Cruz David
Member
- Jul 22, 2017
- 62
- 76
Mwizukuru wa ngikurumoja ya athari za kuogea chumvi ya mawe ni kila mtu hukuona ni mtu wa amani, hata wahuni hawawezi kuhangaika na wewe😎
Kinehee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwizukuru wa ngikurumoja ya athari za kuogea chumvi ya mawe ni kila mtu hukuona ni mtu wa amani, hata wahuni hawawezi kuhangaika na wewe😎
Kuna FUNDISHO Moja nimelisahau liko kinyume kabisa na Biblia na alifundisha kanisani pale watu wanapiga makofi. Biblia nimeanza kuisoma nikiwa mdogo sana so mi mtumishi wa kweli wa Mungu nampimia hapo,kuna watu kama Mwakasege haendi kinyume na Maandiko, Moses Kulola nae ni hivyohivyo, niliwahi msikiliza, anaenda mulemule.Kwanini humuamini?
Zipimeni Roho...
Mmeambiwa...
Msifuate mikumbo kwa watu walisema...
Mimi sio wakiroho sana au mkristo sana kuliko yesu mwenyewe au pail lakini kiukwlei sijawahi kuwa na amani ya moyoni nikianza kusikia kwa watumishi mambo ya kuogea chumvi nasema tena sijawahi kuwa na amani sasa sijui nafsi inanidanganya au hii ibada roho haitaki?Tena ukiogea chumvi iliyoombewa na Nabii wa Mungu wa kweli...
Makini sana hawa watu wanakupa kitu unaelewa nini, kipi, wapi, lini na nani..Mungu aliyehai Azidi kumtumia Mzee mwakasegeKuna FUNDISHO Moja nimelisahau liko kinyume kabisa na Biblia na alifundisha kanisani pale watu wanapiga makofi. Biblia nimeanza kuisoma nikiwa mdogo sana so mi mtumishi wa kweli wa Mungu nampimia hapo,kuna watu kama Mwakasege haendi kinyume na Maandiko, Moses Kulola nae ni hivyohivyo, niliwahi msikiliza, anaenda mulemule.
Ndio ila Damu ya Yesu na Jina la Yesu ni bora zaidi kuliko chumvi ya Mawe.Kuna mengi nlikua siyajui kumbe
Asante kwa neno zuri kiongoziNdio ila Damu ya Yesu na Jina la Yesu ni bora zaidi kuliko chumvi ya Mawe.
1 Samweli 17:45
[45]Ndipo Daudi akamwambia yule Mfilisti, Wewe unanijia mimi na upanga, na fumo, na mkuki, bali mimi ninakujia wewe kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa majeshi ya Israeli uliowatukana.
Then said David to the Philistine, Thou comest to me with a sword, and with a spear, and with a shield: but I come to thee in the name of the LORD of hosts, the God of the armies of Israel, whom thou hast defied.
Nime-edit kacheki tena.Asante kwa neno zuri kiongozi
Nimeona, Asante 🙏🙏Nime-edit kacheki tena.
Mkuu namimi nisaidie kuipata hiyo chumvi nipo dar es salaamMwongo mkubwa, ni Bureeee, na mimi nikipata Nampa buuree...
Self righteous!Usimjibu Mpumbavu sawasawa na upumbavu wake...asije akajisifu
Mkuu naomba nifanyie Mpango na mimi kama hutojali [emoji120][emoji120]Mwongo mkubwa, ni Bureeee, na mimi nikipata Nampa buuree...
Yesu na mitume wake walikuwa wanakwenda mahospitalini na kuponya kila mtu? [emoji15][emoji15][emoji15]Kama ni manabii wa kweli waende hospital watu kibao wana matatizo tuone hospital zikibaki tupu.
matapeli tu hao.
Umetisha na huo mkwara duuhNinayo macho ya Rohoni na ya mwilini yaani hata wewe nikikaa na wewe Leo nakujua mpaka ukoo wako wote ..
Huyo Nabii Ninamjua mwilini na Rohoni
Kuna siku 7,14 au 21 utachagua ww inawezs kundi gan na kunuiza kile utakachoUkishaelewa unifundishe na mie, niondoe gundu