda wapi au walikua wanafanya nini ili wapate tiba?l
Kuna Manabii wa Kweli kwa sasa Duniani?Tena ukiogea chumvi iliyoombewa na Nabii wa Mungu wa kweli...
Nani kakufundisha Uwongo siku hizi Dada yangu Mpendwa? Chumvi ya Mawe imejaa Soko la Zamani Kawe ( tena ile yenyewe ) kabisa na kila Siku napishana nayo.Nenda ibadani kwa Kuhani Musa...
Huwa haipatikani mpaka ibadani...
Hivi huyu huwa hawezi Kuhubiri mpaka apige Mikelele yake Inayokera na apayuke kama Mlevi wa Gongo na Wanzuki?Kuhani na Mwalimu Musa
Sio lazimaBila kutia maji?
Ndo style yakeHivi huyu huwa hawezi Kuhubiri mpaka apige Mikelele yake Inayokera na apayuke kama Mlevi wa Gongo na Wanzuki?
Nia yako inapokuongozaNi kweli maana hata huyo Nabii wa uongo unaemuamini na kumpelekea sadaka ni wakala wa shetani
Tukijamba wakati tumelala Vitandani harufu Kali na Isambaayo kwa Kasi ya Mjambo ( Kujamba )haiwezi Ikaiyeyusha Chumvi yote iliyoko ndani ya Glasi iliyowekwa Uvunguni?Weka glass ya chumvi ya mawe uvunguni mwa kitanda chako hakuna nguvu yeyeto ya kipumbavu itakudhuru.
Nguvu zote chafu unaswa na nguvu ya chumvi.
Kamwambieni ni ya Kipumbavu, Kishamba na Anaboa kama si Kukera pia.Ndo style yake
Carbon dioxide Haina uwezo wa kuyeyusha chemicalTukijamba wakati tumelala Vitandani harufu Kali na Isambaayo kwa Kasi ya Mjambo ( Kujamba )haiwezi Ikaiyeyusha Chumvi yote iliyoko ndani ya Glasi iliyowekwa Uvunguni?
picha ya chumvi ya mawe tafadhali!
Masokoni pote ipo maduka ya mifugo ipo au maduka ya dawa za asili anapata popote.Kwa Zoba kama Wewe ila kwa Kawe inauzwa Shilingi Elfu Moja ( Tsh 1,000/= ) tu Soko la Zamani kwa Mpemba aitwae Osama Midevu Jirani na Kibanda anachouza Mboga Mboga Dada yake aliyekuwa Kipa wa Yanga SC Ramadhan Kabwili aitwae Dada Mariamu.
Na wakienda huko Mahospitalini na Kuwaponya Watu Kweli GENTAMYCINE naahidi Nitajisaidia Haja Kubwa ( Nitaukweka ) kuanzia Tegeta Nyuki hadi Mbagala Rangi Tatu mubashara ( Live ) kabisa na Mchana Kweupe.Kama ni manabii wa kweli waende hospital watu kibao wana matatizo tuone hospital zikibaki tupu.
matapeli tu hao.
Unamtambuaje nabii?Tena ukiogea chumvi iliyoombewa na Nabii wa Mungu wa kweli...