Mambo ni mengi sana ukijizoesha pia kutembea peku kukanyaga udogo itakusaidia pia.moja ya athari za kuogea chumvi ya mawe ni kila mtu hukuona ni mtu wa amani, hata wahuni hawawezi kuhangaika na wewe[emoji41]
Kuponywa ni imani.pana magonjwa ya kiroho na ya kimwili ya kimwili uponywa kimwiliKama ni manabii wa kweli waende hospital watu kibao wana matatizo tuone hospital zikibaki tupu.
matapeli tu hao.
Aliniambia nitafute chumvi ya mawe niwe nayo napoishi wakati wote itanisaidia kuniondolea mabalaa , akaongeza niende church kuibariki pia kabla sijaanza kuitumiaUshuhuda huu hapa...
Mama kasemaje...?
kutembea peku kunafaida gani maana hii Siri wanaijua wachache akiwemo mrisho mpoto,Kuna siku ata Kanye west alionekana anatembea peku,ila Kwa uelewa wangu mdogo nahisi ardhi Ina absorb positive energy zilizo Kwa binadamu anapotembea peke,maana tuliumbwa Kwa mavumbi na mavumbini tutarudiMambo ni mengi sana ukijizoesha pia kutembea peku kukanyaga udogo itakusaidia pia.
Nabii hajawahi hata kutabiri kitu chochoteHakuna nabii wa kweli zama hizi utapeli mtupu
Hao manabii zako Hata kutabiri hali ya hewa hawajawahi kutabiriKuponywa ni imani.pana magonjwa ya kiroho na ya kimwili ya kimwili uponywa kimwili
Hio sio shirki mkuu?Chumvi ya mawe huwa inaamsha nishati na kuibalance na kufungua chakra zilizojifunga hii nilipoitumia mwaka 2019 at the first time nilianza Kupata matokeo makubwa in my life's path
Nilisikia kwa bwana mmoja akisema kwa nadharia zake zisizo thibitishwa kuwa kutembea peku walau kidogo kunaondoa electrones zinazo exceed mwilini. Mimi sio mtaalamu ila alianza kwa kusema "mwili unatumia umeme kufanya kazi zake kusafirisha taarifa kutoka kwenye ubongo kwenda maeneo mengine ili tu sense vitu sasa umeme uzalishwao kuna kuzidi kinachozidi kinabidi kitolewe kwa kutumia mgusano wetu na ardhi akamaliza kwa kusema magonjwa yasioambukiza yana sababu ambazo azieleweki yeye anaamini kuvaa viatu muda wote wa maisha ya mwanadamu kunaleta shida inayosababishwa na izo extra energies kutotolewa .kutembea peku kunafaida gani maana hii Siri wanaijua wachache akiwemo mrisho mpoto,Kuna siku ata Kanye west alionekana anatembea peku,ila Kwa uelewa wangu mdogo nahisi ardhi Ina absorb positive energy zilizo Kwa binadamu anapotembea peke,maana tuliumbwa Kwa mavumbi na mavumbini tutarudi
Maisha ni sadaka usipotoka kwa Mungu utatoa kwa shetaniHao manabii zako Hata kutabiri hali ya hewa hawajawahi kutabiri
We endelea kupeleka sadaka
Unajipangia hata miezi sita mpaka uone matokeo chanyaKuogea ni kwa muda gani kaka mkubwa
Ngoja mwezi ujao usijaliMkuu nahitaji kufungua chakra nahisi chakra zangu Kama hazijafunguka zote naomba utuletee thread tujifunze Mkuu
Sijakuelewa!Ni ubaya gani huo kakutendea mpaka kumrudisha?
Chumvi ya mawe ni zao la maji ya baharini ngingine ni ya kuchimbwa kama ile ya uvinzaHivi nguvu ya chumvi ya mawe na maji ya bahari zinafanana? Mshana Jr natuma katka ujuzi wako
[emoji173][emoji173][emoji173]Maisha ni sadaka usipotoka kwa Mungu utatoa kwa shetani
Ni kweli maana hata huyo Nabii wa uongo unaemuamini na kumpelekea sadaka ni wakala wa shetaniMaisha ni sadaka usipotoka kwa Mungu utatoa kwa shetani
Kwanini humuamini?Ila hapa..... inabidi nikutane na wewe mtumishi nitest kama ni kweli ama? Na unajuaje ukoo wa mtu?
Maana Kuhani Musa simuamini kabisa.