Ukiogea chumvi ya mawe kila mtu hukuona ni mtu mwenye amani

Ukiogea chumvi ya mawe kila mtu hukuona ni mtu mwenye amani

Miaka kadhaa imepita Kuna nyumba nilikuwa nimepanga ..usiku mmoja nkaona vitu sielewi elewi hasa nkizima taa..kesho yake nkaamua kuweka chumvi kwenye kona chumbani basi nkalala vizuri Raha mustarehe ,so nilipohama na kuhamia sehemu nyingine nkasafisha nyumba na kutoa zile chumvi....Mara Kuna siku nkakutana na mtu jirani akaniambia hivi niliwezaje kuishi Ile nyumba maana haikaliki wapangaji wanahama...nkasema Mimi nilimwaga chumvi ya mawe so toka niweke nililala Raha mstarehe kabisa.akashangaa Sana nkamwambia hiyo ndio Siri ya kambi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Muwe mnachoma na sulphur kabla ya kuhamia
 
Kuna FUNDISHO Moja nimelisahau liko kinyume kabisa na Biblia na alifundisha kanisani pale watu wanapiga makofi. Biblia nimeanza kuisoma nikiwa mdogo sana so mi mtumishi wa kweli wa Mungu nampimia hapo,kuna watu kama Mwakasege haendi kinyume na Maandiko, Moses Kulola nae ni hivyohivyo, niliwahi msikiliza, anaenda mulemule.
Ila majuzi nikiona clip ya Mwakasege ..naye akisema alienda Mbinguni akaonana na Yesu!
 
Ila majuzi nikiona clip ya Mwakasege ..naye akisema alienda Mbinguni akaonana na Yesu!
Ni mambo ya kiroho. Ni ngumu kuthibitisha kwa ulimwengu wa damu na nyama.
Kama mtu masikini anakopa hela 5 milion anaenda hija Macca kumponda jiwe shetani na anaamini limempata la mbavu.
  • Wewe ushawahi kumuona shetani?
  • Shetani unaweza kumpiga kwa jiwe?
 
Ni mambo ya kiroho. Ni ngumu kuthibitisha kwa ulimwengu wa damu na nyama.
Kama mtu masikini anakopa hela 5 milion anaenda hija Macca kumponda jiwe shetani na anaamini limempata la mbavu.
  • Wewe ushawahi kumuona shetani?
  • Shetani unaweza kumpiga kwa jiwe?
Mpaka akili zije ziwakae sawa mtauziwa sana hizo chumvi na maji,siku mkiamka itakua too late.
 
K
Ni mambo ya kiroho. Ni ngumu kuthibitisha kwa ulimwengu wa damu na nyama.
Kama mtu masikini anakopa hela 5 milion anaenda hija Macca kumponda jiwe shetani na anaamini limempata la mbavu.
  • Wewe ushawahi kumuona shetani?
  • Shetani unaweza kumpiga kwa jiwe?
Mbona JoDevie na Zumaridi waliposema walienda Mbinguni kuonabna na Yesu ...Umma uliwaponda na kuwaona hamnazo!?
 
K

Mbona JoDevie na Zumaridi waliposema walienda Mbinguni kuonabna na Yesu ...Umma uliwaponda na kuwaona hamnazo!?
Kuna wengine hawaamini mambo ya kiroho.
Wewe unaamini akhera Allah atatoa mabikira 72?
Kuna wengine wanaamini na wengine hawaamini.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;
 
Mpaka akili zije ziwakae sawa mtauziwa sana hizo chumvi na maji,siku mkiamka itakua too late.
Mpaka siku mkikaa sawa ndiyo utajua Allah aliwadanganya na ahadi ya mabikra 72.

Sunan Ibn Majah Juzuu ya 5, Kitabu cha 37, Hadithi 4337—“Abu Umama amesimulia: “Mtume wa Allah swt amesema, ‘Kila ambaye Mwenyezi Mungu atamuingiza Peponi ataoa wake 72;

Hapo mpo wanaume wa kiislamu 10 na kila mmoja ana mabikra 72. Huko peponi panakuwa danguro maana ni sauti za watu zinasikika wakifanya ngono.
 
😀 😀
Kwenye dini kuna upigaji mwingi sana.
Nchi ya Saudia Arabia inakusanya pesa nyingi sana kutoka kwa watu.
Mtu yupo radhi akakope 5 milion apande ndege aende Saudia Arabia (Macca) kumponda jiwe shetani.
Mtu anazunguka Kahaba na jiwe lake mkononi anamtupia jiwe shetani. Shetani unaweza kumpiga kwa jiwe?
Shetani unamsikia na haujawahi kumuona tangia utoto mwako hadi sasa hilo jiwe litampataje?
Watu wanapigwa sana kwenye dini
 
Kwa hili la chumvi nimejifunza hata Dodoma ndio maji tunayotumia kuongea na kunywa naamini kwa chumvi hii ndio imetufungulia serikali kuhamia apa,soko la ndugai,stand mji wa kiserikali na sasa uwanja wa mpira
Duh!....
 
Kwenye dini kuna upigaji mwingi sana.
Nchi ya Saudia Arabia inakusanya pesa nyingi sana kutoka kwa watu.
Mtu yupo radhi akakope 5 milion apande ndege aende Saudia Arabia (Macca) kumponda jiwe shetani.
Mtu anazunguka Kahaba na jiwe lake mkononi anamtupia jiwe shetani. Shetani unaweza kumpiga kwa jiwe?
Shetani unamsikia na haujawahi kumuona tangia utoto mwako hadi sasa hilo jiwe litampataje?
Watu wanapigwa sana kwenye dini
Mtaendelea kuitwa Kondoo sana tu,

Haya nenda ukauziwe chumvi ya buku kwa elfu 50 uoge ili upate bwana.
 
Back
Top Bottom