Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Halafu na wewe eti una mke,unashindania kupata views za status mtoto wa kiume tukikuita Juma Lokole tutakukosea heshima?Ukiona watu hawaview status zako jua unapost ujinga badilika jamaa angu utakosa viwers bure hakuna anayekubali bando lake liishe kijinga kwa kuangalia ujinga
Zulinakusaidia nn ktk maisha yako? Ujinga mtupuUnaongeza views unakuwa na views nyingi
Memes ndio nini?Na view watu wanaoweka status za kijinga, hasa memes... Hata ziwe 20 nita view... Hao wanaoweka status za utu uzima napita nao kama upepo... Binaadam tumetofautiana
memes ndio nini?Alafu sasa unakuta anapost memes tuu
I often post but I seldom view other people's shitBeberu katuweza, mtu anaweka status, anaangalia wangapi wana Zi view as if inamuongezea kipato!
Labda kama ni matangazo ya bidhaa au huduma!
I rarely view status! Sijui ndiyo Sisi washamba tuliobakia??
Acha mawazo mgando chiefUkimwona Mwanaume yeyote anajipost in Status, kuwa na mashaka nae, huyo ana tatizo mahali au stress iliyokomaa.
Tafuta hela, tz bundle sio gharamaBora ni view picha ila sio ma video hayo ndio yanayotafuna bando kama mchwa
Wew jamaa utakuwa una damu ya Kirusi maana una roho ngumu sana , sikutegemea kama utafuta namba yangu.Kuna huyo mmoja ilikua kila ikifika alhamis anajipost tbt picha nyingiiiiii 10+ hapo bado siku zingine memes 20+ sasa picha zinajirudia hadi unawaza kwani lazima kujipost??
Nikapata tu mashaka ikabidi nifute no zake maana sikumuelewa.
Nibip niisave tena, ila punguza status kamandaWew jamaa utakuwa una damu ya Kirusi maana una roho ngumu sana , sikutegemea kama utafuta namba yangu.
Tena mi wanao post meme ndio nawakubali..ila ziwe za vichekesho..sio mistari ya kiroho maana bible tunazoAlafu sasa unakuta anapost memes tuu
Hil ni la msingi sanaaàStatus ni jokes usiweke maisha Yako real waty wako wa karibu ni wabaya sana usiwe unajipost kila SAA kama umepotea
Status ndio nini? Mnapost hapa JF?Ila kuna watu ni wana kipaji cha kupost status. Mtu anapost status 15+ 🙌
We upo kama mimi tuNa view watu wanaoweka status za kijinga, hasa memes... Hata ziwe 20 nita view... Hao wanaoweka status za utu uzima napita nao kama upepo... Binaadam tumetofautiana
Status za WhatsAppStatus ndio nini? Mnapost hapa JF?
Duh wacha nilale.Status za WhatsApp
Hahaa usiku mwemaDuh wacha nilale.