Kwanza huo muda wa kuweka hizo status unautoa wapi?Wakiview unapata sh ngapi?
Zimezunguka ka nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..Unakuta mtu hafanyi biashara Ila anajaza status nying zimezunguka Kama shanga..alafu hakuna hata cha maana ukiview
Napitaga hivi
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sure [emoji23][emoji23][emoji23]Mental health is real!
Status forbfunnyUkiona watu hawaview status zako jua unapost ujinga badilika jamaa angu utakosa viwers bure hakuna anayekubali bando lake liishe kijinga kwa kuangalia ujinga
Status ni jokes usiweke maisha Yako real waty wako wa karibu ni wabaya sana usiwe unajipost kila SAA kama umepotea
Umeona eehh?Na view watu wanaoweka status za kijinga, hasa memes... Hata ziwe 20 nita view... Hao wanaoweka status za utu uzima napita nao kama upepo... Binaadam tumetofautiana
Que sera seraUkiona watu hawaview status zako jua unapost ujinga badilika jamaa angu utakosa viwers bure hakuna anayekubali bando lake liishe kijinga kwa kuangalia ujinga
hawa huwa napiga mute tu.Ila kuna watu ni wana kipaji cha kupost status. Mtu anapost status 15+ π
Hamna namna, inabidi iwe hivyohawa huwa napiga mute tu.
Nyie ndio mnaotakiwa sasaππSo tusio post status inakuwajeππ
Na sinaga pia hata mda wa kuangalia status kwakeli π π πNyie ndio mnaotakiwa sasaππ
Sio Me unajipost kila saa, na sisi Ke tufanyaje?π
Me sometime nasahau kuangalia na siku zingine nikiwa nimetulia naangalia zotee.Na sinaga pia hata mda wa kuangalia status kwakeli π π π
ππ Post fahari ya macho .. sasa niingie kulala hapaMe sometime nasahau kuangalia na siku zingine nikiwa nimetulia naangalia zotee.
Hapa nina kama week sijapost status, wacha leo nijipost #fbfπ
Lala kwanzaππππ Post fahari ya macho .. sasa niingie kulala hapa
Inashangaza sana na hata Maisha ya sasahv Mwanaume hasa unapata wapi huo mudaKuna huyo mmoja ilikua kila ikifika alhamis anajipost tbt picha nyingiiiiii 10+ hapo bado siku zingine memes 20+ sasa picha zinajirudia hadi unawaza kwani lazima kujipost??
Nikapata tu mashaka ikabidi nifute no zake maana sikumuelewa.