Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Bila kutia maji?Weka glass ya chumvi ya mawe uvunguni mwa kitanda chako hakuna nguvu yeyeto ya kipumbavu itakudhuru.
Nguvu zote chafu unaswa na nguvu ya chumvi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kutia maji?Weka glass ya chumvi ya mawe uvunguni mwa kitanda chako hakuna nguvu yeyeto ya kipumbavu itakudhuru.
Nguvu zote chafu unaswa na nguvu ya chumvi.
Ni soma pana sana sema linahitaji uzi kbsa.kutembea peku kunafaida gani maana hii Siri wanaijua wachache akiwemo mrisho mpoto,Kuna siku ata Kanye west alionekana anatembea peku,ila Kwa uelewa wangu mdogo nahisi ardhi Ina absorb positive energy zilizo Kwa binadamu anapotembea peke,maana tuliumbwa Kwa mavumbi na mavumbini tutarudi
Wewe uliliona kwa namna ipi mkuu?Chumvi ya mawe
Hizo za manabii ni biashara tu japo kama Imani yako inakupeleka huko basi fuata hiyo.
Mimi nainunua sokoni ipo ndani ya kutosha tu naongea na jiko Safi tu.
Aliloandika mwenye uzi huu lipo sahihi kabisa japo mimi sikuliona kwa namna hiyo katika matumizi yangu ya chumvi ya mawe
Mkuu kuna dada anaitwa loyce yuko YouTube yy anasema chumvi ya nawe anachanganya na mkojo wako wa alfajir unaoga je nn sahihiChumvi ya mawe ni zao la maji ya baharini ngingine ni ya kuchimbwa kama ile ya uvinza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe na wewe ni kondoo wa mwamposa na kuhan Musa?Nenda ibadani kwa Kuhani Musa...
Huwa haipatikani mpaka ibadani...
Chumvi tuNimeogea na nikaona mengi zaidi ya hiyo amani ..
Acha nianze kuogea na mimi maana mpaka dk hii sielewi sijui nimepigwa ndele au nina kijini!Chumvi ya mawe huwa inaamsha nishati na kuibalance na kufungua chakra zilizojifunga hii nilipoitumia mwaka 2019 at the first time nilianza Kupata matokeo makubwa in my life's path
Mi niliwahi kuongea sikuona cha MAANA ambacho mnasifia humu jukwaani!!Chumvi ya mawe huwa inaamsha nishati na kuibalance na kufungua chakra zilizojifunga hii nilipoitumia mwaka 2019 at the first time nilianza Kupata matokeo makubwa in my life's path
Mishe zote haziendi. Ngoja nikatafute na mimi.Acha nianze kuogea na mimi maana mpaka dk hii sielewi sijui nimepigwa ndele au nina kijini!
Hiyo kweli Mkuu nimejionea Sana.
Halafu ni wapuuzi, hawataki kufikiria kwanini huyo nabii aombee chumvi badala ya kuombea sabuni?Utapeli huu....
Iombewe isiombewe zote zinafanya kazi uitakayo...
Fungukeni.
Muulize kwanini usipeleke sabuni kanisani Ila chumvi?Aliniambia nitafute chumvi ya mawe niwe nayo napoishi wakati wote itanisaidia kuniondolea mabalaa , akaongeza niende church kuibariki pia kabla sijaanza kuitumia
Kwahyo mtu anayeoga/kuogelea baharini anaweza kuwa na faida zaid kuliko anayetumia chumvi ya mawe?Chumvi ya mawe ni zao la maji ya baharini ngingine ni ya kuchimbwa kama ile ya uvinza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni manabii wa kweli waende hospital watu kibao wana matatizo tuone hospital zikibaki tupu.
matapeli tu hao.
Ipi ni bora au zote zina matokeo sawa?Chumvi ya mawe ni zao la maji ya baharini ngingine ni ya kuchimbwa kama ile ya uvinza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo kariakoo, Tandika.Mkuu namimi nisaidie kuipata hiyo chumvi nipo dar es salaam
Kulikua na hospital gan enzi za yesu?Kwahiyo akili yako unajua kazi ya nabii ni moja tu kuponya wagonjwq,hata Yesu wagonjwa walimfuata hakuenda kuwafuata hospital na mwisho alisema imani yako imekuponya.