Afghanistan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 308
- 403
Kweli kaka sema watu wengi hajatambua umuhimu wa chumvi ya maweNimeogea na nikaona mengi zaidi ya hiyo amani ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kaka sema watu wengi hajatambua umuhimu wa chumvi ya maweNimeogea na nikaona mengi zaidi ya hiyo amani ..
Akishakufundisha nifundishe na mimiUkishaelewa unifundishe na mie, niondoe gundu
😂😂😂𝕄𝕒𝕗𝕦𝕥𝕒 𝕂𝕨𝕒 𝕄𝕨𝕒𝕞𝕡𝕠𝕤𝕒 + ℂ𝕙𝕦𝕞𝕧𝕚 𝔹𝕒𝕕𝕠 𝕂𝕚𝕥𝕦𝕟𝕘𝕦𝕦 𝕋𝕦 𝕄𝕥𝕦 𝔸𝕟𝕒𝕜𝕦𝕨𝕒 𝕄𝕓𝕠𝕘𝕒 𝔸𝕟𝕘𝕒𝕝𝕚𝕖𝕟 𝕄𝕥𝕒𝕝𝕚𝕨𝕒.....
Ukifundishwa na wewe nifundishe na Mimi.Akishakufundisha nifundishe na mimi
umeharibu biashara ya jamaa amesema yeye anawauzia wana jf alf 5 kwa kiloMasokoni kote na Kilo ni Tsh 1,000 tu
Sawa mkuuUkifundishwa na wewe nifundishe na Mimi.
Fursa ni kuichangamkiaumeharibu biashara ya jamaa amesema yeye anawazia wana jf alf 5 kwa kilo
aise nina debe la hio chumvi hapa ngoja niifanyie kaziFursa ni kuichangamkia
🤔
Ogea nyota ing'ae mkuuaise nina debe la hio chumvi hapa ngoja niifanyie kazi
nyota iking'aa nitakuja kukupa mrejeshoOgea nyota ing'ae mkuu
Sawa mkuu kila la herinyota iking'aa nitakuja kukupa mrejesho
unaichanganya na maji halafu unanuia...ndio unaanza kujimwagia hakikisha kila sehemu ya mwili wako maji yamefika ...mpaka masikioniWakati wa kuiogea unafanyaje, yani ukishaichangaya na maji unakuwa unajimwagia maji huku ukinuia au unanuia kwanza ndio unaanza kujimwagia maji uliyonuia?
acha utapeli na uchawi mbuzi wewe. kama ingekuwa hivyo, wale watu wa dodoma wanaotumia maji ya chumvi, ardhi yote ukitindua tu chini ni maji ya chumvi, si wangekuwa na maisha bora sana?Moja ya athari za kuogea chumvi ya mawe ni kila mtu hukuona ni mtu wa amani, hata wahuni hawawezi kuhangaika na wewe😎
aisee hyo tp sitakagi hata kumsikia, kuna jamaa mmoja tumetoka kijiji kimoja alimtapeligi bro wangu hela kpnd fulani, yan huyo jamaa ni tp wa hatari, na huyo kuhani maandazi huwa anamtumia sana kutoa shuhuda za mchongo ili kuwapiga watu.Tapeli tu yule juzi nilisikia muujiza wamchongo kabisa ..eti dada anadai aliitwa kuanza kazi ya ajira hata hakuomba hiyo kazi Kwa kufanya application......halafu eti kawalevel waaumini Kwa vipato ..Kuna wale wa mill 10 sijui ndio gold halafu etc...hakuna mtu wa Mungu pale .hizi ngozi nyeusi sijui huu ujinga wa manabii kuamini sijui nai katuroga..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mi mwenyewe ninetoka kupigiwa simu ya nyumbani eti niogee chumvi ya mawe asubuhi na mapema ndipo niende kwenye interview. Muda huu nakutana na huu uzi wa mawe chumvi hapaNimeambiwa hili jambo jana na mama kwa simu na leo nimelikuta humu, em tupe ushuhuda kwa uchache nijifunze kitu
Muulize kwanini usipeleke sabuni kanisani Ila chumvi?
Chumvi inajitegemea, nad
Mi mwenyewe ninetoka kupigiwa simu ya nyumbani eti niogee chumvi ya mawe asubuhi na mapema ndipo niende kwenye interview. Muda huu nakutana na huu uzi wa n
Fanya hivoMi mwenyewe ninetoka kupigiwa simu ya nyumbani eti niogee chumvi ya mawe asubuhi na mapema ndipo niende kwenye interview. Muda huu nakutana na huu uzi wa mawe chumvi hapa